Tafuta kazi, kuwa busy.

Tafuta kazi, kuwa busy.

mnoel

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
211
Reaction score
98
Ukiona unaamka Asubuh, Simu yako iko full charge... inafika sa 6... charge imeisha. Tafuta kazi bro, ishara sio nzuri hiyo. Naongea maana ndio experience ninayopitia sasa. This is very serious, lifanyiwe kazi wakuu.
 
na mm nasema hv...... ukiona unafanya kazi huwezi hata kushika simu yako kwa masaa sita au zaid na unafika nyumbn nako huitaman unalala tuu, achaa sio ishara nzuri, ndio situation ninayopitia sasahv , hahahahaaaaa.
 
Vipi kama simu hiyo ndo kitendea kazi kikuu cha kazi yako?
Kuna exceptions mkuu. Ila nazungumzia majority...Sina cha kufanya. Nikikosa bundle ndo nachanganyikiwa... Nakuwa mpweke. Hii torture ni hatari.
 
Back
Top Bottom