tafsiri

Husninyo

Platinum Member
Joined
Oct 24, 2010
Posts
24,252
Reaction score
10,495
habari?

naomba kujua hawa viumbe wanaitwaje kwa kiswahili

1. tiger prawn
2. orange crab
3. tuna.
natanguliza shukrani. cc Kiranga, Gaijin Nyani Ngabu @ the boss....... etc
 
Last edited by a moderator:
3. Tuna = Jodari

*lakini watu wengine huandika hivyo hivyo tuna


1. Tiger prawn = kamba

2. Orange crab = kaa

* 1 na 2 siwajui na kabila lao, bali ningesema "kamba wadogo" na "kaa wakubwa" :A S-confused1:
 
3. Tuna = Jodari

*lakini watu wengine huandika hivyo hivyo tuna


1. Tiger prawn = kamba

2. Orange crab = kaa

* 1 na 2 siwajui na kabila lao, bali ningesema "kamba wadogo" na "kaa wakubwa" :A S-confused1:
ahsante sana mpendwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…