Teresia Mahimbi
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 271
- 91
WANAJAMII FORUM mnaotafuta kazi mjihadhari na hili tapeli linaitwa Peter Myaka, na wenzie watatu,mmoja anajifanya Daktra wana project kuhusu mambo ya community na mwingine anajifanya mzungu..
Atakudanganya kwamba mshahara dola elfu nne na marupurupu kibao so be aware..Watakapopata namba yako hutajua ,utastukia wanakupigia. Ni matapeli walitaka kumtapeli mtu ninaemjua alovyoniambia tu kwamba wamemchomekea sijui wanataka kununua dawa ya kuhifadhi vyakula atume down paymeny kwa m pesa blah blah,nkamwambia hao matapeli..watakuanza na gia ya kazi.
Wanatumia namba zifuatazo hebu zitazameni zimeandikwa/kusajiliwa kwa majina gani
1. 0786153444- hii anatumia huyo anayeejifanya mzungu from European Union ,
2.0718234061- anajiita Dr Eliakim
3. 0782085851- anjiita Dr Eliakim
4. 0782 085073 anaitwa Peter Myaka ,anajifanya Sales Manager wa Azam huko wanakodai wanakoouza hizo dawa,huyu ndo atakutumia namba ya tigo pesa ya kutuma...
Atakudanganya kwamba mshahara dola elfu nne na marupurupu kibao so be aware..Watakapopata namba yako hutajua ,utastukia wanakupigia. Ni matapeli walitaka kumtapeli mtu ninaemjua alovyoniambia tu kwamba wamemchomekea sijui wanataka kununua dawa ya kuhifadhi vyakula atume down paymeny kwa m pesa blah blah,nkamwambia hao matapeli..watakuanza na gia ya kazi.
Wanatumia namba zifuatazo hebu zitazameni zimeandikwa/kusajiliwa kwa majina gani
1. 0786153444- hii anatumia huyo anayeejifanya mzungu from European Union ,
2.0718234061- anajiita Dr Eliakim
3. 0782085851- anjiita Dr Eliakim
4. 0782 085073 anaitwa Peter Myaka ,anajifanya Sales Manager wa Azam huko wanakodai wanakoouza hizo dawa,huyu ndo atakutumia namba ya tigo pesa ya kutuma...