TheMnyonge
JF-Expert Member
- Mar 25, 2022
- 739
- 1,871
Kampuni ya Ardhisol ni moja ya kampuni zinazofanya shughuli za upimaji wa maeneo!
Hawa jamaa wamekuwa wakizunguka kwa wananchi na kuwashawishi wawape viwanja kwa ajili ya kuvipima, na wao hutangaza kuviuza ilhali wenye maeneo yao walishauza kama squatter!
Kuna maeneo mengi ya mtaa wa MAKUNGANYA, wamefanya kuwarubuni wananchi waliokwisha uza maeneo yao, ili tu wapate plots za kuuza kupitia pages zao na kwa kuwa wanunuzi hawajui kuwa maeneo yanayouzwa tayari yana watu basi inazaliwa migogoro isiyoisha!
Kwa wale ambao mnatarajia kununua viwanja KUPITIA KAMPUNI YA ARDHISOL, Makunganya Morogoro, chukueni TAHADHARI kubwa, ili msijelizwa na kuachiwa urithi wa migogoro!
Upigaji sector ya ardhi unarudi kwa kasi kubwa sana, tuchukue TAHADHARI.
Hawa jamaa wamekuwa wakizunguka kwa wananchi na kuwashawishi wawape viwanja kwa ajili ya kuvipima, na wao hutangaza kuviuza ilhali wenye maeneo yao walishauza kama squatter!
Kuna maeneo mengi ya mtaa wa MAKUNGANYA, wamefanya kuwarubuni wananchi waliokwisha uza maeneo yao, ili tu wapate plots za kuuza kupitia pages zao na kwa kuwa wanunuzi hawajui kuwa maeneo yanayouzwa tayari yana watu basi inazaliwa migogoro isiyoisha!
Kwa wale ambao mnatarajia kununua viwanja KUPITIA KAMPUNI YA ARDHISOL, Makunganya Morogoro, chukueni TAHADHARI kubwa, ili msijelizwa na kuachiwa urithi wa migogoro!
Upigaji sector ya ardhi unarudi kwa kasi kubwa sana, tuchukue TAHADHARI.