supermario
Member
- Dec 2, 2011
- 48
- 15
Wakazi wa Mbezi Beach chukueni tahadhari kutokana na ujambazi kuanza tena. Hivi karibuni kumekuwa na matukio mawili tayari maeneo ya Mbezi Beach Makonde ambapo duka limevamiwa na jamaa kupiga hela na kukombia na pikipiki.
Wale wa kutembea na kurudi majumbani kwao usiku wa manane pia wawe waanagalifu mno maana wakianza huwa wanapiga sehemu mbali mbali.
Sambaza ujumbe kwa jirani yako!
Wale wa kutembea na kurudi majumbani kwao usiku wa manane pia wawe waanagalifu mno maana wakianza huwa wanapiga sehemu mbali mbali.
Sambaza ujumbe kwa jirani yako!