Anfaal
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 1,154
- 113
Yapo maneno mengi saana yanatamkwa na waomba na wanaowaombea Kura.
Mfano;
1. JK wakati yupo Iringa baadhi ya vyombo vya habari vilimkariri akisema; Chagua CHAMA na si mgombea. Wakati huu alikuwa akimnadi mgombea wa CCM na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Monica Mbega.
Ni wazi kuwa Monica Mbega amekumbana na upinzani wa hali ya juu baada ya kuanguka kwa Mwakalebela. Na sasa hivi unaonekana mchuano mkali kati ya CHADEMA na CCM.
2. Mgombea wa Ubunge kwa tiketi ya CHADEMA ndugu Nyimbo katika moja ya kampeni zake za Uchaguzi alisikika na yeye akinadi; CHAGUA mtu na si CHAMA.
Hapa tunaweza kupata tafsiri ipi kwa wale wanaohimiza achaguliwe mtu na wale wanohimiza chama ndio kipewe nafasi??
Na je CHAMA hakina watu au watu hawana CHAMA?
Mfano;
1. JK wakati yupo Iringa baadhi ya vyombo vya habari vilimkariri akisema; Chagua CHAMA na si mgombea. Wakati huu alikuwa akimnadi mgombea wa CCM na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Monica Mbega.
Ni wazi kuwa Monica Mbega amekumbana na upinzani wa hali ya juu baada ya kuanguka kwa Mwakalebela. Na sasa hivi unaonekana mchuano mkali kati ya CHADEMA na CCM.
2. Mgombea wa Ubunge kwa tiketi ya CHADEMA ndugu Nyimbo katika moja ya kampeni zake za Uchaguzi alisikika na yeye akinadi; CHAGUA mtu na si CHAMA.
Hapa tunaweza kupata tafsiri ipi kwa wale wanaohimiza achaguliwe mtu na wale wanohimiza chama ndio kipewe nafasi??
Na je CHAMA hakina watu au watu hawana CHAMA?