Tman900
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 969
- 3,065
1. Dunia Haina mfalme wa milele, Kila Kitu au jambo ni kwa muda tu.
2.Usiishi kwa mashindano ishi Maisha Yako
3. Mali au kitu unachomiliki Kuna watu walikua nacho, kabla yako.
4. Unapokua na Furaha sana/ Hasira sana unatakiwa kua makini maana unaweza fanya maamuzi yatakayo gharimu Maisha yako.
5.
2.Usiishi kwa mashindano ishi Maisha Yako
3. Mali au kitu unachomiliki Kuna watu walikua nacho, kabla yako.
4. Unapokua na Furaha sana/ Hasira sana unatakiwa kua makini maana unaweza fanya maamuzi yatakayo gharimu Maisha yako.
5.