OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Ili kuepuka yale yaliomtokea Masauni(aliekuwa mwenyekti wa UVCCM) kujiuzulu kwa kosa la kudanganya umri naomba kutoa tahadhari kama raia mwema kwa UVCCM kuepuka kosa hilo lisitokee na mwaka huu tena,....kuna ngudu zangu wawili ambao nawafahamu kiundani na wamechukua fomu za kuomba uteuzi ambapo wamefoji umri zao ili waweze kupitishwa katika uteuzi..JERRY SLAA Na MAVUNDE ni marafiki zangu sana ila katika hili wamepitiliza Mavumde nimesoma nae primary,Jery pioa ni rafiki yangu through my bro ambae alisoma nae,kwa kifupi nawafahamu sana sana , ..nomba UVCCM muwe macho na birth certificate zao wametengeneza kwa maana ya kufoji hivyo ni vyema Polisi wahusishwe ili waweze kufanya uchunguzi wa fojari which is contraly to penal code.