msindikizaji
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,763
- 2,883
Ngoja kidogo upate jumla ya deni liliochwa juzi kati na marehemu halafu ndo utaelewa mishahara ililipwaje...Mwakan ata shindwa kulipa mishaara yeye mwache acheze na wa bongo tu alete umwinyi,, na baada ya miez mitatu mbele makusanyo yata shuka halaf ata mtumbua kamishna wa TRA