DK Mweluvu
Member
- Mar 3, 2020
- 84
- 124
Mdau,
Napenda kutoa tahadhari kwa mashabiki wa yanga kwa msimu huu wa 2023/2024 utakuwa msimu mgumu sana sana kwa timu hii yenye makazi yake Avic town
Balaa litaanzia Jun 22 ambapo sherehe itaharibika kwa yanga kupokea kipigo kitakatifu kutoka kwa Kaizer chiefs ya bondeni kwa madiba
Sekeseke litaendelea August ambapo hawatofanikiwa kuchukua Ngao ya jamii na hivyo mashabiki watajipa natumaini ya kuchukua kombe kwa nara ya 3 mfululizo.lakini mambo hayatokuwa hivyo kwani ..
Msimu 2023)2024 utakua na ushindani sana kwa mahasimu wa ligi hii na mwisho klabu ya Young African sc haitobeba kombe lolote msimu 2023/2024
Kama haitoshi yatakua maajabu kwa klabu iliofanikiwa kufika fainali.bahati mbaya klabu hii haitafuzu hata makundi msimu huu kwenye ligi ya mabingwa.bahati mbaya zaidi CAF walifuta sheria za mbeleko na favor
Ni mimi Mcha-Mbuzi
Nawasilisha
Napenda kutoa tahadhari kwa mashabiki wa yanga kwa msimu huu wa 2023/2024 utakuwa msimu mgumu sana sana kwa timu hii yenye makazi yake Avic town
Balaa litaanzia Jun 22 ambapo sherehe itaharibika kwa yanga kupokea kipigo kitakatifu kutoka kwa Kaizer chiefs ya bondeni kwa madiba
Sekeseke litaendelea August ambapo hawatofanikiwa kuchukua Ngao ya jamii na hivyo mashabiki watajipa natumaini ya kuchukua kombe kwa nara ya 3 mfululizo.lakini mambo hayatokuwa hivyo kwani ..
Msimu 2023)2024 utakua na ushindani sana kwa mahasimu wa ligi hii na mwisho klabu ya Young African sc haitobeba kombe lolote msimu 2023/2024
Kama haitoshi yatakua maajabu kwa klabu iliofanikiwa kufika fainali.bahati mbaya klabu hii haitafuzu hata makundi msimu huu kwenye ligi ya mabingwa.bahati mbaya zaidi CAF walifuta sheria za mbeleko na favor
Ni mimi Mcha-Mbuzi
Nawasilisha