Tafsiri potofu ya agizo la Rais Samia kuhusu kodi itaigharimu Serikali

Hizi stori zingine mnaokoteleza kwenye vijiwe vya kahawa na kuleta kwenye jukwaa. Nadhani Mwinyi wakati anaongoza nchi wewe ulikuwa bado mtoto mdogo,hakuna unachojua.

Mwinyi alipokea nchi ikiwa hoi bin taabani kiuchumi! Akafufua uchumi na kuweka msingi ambao Mkapa alikuja kuendelea kuboresha.

Hali ya uchumi wa Tanzania ilikuwa mbaya mno wakati Mwinyi anapokea nchi kutoka kwa Nyerere. Wanaomdharau Mwinyi wanalishwa matango pori tu na waganga njaa!
Ataelewa nini huyo wakati kakuta tayari tv zimejaa mjini
 
Ndugu zangu,

Rais Samia kwania njema kabisa ametaka TRA waache mabavu kukusanya kodi. Ila kwa uzoefu na hulka ya binadamu huwa hawapendi kulipa kodi.Naam kodi ikusanywe kwa mujibu wa sheria bila uonevu ila kuna haya ya kuangaliwa laa sivyo serikali itakosa zaidi;

Mosi,kukubali hadharani kuwa miezi mitano au sita ijayo mapato ya serikali yatashuka ni ujumbe kwa TRA kuwa wasifanye jitihada kukusanya mapato.Sijajua serikali itafidia vipi upungufu huu wa makusanyo.

Pili,ni hulka ya binadamu kutopenda kulipa kodi sasa kuamini kuwa mfanyabiashara atatoa taarifa zake sahihi kwa TRA hapa kuna shida na hii inatoa mwanya mkubwa kwa watumishi wa TRA na Wafanyabiashara kuamua ngapi ziende Serikalini.

Nimalize kwa kusema kuwa maagizo ya Rais Samia kuhusu kodi yamepata tafsiri potofu na kama serikali isiporekebisha yale malengo ya kukusanya trilioni mbili kila mwezi yatabaki kama matamanio.
Hivyo ndivyo ulivyo elewa wewe, lakini TRA wana wasimamizi na wakizingua watazinguliwa.
 
Ndugu zangu,

Rais Samia kwania njema kabisa ametaka TRA waache mabavu kukusanya kodi. Ila kwa uzoefu na hulka ya binadamu huwa hawapendi kulipa kodi.Naam kodi ikusanywe kwa mujibu wa sheria bila uonevu ila kuna haya ya kuangaliwa laa sivyo serikali itakosa zaidi;

Mosi,kukubali hadharani kuwa miezi mitano au sita ijayo mapato ya serikali yatashuka ni ujumbe kwa TRA kuwa wasifanye jitihada kukusanya mapato.Sijajua serikali itafidia vipi upungufu huu wa makusanyo.

Pili,ni hulka ya binadamu kutopenda kulipa kodi sasa kuamini kuwa mfanyabiashara atatoa taarifa zake sahihi kwa TRA hapa kuna shida na hii inatoa mwanya mkubwa kwa watumishi wa TRA na Wafanyabiashara kuamua ngapi ziende Serikalini.

Nimalize kwa kusema kuwa maagizo ya Rais Samia kuhusu kodi yamepata tafsiri potofu na kama serikali isiporekebisha yale malengo ya kukusanya trilioni mbili kila mwezi yatabaki kama matamanio.
Ninyi wapiga debe mliokuwa mnafaidika na rushwa huko TRA sasa mmepatikana.
Hakuna kipato cha wizi Mama Samia kawaweka sehemu mnayo stahili.
Hakua mahali duiani mtu anakumbambika kodi ya bilioni oja halafu "mnaongea" ili umlipe milioni 300 halafu ana sema kalipe milioni 200 serikalini.

Usipokubaliaana unabambikwa kesi ya uhujumu uchumi.
Mmeshajuikana.
 
Life has to go on! We have a new captain on board and we are about to take off. At the moment we taxing , subiri kwanza mpaka tufike cruising level 😷😷😭😭
 
Ndugu zangu,

Rais Samia kwania njema kabisa ametaka TRA waache mabavu kukusanya kodi. Ila kwa uzoefu na hulka ya binadamu huwa hawapendi kulipa kodi.Naam kodi ikusanywe kwa mujibu wa sheria bila uonevu ila kuna haya ya kuangaliwa laa sivyo serikali itakosa zaidi;

Mosi,kukubali hadharani kuwa miezi mitano au sita ijayo mapato ya serikali yatashuka ni ujumbe kwa TRA kuwa wasifanye jitihada kukusanya mapato.Sijajua serikali itafidia vipi upungufu huu wa makusanyo.

Pili,ni hulka ya binadamu kutopenda kulipa kodi sasa kuamini kuwa mfanyabiashara atatoa taarifa zake sahihi kwa TRA hapa kuna shida na hii inatoa mwanya mkubwa kwa watumishi wa TRA na Wafanyabiashara kuamua ngapi ziende Serikalini.

Nimalize kwa kusema kuwa maagizo ya Rais Samia kuhusu kodi yamepata tafsiri potofu na kama serikali isiporekebisha yale malengo ya kukusanya trilioni mbili kila mwezi yatabaki kama matamanio.
Binafsi mimekuelewa.

Hapa serikali ijipange sana tu.
 
Kuporwa pesa bila sababu hakuna....
Yap
Huwezi kuporwa bila sababu , lakini je sababu hizo zina mantiki? Ndio hoja ilipo hapo. Na ndio anachozungumzia mama waache kupora pesa kwa sababu zisizo na kichwa wala miguu .
 
Mama amefeli mapema sana tunarudi enzi za Mwinyi kila kitu kinakufa
Miaka hii mitano tumedanganywa sana.... tukaamini nchi iko kwenye right track. Wanaojua wanajua, hali ni mbaya. Kuna mwezi wafanyakazi wa SGR walilipwa mishahara na shirika moja hivi la umma(jina kapuni). Sera za uchumi za Jiwe hazikuwa sustainable. Corona imekuja kuongeza tu makali, lakini hali ilikuwa mbaya even before Corona.
 
Mshukuru Mwinyi maana ndo hata aliwacha TV zikaingia nchini...uchumi ulioachwa na JK ulianzia kwa Mwinyi.... ruksa ilileta exposure kwa WaTZ... kwa blaza Magu tungeelekea kupanga mstari kuchukua sukari na vipande vya sabuni...na kunywa uji wa njano
Uji wa njano ndio upi? Unajisifu kwa kunywa uji mweupe???? Google faida za uji wa njano, kwa nini wapewe watoto kama lishe, kuna nini cha tofauti??
 
Ndugu zangu,

Rais Samia kwania njema kabisa ametaka TRA waache mabavu kukusanya kodi. Ila kwa uzoefu na hulka ya binadamu huwa hawapendi kulipa kodi.Naam kodi ikusanywe kwa mujibu wa sheria bila uonevu ila kuna haya ya kuangaliwa laa sivyo serikali itakosa zaidi;

Mosi,kukubali hadharani kuwa miezi mitano au sita ijayo mapato ya serikali yatashuka ni ujumbe kwa TRA kuwa wasifanye jitihada kukusanya mapato.Sijajua serikali itafidia vipi upungufu huu wa makusanyo.

Pili,ni hulka ya binadamu kutopenda kulipa kodi sasa kuamini kuwa mfanyabiashara atatoa taarifa zake sahihi kwa TRA hapa kuna shida na hii inatoa mwanya mkubwa kwa watumishi wa TRA na Wafanyabiashara kuamua ngapi ziende Serikalini.

Nimalize kwa kusema kuwa maagizo ya Rais Samia kuhusu kodi yamepata tafsiri potofu na kama serikali isiporekebisha yale malengo ya kukusanya trilioni mbili kila mwezi yatabaki kama matamanio.
PSSSF ilishajifia kwa ujinga wenu mnaangamiza wafanyabiashara haijatosha mkachota na pesa za wafanyakazi kwenye mifuko ya jamii hadi SSH anashindwa hata lakusema jinsi ilivyofilisika
 
Sawa
Ninyi wapiga debe mliokuwa mnafaidika na rushwa huko TRA sasa mmepatikana.
Hakuna kipato cha wizi Mama Samia kawaweka sehemu mnayo stahili.
Hakua mahali duiani mtu anakumbambika kodi ya bilioni oja halafu "mnaongea" ili umlipe milioni 300 halafu ana sema kalipe milioni 200 serikalini.

Usipokubaliaana unabambikwa kesi ya uhujumu uchumi.
Mmeshajuikana.
 
Ndugu zangu,

Rais Samia kwania njema kabisa ametaka TRA waache mabavu kukusanya kodi. Ila kwa uzoefu na hulka ya binadamu huwa hawapendi kulipa kodi.Naam kodi ikusanywe kwa mujibu wa sheria bila uonevu ila kuna haya ya kuangaliwa laa sivyo serikali itakosa zaidi;

Mosi,kukubali hadharani kuwa miezi mitano au sita ijayo mapato ya serikali yatashuka ni ujumbe kwa TRA kuwa wasifanye jitihada kukusanya mapato.Sijajua serikali itafidia vipi upungufu huu wa makusanyo.

Pili,ni hulka ya binadamu kutopenda kulipa kodi sasa kuamini kuwa mfanyabiashara atatoa taarifa zake sahihi kwa TRA hapa kuna shida na hii inatoa mwanya mkubwa kwa watumishi wa TRA na Wafanyabiashara kuamua ngapi ziende Serikalini.

Nimalize kwa kusema kuwa maagizo ya Rais Samia kuhusu kodi yamepata tafsiri potofu na kama serikali isiporekebisha yale malengo ya kukusanya trilioni mbili kila mwezi yatabaki kama matamanio.


Hamjaangalia kwa upana. Huwezi kuuwa biashara halafu ukategemea kupata kodi miezi ijayo. Huwezi kwenda kudai kodi za nyuma wakati TRA ndiyo ilitoa hati safi za kodi. Kikubwa hapa ni watu binafsi wanatumia kodi kufanya biashara binafsi.
 
Ndugu zangu,

Rais Samia kwania njema kabisa ametaka TRA waache mabavu kukusanya kodi. Ila kwa uzoefu na hulka ya binadamu huwa hawapendi kulipa kodi.Naam kodi ikusanywe kwa mujibu wa sheria bila uonevu ila kuna haya ya kuangaliwa laa sivyo serikali itakosa zaidi;

Mosi,kukubali hadharani kuwa miezi mitano au sita ijayo mapato ya serikali yatashuka ni ujumbe kwa TRA kuwa wasifanye jitihada kukusanya mapato.Sijajua serikali itafidia vipi upungufu huu wa makusanyo.

Pili,ni hulka ya binadamu kutopenda kulipa kodi sasa kuamini kuwa mfanyabiashara atatoa taarifa zake sahihi kwa TRA hapa kuna shida na hii inatoa mwanya mkubwa kwa watumishi wa TRA na Wafanyabiashara kuamua ngapi ziende Serikalini.

Nimalize kwa kusema kuwa maagizo ya Rais Samia kuhusu kodi yamepata tafsiri potofu na kama serikali isiporekebisha yale malengo ya kukusanya trilioni mbili kila mwezi yatabaki kama matamanio.
Wap mama kasema wasikusanye kodi?
 
Back
Top Bottom