Taifa ambalo linaendeshwa Kwa matukio hili kuwapumbaza raia wake.
Taifa la wananchi wavumilivu duniani mpaka majirani zetu wanatushangaa.
Taifa la watu wanafiki kuwahi kutokea,kwani kabla ya uchaguzi wananchi wanaonekana kuwa na ari ya kuleta Mabadiliko lakini wakati wa uchaguzi wanachagua chama kilekile wanachokilalamikia Kwa umaskini na shida zao