Taifa stars

Taifa stars

Chamutati

New Member
Joined
May 25, 2012
Posts
1
Reaction score
0
Kama makocha tumebadilisha na bado timu inayumba inamaanisha tatizo lipo sehemu nyingine kwenye hii timu. Na mimi binafsi nadhani na uongozi, sidhani kama kuna separation of power naona subjectivity ndo inayosababisha timu yetu ifanye vibaya. Yani decision zinafanywa kwa interests za wachache. Mimi ni mzalendo lakini kwa taifa stars kuna kipindi mtanisamehe maana wanaoiongoza hawatangulizi uzalendo.
 
Back
Top Bottom