"Dogy style" au siyo mkuu!?hahahaaa!!Wabongo wakaona ile TI iwe ni mtu ameanguka amekita magoti huku mikono iko chini
"Dogy style" au siyo mkuu!?hahahaaa!!Wabongo wakaona ile TI iwe ni mtu ameanguka amekita magoti huku mikono iko chini
mkuu mi sifanyi promosheni, nilitaka tu kuelimisha.matangazo yanalipiwa mkuu. japo la kwako umelileta kwa staili ya kipekee, wabongo mnaakili sana sijawai ona
vipi mkuu!?Duu!!!![]()
inawezekana mkuu, Joti tatizo.Kama kumbukumbu zangu zitakuwa vizuri,hili wa watu kuitafsiri tigo tofauti haikutokana na jina hilo Bali walikuwa na tangazo lao lenye kufikirisha mambo flani.Sina uhakika sana nahisi ni ile ------- twanga kote kote .
mkuu, tafsiri ya kweli ni hiyo niliyokuleteeni, hizo nyingine ni zakubuni tu.Kuna page moja instagram.
Inasema maana ya tigo.
Ni. TRUST IN GOD ONLY.
Aisee!!Hahaha mwanzo walianza na kauli mbiu ya "Express yourself!" Ndio ilianzisha balaa 😂😂😂, wahuni wakatafsiri ile logo ya tigo hasa ule muundo wa herufi 'o' kuulinganisha na kiungo flani cha siri cha mwanadamu(puru).
Tigo ilianza kutumika kama msimu zagao tu ila kwa sasa nadhani unakaribia kuingizwa katika kamusi maana kampuni ya tigo is there to stay.
ChordoSiku zote sikua nikikubaliana na tafsiri ya jina la mtandao pendwa wa simu la Tigo , ambalo kila mtu amekua akilitafsiri kwa namna apendavyo. nilikua nikiitafuta tafsiri ya kweli na leo nimeipata. hivyo napenda kuwajuza wana Jf ambao nao walikua hawaijui-
Jina tigo linatokana na muunganiko wa maneno mawili, ti na go. ti nineno lisilo na maana maalum linalotafsiri kuwa ni kishindo cha kuanguka kwa kitu au mtu, na neno go- nilakiingereza lenye maana ya kwenda mbele. (ubunifu wa mchina huo)lengo ni kuwatia moyo wale ambao hawakufanikiwa katika jambo fulani "waliofeli" wasikate tamaa,wasihuzunike bali waendelee kujaribu au kufanya mambo mengine. kwahiyo "ti" umeanguka "go" nyanyuka uende sio kubaki hapo unalalamika. wasomi wanatwambia" Do'nt get too worried about fail but take it as a lesson lernt to do differently at the other time"
au sioAliyebuni yupo kuzimu sa hivi anachochea kuni anawasubiri wenzake
Wakiwashe
acha zako ni dondoka tiiii chini piga mashine alafu gooo au kimbia, kula kona. huwezi kuiachanisha tigo na mambo ya mikuyenge, washeri.Siku zote sikua nikikubaliana na tafsiri ya jina la mtandao pendwa wa simu la Tigo , ambalo kila mtu amekua akilitafsiri kwa namna apendavyo. nilikua nikiitafuta tafsiri ya kweli na leo nimeipata. hivyo napenda kuwajuza wana Jf ambao nao walikua hawaijui-
Jina tigo linatokana na muunganiko wa maneno mawili, ti na go. ti nineno lisilo na maana maalum linalotafsiri kuwa ni kishindo cha kuanguka kwa kitu au mtu, na neno go- nilakiingereza lenye maana ya kwenda mbele. (ubunifu wa mchina huo)lengo ni kuwatia moyo wale ambao hawakufanikiwa katika jambo fulani "waliofeli" wasikate tamaa,wasihuzunike bali waendelee kujaribu au kufanya mambo mengine. kwahiyo "ti" umeanguka "go" nyanyuka uende sio kubaki hapo unalalamika. wasomi wanatwambia" Do'nt get too worried about fail but take it as a lesson lernt to do differently at the other time"