Tahadhari

Bujibuji Simba Nyamaume

Platinum Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
78,266
Reaction score
166,392

Wanasayansi wa kituo cha utafiti wa anga za juu cha Marekani, NASA, wameonya kutokea kwa kimbunga kikubwa cha bahari upande wa kusini mashariki mwa bahari ya Hindi.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka makao makuu ya shirika hilo yaliyoko nchini Marekani, ni kwamba mtambo uliofungwa hivi karibuni kwenye satelaiti kubwa ya utafiti inayoelea angani umetuma picha za kuwepo kimbunga hicho ingawa bado shirika hilo halijatoa taarifa rasmi lini tukio hilo linaweza kutokea.
SOURCE: NASA
 
Mbona picha uliyoweka inafanana kama ni ya mlipuko wa aina fulani? Haijakaa kama kimbunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…