Hawa TAHLISO wanaojiita umoja wa vyuo vikuu japo hawana msaada wowote kwa wanafunzi wa vyuo na wala hatupo nao, wameishia wapi? walikuwa wanajaribu angalau kujionesha kuwa ni wema wakati tunawajua. Mbona Kimya, Noeli Katongo upoooooo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.