hata mimi nilitumiwa nami nikawatumia namba ya simu yangu na email yangu kwakua jina walilonitajia kunamtu namfahamu na nilihisi ni mfanyakazi mwenzangu kumbe nimatapeli sasa wanaweza niibia bila kujua akaunti yangu na pin namba yangu? msaada kwahilo
wana hack e-mail yako na mawasiliano yote e.g transcription za mitonyo n.k wanakaba wao...ma B.A telecomm na ma I.T kibao kitaani unategemea nn?
ukijahamaki majanga!! ndo utajua watu hawataki masihara,..HALI NGUMU!!
wana hack e-mail yako na mawasiliano yote e.g transcription za mitonyo n.k wanakaba wao...ma B.A telecomm na ma I.T kibao kitaani unategemea nn?
ukijahamaki majanga!! ndo utajua watu hawataki masihara,..HALI NGUMU!!
na wakihack meanz mawasiliano yako yote kabla ya kufika sehemu husika wao ndo wanakuwa wa kwanza kupata taarifa zako then wanaanza kuact kama ndo wale unaowasiliana nao .
na wakihack meanz mawasiliano yako ypte kabla ya kufika sehemu husika wao ndo wanakuwa wa kwanza kupata taarifa zako then wanaanza kuact kama ndo wale unaowasilianano .