figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,635
- 62,523
wale wanao tumia vifurushi vya airtel kaeni makini sana.
wanaibaje?- Hawa jamaa ukijiunga na kifurushi cha siku, wiki au mwezi huwa wana disconnect kabla muda uliolipia haujaisha hasa kama simu yako au kifaa unachokitumia kina hela ya ziada. Ile siku ya mwisho ndo wanakata salio. lakini kama hamna salio mnaenda nao sawa hadi dakika ya mwisho.
So ukinunua kifurushi hakikisha kifaa unacho kitumia hakina heka ya ziada vinginevyo utakuta imekombwa yote.
Mimi baada ya kutokea hilo tatizo nikawaendea hewani wakaniambia tatizo wanalishughulikia lakini hamna kitu. Nami ntakomaa nao hadi wanirudishie hela yangu walio niibia. wameshanikomba salio langu kama mara tatu. So sasa hivi nakua makini na kubakiza hela ninunuapo kifurushi.
Natumia nafasi hii kuwaomba airtel waache kunifanyia uhuni mimi mlala hoi. ni hayo tu. mia
wanaibaje?- Hawa jamaa ukijiunga na kifurushi cha siku, wiki au mwezi huwa wana disconnect kabla muda uliolipia haujaisha hasa kama simu yako au kifaa unachokitumia kina hela ya ziada. Ile siku ya mwisho ndo wanakata salio. lakini kama hamna salio mnaenda nao sawa hadi dakika ya mwisho.
So ukinunua kifurushi hakikisha kifaa unacho kitumia hakina heka ya ziada vinginevyo utakuta imekombwa yote.
Mimi baada ya kutokea hilo tatizo nikawaendea hewani wakaniambia tatizo wanalishughulikia lakini hamna kitu. Nami ntakomaa nao hadi wanirudishie hela yangu walio niibia. wameshanikomba salio langu kama mara tatu. So sasa hivi nakua makini na kubakiza hela ninunuapo kifurushi.
Natumia nafasi hii kuwaomba airtel waache kunifanyia uhuni mimi mlala hoi. ni hayo tu. mia