Axel Lloyd
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 4,169
- 9,499
Taiwan imetenga fedha kwenye bajeti yake ya Ulinzi mwaka huu kununua Makombora ya HIMARS (29 launchers pamoja na maroketi 864) pia Makombora yake mazito ya ATACMS yenye uwezo kupiga adui umbali wa Hadi 300km.
Haya yanajiri baada ya Taiwan kuongeza bajeti yake ya jeshi kwa asilimia 14 kutokana na vitisho vya China.
Taiwan ilipanga kununua mizinga ya M109A6 "Paladin" lakini kutokana na mafanikio ya HIMARS dhidi ya vikosi vya Urusi imesitisha dili hilo ambalo lilishaidhinishwa na utawala wa Biden na sasa itanunua Makombora ya HIMARS.
Poland pia imeweka oda ya kununua Makombora 500 ya Himars. Estonia,Lithuania pia zimeweka oda ili kupata mizinga hiyo.
Taiwan eyes HIMARS rockets for defense against China
Haya yanajiri baada ya Taiwan kuongeza bajeti yake ya jeshi kwa asilimia 14 kutokana na vitisho vya China.
Taiwan ilipanga kununua mizinga ya M109A6 "Paladin" lakini kutokana na mafanikio ya HIMARS dhidi ya vikosi vya Urusi imesitisha dili hilo ambalo lilishaidhinishwa na utawala wa Biden na sasa itanunua Makombora ya HIMARS.
Poland pia imeweka oda ya kununua Makombora 500 ya Himars. Estonia,Lithuania pia zimeweka oda ili kupata mizinga hiyo.
Taiwan eyes HIMARS rockets for defense against China