Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bas yeye akawaambia watu kuwa ni kweli hizi jokes zenu
Wee sema kweli?

Aisee huwa naonana na wana-Jf; ila huwa tunawasiliana kwenye simu ndiyo tunatukana. Sijawahi kukutana na mtu kupitia comments.

Afu coca na wewe; hilo pdf hakuna watu/ mtu ulim-forwadia; atafute kwenye convo huko mnitumie wajameni?
 
Unamtisha bana muache achangie[emoji23][emoji23]
 
Mie najali hata ! Bila shaka u mkongwe humu unajua ningekua mlaini ningeshakimbiaga kitambo sana humuu tena ndiokwanza nataka niirudishe username yangu sema walipita nayo!
Ile ya Maho😁😁 kweli kila zama na kitabu chake, hata hivyo ya kale ni historia tu. Watu waishi na wafurahie life...
 
Adui usimuogope
Me nawakanda mpk wanakuja na id mpya, nazo wakija nazo nawapiga spana wanakimbilia kunireport kwa modes

Ss nataka niongee na Mello niikatie bima id yangu isiwe inasumbuliwa na ban [emoji23][emoji23][emoji23]
Ww tena unatamani iwe kila siku[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…