Husninyo Platinum Member Joined Oct 24, 2010 Posts 24,252 Reaction score 10,495 Aug 19, 2013 #1 habari? naomba kujua hawa viumbe wanaitwaje kwa kiswahili 1. tiger prawn 2. orange crab 3. tuna. natanguliza shukrani. cc Kiranga, Gaijin Nyani Ngabu @ the boss....... etc Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
habari? naomba kujua hawa viumbe wanaitwaje kwa kiswahili 1. tiger prawn 2. orange crab 3. tuna. natanguliza shukrani. cc Kiranga, Gaijin Nyani Ngabu @ the boss....... etc
Gaijin JF-Expert Member Joined Aug 21, 2007 Posts 11,812 Reaction score 5,303 Aug 19, 2013 #2 3. Tuna = Jodari *lakini watu wengine huandika hivyo hivyo tuna 1. Tiger prawn = kamba 2. Orange crab = kaa * 1 na 2 siwajui na kabila lao, bali ningesema "kamba wadogo" na "kaa wakubwa" :A S-confused1:
3. Tuna = Jodari *lakini watu wengine huandika hivyo hivyo tuna 1. Tiger prawn = kamba 2. Orange crab = kaa * 1 na 2 siwajui na kabila lao, bali ningesema "kamba wadogo" na "kaa wakubwa" :A S-confused1:
Husninyo Platinum Member Joined Oct 24, 2010 Posts 24,252 Reaction score 10,495 Aug 19, 2013 Thread starter #3 Gaijin said: 3. Tuna = Jodari *lakini watu wengine huandika hivyo hivyo tuna 1. Tiger prawn = kamba 2. Orange crab = kaa * 1 na 2 siwajui na kabila lao, bali ningesema "kamba wadogo" na "kaa wakubwa" :A S-confused1: Click to expand... ahsante sana mpendwa.
Gaijin said: 3. Tuna = Jodari *lakini watu wengine huandika hivyo hivyo tuna 1. Tiger prawn = kamba 2. Orange crab = kaa * 1 na 2 siwajui na kabila lao, bali ningesema "kamba wadogo" na "kaa wakubwa" :A S-confused1: Click to expand... ahsante sana mpendwa.