kwakina itafakari
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 730
- 1,626
Ndugu zangu wote wenye nia njema na Taifa hili,naona kuna JUHUDI za makusudi kuonyesha hii hali tuliyomo sasa imesababishwa na mgogoro baina ya lissu na Samia au CCM na CHADEMA
Wanataka kujifanya kumuachia lissu ili mambo yaishe turudi kule kule tulipotoka,tusikibali hata kidogo kufanyiwa ULAGHAI wa aina yoyote
Madai yetu hayapo tena kwenye level za vyama au watu fulani, hii Nchi sio mali ya kikundi flani cha watu au wanasiasa,sio lissu tu BALI NA WENGINE WOTE WALIOKAMATWA KIUONEVU WAACHIWE na kikubwa zaidi CCM IVUNJWE NA WAHUSIKA WOTE WA HII KADHIA WAWAJIBISHWE KWA NAMNA ZOTE ZINAZOWEZEKANA
HAITOKWENDA BURE DAMU YA WOTE WALIOKUFA KABLA,KATIKA NA BAADA YA MAANDAMANO
mkilazimisha,tupo tayari Nchi itumbukie VITANI rasmi
Tukienda kwenye PLAN B,hii Nchi haitakuwa tena kama awali,endeleeni kujifanya MAJUHA sasa
Wanataka kujifanya kumuachia lissu ili mambo yaishe turudi kule kule tulipotoka,tusikibali hata kidogo kufanyiwa ULAGHAI wa aina yoyote
Madai yetu hayapo tena kwenye level za vyama au watu fulani, hii Nchi sio mali ya kikundi flani cha watu au wanasiasa,sio lissu tu BALI NA WENGINE WOTE WALIOKAMATWA KIUONEVU WAACHIWE na kikubwa zaidi CCM IVUNJWE NA WAHUSIKA WOTE WA HII KADHIA WAWAJIBISHWE KWA NAMNA ZOTE ZINAZOWEZEKANA
HAITOKWENDA BURE DAMU YA WOTE WALIOKUFA KABLA,KATIKA NA BAADA YA MAANDAMANO
mkilazimisha,tupo tayari Nchi itumbukie VITANI rasmi
Tukienda kwenye PLAN B,hii Nchi haitakuwa tena kama awali,endeleeni kujifanya MAJUHA sasa