Dah!hapo navyokijua Mimi hiko chuo na uongozi wake ni madikteta sana mwisho kunawatakao fukuzwa na kunawatakao simamishwa maana mm nimepita hapo nikiwa mmoja wawanafunzi waanzilishi
Dutto yule Mtaliano-Muhehe yule,Fr Mgimwa mambo kibao yule...hivi Fr Muhume bingwa wa Ethics yupo??...Nawakumbuka Deo Sendama na yule mkewe,Wapi Hamisi Nahaki Jnr mzee wa kulala bar na kukesha
Dutto yule Mtaliano-Muhehe yule,Fr Mgimwa mambo kibao yule...hivi Fr Muhume bingwa wa Ethics yupo??...Nawakumbuka Deo Sendama na yule mkewe,Wapi Hamisi Nahaki Jnr mzee wa kulala bar na kukesha