Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Kuna habari kuwa kuna peni maalum zimeingizwa kwa ajili ya kufunga goli la mkono,tukienda kupiga kura twende na peni zetu kwani kuna hatari vituoni kukawa na peni za goli la mkono,ukiandikia na baada ya dakika tano maneno yanafutika na kura kuharibika.hasa kwenye sehemu zenye ushawishi mkubwa wa upinzani.angalia picha hii chini