seifutz
Member
- Jul 18, 2021
- 34
- 113
Mahusiano ni maisha, Katika Kipindi ambacho bado upo Duniani Huwezi kukwepa Kutafuta Mwenza,
Sasa Usifanye Kosa la Kulazimisha mapenzi, Yatakula Furaha yako ,Yatakula Muda wako na yatakuondolea hadi Mood ya kupambana Kimaisha.
Tafuta wa Saizi Yako.
Wa Saizi Yako ki uchumi
Wa saizi yako Ki Uwezo
Kutafuta mtu ambae unajuwa kabisa hutaweza kumhudumia hilo Kosa usifanye,
Kumtafuta mtu kwa sababu ana uwezo hilo kosa usifanye ni ngumu sana kukuthamini sababu watu kama wewe anaweza kuwapata wengi tu kupitia huo uchumi wake.
Simaanishi uwatafute masikini wenzio, Namaabisha tafuta wa Saizi Yako, Hamtasumbuana sana.
Kuna wanawake bateji ya Siku tu laki nzima wakati huo wewe Laki unaitafuta mwezi mzima, huyu hakufai.
Uzuri wowote unaoona kwa mwanamke unatumia pesa kama huna pesa tafuta wa saizi yako ,hakuna anaependa Shida Duniani,
Hili neno Huyu mwanamke anapenda Pesa , linatokana na Uchumi ulionao
Kuna mtu anampa mchepuko laki 5 ya matumizi na hawazi, kitu ambacho wewe huwezi kufanya
Kwani wewe huwa huoni unakutana na Mdada anatumia Iphone wewe una Infinix, Na unajuwa huyu Dada Hakusoma , hana kazi na hana Ajira yoyote, Basi yupo wa Saizi yake ambae haoni shida kutoa Iphone 12 pro max.
Ukitafuta wa Saizi yako hayo mambo ya Iphone hawezi kukwambia ,Sana sana atakwambia anaomba Tsh. 10000 akasuke hiyo inaweza kuwa sio shida kwako kuliko kuambiwa "baby naomba laki na nusu nikaset nywele"
Suruhisho na kuishi kwa Uhuru na Furaha katika mapenzi ni kupata wa Saizi yako.
Sasa Usifanye Kosa la Kulazimisha mapenzi, Yatakula Furaha yako ,Yatakula Muda wako na yatakuondolea hadi Mood ya kupambana Kimaisha.
Tafuta wa Saizi Yako.
Wa Saizi Yako ki uchumi
Wa saizi yako Ki Uwezo
Kutafuta mtu ambae unajuwa kabisa hutaweza kumhudumia hilo Kosa usifanye,
Kumtafuta mtu kwa sababu ana uwezo hilo kosa usifanye ni ngumu sana kukuthamini sababu watu kama wewe anaweza kuwapata wengi tu kupitia huo uchumi wake.
Simaanishi uwatafute masikini wenzio, Namaabisha tafuta wa Saizi Yako, Hamtasumbuana sana.
Kuna wanawake bateji ya Siku tu laki nzima wakati huo wewe Laki unaitafuta mwezi mzima, huyu hakufai.
Uzuri wowote unaoona kwa mwanamke unatumia pesa kama huna pesa tafuta wa saizi yako ,hakuna anaependa Shida Duniani,
Hili neno Huyu mwanamke anapenda Pesa , linatokana na Uchumi ulionao
Kuna mtu anampa mchepuko laki 5 ya matumizi na hawazi, kitu ambacho wewe huwezi kufanya
Kwani wewe huwa huoni unakutana na Mdada anatumia Iphone wewe una Infinix, Na unajuwa huyu Dada Hakusoma , hana kazi na hana Ajira yoyote, Basi yupo wa Saizi yake ambae haoni shida kutoa Iphone 12 pro max.
Ukitafuta wa Saizi yako hayo mambo ya Iphone hawezi kukwambia ,Sana sana atakwambia anaomba Tsh. 10000 akasuke hiyo inaweza kuwa sio shida kwako kuliko kuambiwa "baby naomba laki na nusu nikaset nywele"
Suruhisho na kuishi kwa Uhuru na Furaha katika mapenzi ni kupata wa Saizi yako.