Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,575
- 235,413
Sketi yangu ya marinda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasemajeee mie na G 4rever,
Haachwi mtu hapaa, afe kipa afe bekii.
Labda niamue mie kum dump, ila co yeye, hawezi tenaa.
Ya faraghan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sketi yangu ya marinda[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakufa na G wallah.Aisee
Kweli Coca umeshikilia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha kabisaπYa faraghan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatumuachi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakufa na G wallah.
Kuna nn jmn?Daah basi mkuu yaishe mambo yasiwe mengi. Hiki kinachoendelea hapa sio mambo yangu kabisa. Adios
Yaani jf siku 2 tu usipoonekana unakuta matukioYaani mimi nisivyoweza kumficha mtu
Ningewajua mapema sana ningekichafuaπ€£
What is going on?π€·Pole mpenzi...β€οΈ
Kantry π€·Huyu penseli si huwa ni rafiki yako? Leo mbona anakusumbua tena?[emoji23]
Yaani nashangaa jmn!Kuliwa wanawake sio kitu cha ajabu
Ww ukiliwa ndio itakua ajabu
Don't waste your precious energy on them suckers!!What is going on?π€·
Hebu niambie
Jmn ujue huu upuuzi ukiachiwa ukaendelea tutazoeana vbyDon't waste your precious energy on them suckers!!
Najuta kwann Jana sikuwa onlineWatu wanasubiri tufe etiππππ
πππWatu kwa sifa utawaweza??? Kama alivokua anatamba kuwala wewe na mama pasta humu Nilivosikia nilichekajee nikasema maombi yalikua yanaenda na dawa hahaha Jf usiamini kila unalosikia kiukweli!
Vocha zilikua zinarushwa hadi za laki moja mbona!
Nakulana na wengi mkuuπ , sijapona hata!Kuhama muhimu...au umeponaπ