Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,920
Walio mlio jirani na televisheni zenu na mna king'amuzi cha Azam mechi itaoneshwa laivu baada ya shamrashamra za mechi ya viongozi wa dini. Mechi itaanza saa 11 jioni.
Dk 16 Stars 1-0 Benin......canavaro.
Dk 40 stars 2-0 Benin....Kiemba.
Dk 50 stars 3-0...Ulimwengu.
Dk 70 stars 4-0.......Juma Luisio
Dk 89 stars 4-1 Benin.
FT Stars 4 - 1 Benin.
-----------------
MICHEZO TANZANIA 4-1 BENIN Timu ya soka ya Tanzania Taifa Stars imeichapa timu ya Taifa ya Benin jumla ya mabao 4-1 katika mchezo wa kirafiki uliofanyika katika Dimba la Taifa jijini DSM.
Wafungaji kwa upande wa Taifa Stars ni:- Nadir Haroub Canavaro kwa kichwa safi (16) Amri Kiemba kwa juhudi binafsi (40) Thomas Ulimwengu kwa kumalizia kros ya Mrisho Ngasa (49) Juma Luizio kwa kumalizia kazi kubwa ya Thomas Ulimwengu (71).
Dk 16 Stars 1-0 Benin......canavaro.
Dk 40 stars 2-0 Benin....Kiemba.
Dk 50 stars 3-0...Ulimwengu.
Dk 70 stars 4-0.......Juma Luisio
Dk 89 stars 4-1 Benin.
FT Stars 4 - 1 Benin.
-----------------
MICHEZO TANZANIA 4-1 BENIN Timu ya soka ya Tanzania Taifa Stars imeichapa timu ya Taifa ya Benin jumla ya mabao 4-1 katika mchezo wa kirafiki uliofanyika katika Dimba la Taifa jijini DSM.
Wafungaji kwa upande wa Taifa Stars ni:- Nadir Haroub Canavaro kwa kichwa safi (16) Amri Kiemba kwa juhudi binafsi (40) Thomas Ulimwengu kwa kumalizia kros ya Mrisho Ngasa (49) Juma Luizio kwa kumalizia kazi kubwa ya Thomas Ulimwengu (71).