Viwanda vingi nchini vinakufa kutokana na vikwazo vya Sheria na tozo

mwanamichakato

JF-Expert Member
Mar 20, 2015
987
795
Maono na kiu ya watanzania wengi kuona viwanda vikishamiri ktk nchi yetu.Na pia Ni Maono na kiu ya Mh Rais wetu kuendelea kuzindua viwanda vikubwa vya kimkakati hivyo kuchochea ukuaji wa uchumi, Uzalishaji, Unafuu wa bidhaa na kuokoa fedha nyingi za kigeni zinazotumika katika uagizaji toka nje ya nchi.

Gazeti la Daily News la Tarehe 13 Mei 2024 ukurasa wa 8 limechapisha habari ya utafiti uliofanywa na Dr Patrokil Kanje Mhadhiri toka Chuo Kikuu cha Dar es salaam unaolezea pamoja na mengine vikwazo vya kisheria, utaratibu,Tozo na Compliance vilivyopelekea na vinavyopolekea viwanda kupunguza uzalishaji, Kufungwa na kutoanzishwa Tanzania.

Tafiti inaonyesha kwa mwaka 2021 bidhaa zenye thamani ya dola za marekani 458.7 Milioni (Karibu TZS Tirioni 1.3) ziliagizwa toka nje kuja nchini. Mahitaji yanaongezeka kwa asilimia 9 kwa mwaka huku uzalishaji ukipungua kwa asilimia 10 mpaka 20.

Mh Rais na Mawaziri wa kisekta hili si la kufumbia macho ama kulikalia kimya. Ni janga kubwa kwa uchumi wa nchi ,afya ya uchumi, maendeleo ya Taifa na usalama wetu.

Mwenyezi Mungu awajalie kufufua mirija na mishipa ya uchumi wa viwanda kwa kuhakikisha mengi yaliopendekezwa kupitia Blue Print yanafanyiwa kazi kwa kuondoa vikwazo,mabonde,Milima na kero kwa wawekezaji wa ndani na wa nje.

Kwa kutekeleza kimkakati mapendekezo yaliotolewa na yanayoendelea kutolewa kupitia tafiti mbalimbali nina imani tutatoka hapa tunapokwama. Tunazo taasisi nyingi zenye kufanya tafiti zenye rutuba kwa maendeleo ya nchi kama REPOA,ESRF,UDSM,etc.

Wanasiasa kwa level zote hasa Mawaziri na watendaji ktk taasisi za Umma amkeni na muondoe bureaucracy (Ukiritimba) unaopelekea uchumi kusinyaa. Tuondoe vikwazo kwa faida ya nchi.

MUNGU IBARIKI AFRIKA,MUNGU IBARIKI TANGANYIKA,ZANZIBAR NA JMT
 
Maono na kiu ya watanzania wengi kuona viwanda vikishamiri ktk nchi yatu, Ni Maono na kiu ya Rais wetu kuendelea kuzindua viwanda vikubwa vya kimkakati hivyo kuchochea ukuaji wa uchumi, Uzalishaji, Unafuu wa bidhaa na kuokoa fedha nyingi za kigeni zinazotumika katika uagizaji toka nje ya nchi.

Gazeti la Daily News la Tarehe 13 Mei 2024 ukurasa wa 8 limechapisha habari ya utafiti uliofanywa na Dr Patrokil Kanje Mhadhiri toka Chuo Kikuu cha Dar es salaam unaolezea pamoja na mengine vikazo vya kisheria,utaratibu,Tozo na Compliance vilivyopelekea na vinavyopolekea viwanda kupunguza uzalishaji,Kufungwa na kutoanzishwa Tanzania.

Tafiti inaonyesha kwa mwaka 2021 bidhaa zenye thamani ya dola za marekani 458.7 Milioni (Karibu TZS Tirioni 1.3) ziliagizwa toka nje kuja nchini. Mahitaji yanaongezeka kwa asilimia 9 kwa mwaka huku uzalishaji ukipungua kwa asilimia 10 mpaka 20.

Mh Rais na Mawaziri wa kisekta hili si la kufumbia macho ama kulikalia kimya. Ni janga kubwa kwa uchumi wa nchi ,afya ya uchumi, maendeleo ya Taifa na usalama wetu.

Mwenyezi Mungu awajalie kufufua mirija na mishipa ya uchumi wa viwanda kwa kuhakikisha mengi yaliopendekezwa kupitia Blue Print yanafanyiwa kazi kwa kuondoa vikwazo,mabonde,Milima na kero kwa wawekezaji wa ndani na wa nje.

Kwa kutekeleza kimkakati mapendekezo yaliotolewa na yanayoendelea kutolewa kupitia tafiti mbalimbali nina imani tutatoka hapa tunapokwama. Tunazo taasisi nyingi zenye kufanya tafiti zenye rutuba kwa maendeleo ya nchi kama REPOA,ESRF,UDSM,etc.

Wanasiasa kwa level zote hasa Mawaziri na watendaji ktk taasisi za Umma amkeni na muondoe bureaucracy (Ukiritimba) unaopelekea uchumi kusinyaa. Tuondoe vikwazo kwa faida ya nchi.

MUNGU IBARIKI AFRIKA,MUNGU IBARIKI TANGANYIKA,ZANZIBAR NA JMT
Mawazo yako yaheshimiwe.
 
Ba
Maono na kiu ya watanzania wengi kuona viwanda vikishamiri ktk nchi yetu.Na pia Ni Maono na kiu ya Mh Rais wetu kuendelea kuzindua viwanda vikubwa vya kimkakati hivyo kuchochea ukuaji wa uchumi, Uzalishaji, Unafuu wa bidhaa na kuokoa fedha nyingi za kigeni zinazotumika katika uagizaji toka nje ya nchi.

Gazeti la Daily News la Tarehe 13 Mei 2024 ukurasa wa 8 limechapisha habari ya utafiti uliofanywa na Dr Patrokil Kanje Mhadhiri toka Chuo Kikuu cha Dar es salaam unaolezea pamoja na mengine vikwazo vya kisheria, utaratibu,Tozo na Compliance vilivyopelekea na vinavyopolekea viwanda kupunguza uzalishaji, Kufungwa na kutoanzishwa Tanzania.

Tafiti inaonyesha kwa mwaka 2021 bidhaa zenye thamani ya dola za marekani 458.7 Milioni (Karibu TZS Tirioni 1.3) ziliagizwa toka nje kuja nchini. Mahitaji yanaongezeka kwa asilimia 9 kwa mwaka huku uzalishaji ukipungua kwa asilimia 10 mpaka 20.

Mh Rais na Mawaziri wa kisekta hili si la kufumbia macho ama kulikalia kimya. Ni janga kubwa kwa uchumi wa nchi ,afya ya uchumi, maendeleo ya Taifa na usalama wetu.

Mwenyezi Mungu awajalie kufufua mirija na mishipa ya uchumi wa viwanda kwa kuhakikisha mengi yaliopendekezwa kupitia Blue Print yanafanyiwa kazi kwa kuondoa vikwazo,mabonde,Milima na kero kwa wawekezaji wa ndani na wa nje.

Kwa kutekeleza kimkakati mapendekezo yaliotolewa na yanayoendelea kutolewa kupitia tafiti mbalimbali nina imani tutatoka hapa tunapokwama. Tunazo taasisi nyingi zenye kufanya tafiti zenye rutuba kwa maendeleo ya nchi kama REPOA,ESRF,UDSM,etc.

Wanasiasa kwa level zote hasa Mawaziri na watendaji ktk taasisi za Umma amkeni na muondoe bureaucracy (Ukiritimba) unaopelekea uchumi kusinyaa. Tuondoe vikwazo kwa faida ya nchi.

MUNGU IBARIKI AFRIKA,MUNGU IBARIKI TANGANYIKA,ZANZIBAR NA JMT
Bahati mbaya unaweza Kuta hata waziri wa mwenye dhamana hajasoma Huo utafiti
Na ukifuatilia unaweza kuta taarifa za ongezeko la viwanda Kila mwaka
Kuanzia vyerehani
Ndo nchi yetu hii
 
mchawi NI gharama ndogo za uzarishaji tu na uhakika wa soko.

Tungekuwa akili zetu zinafanya kazi vizuri, Ile stieggler na SGR, DAR - Mwanza vingeweza kuwa game changer.

Tukomae stieggler ipige kazi haraka with high efficiency na tushushe bei ya umeme iwe chini kuliko popote Africa, huku tukiboresha miundo mbinu umeme uwe reliable.
Wakati stieggler inarun unaziongezea uwezo Hydro nyingine zote kwa kuinvest some fund and skills, huku gas plant zote zikiwa standby na hakuna tena kununua umeme.

SGR, Dar - Mwanza - Kigoma weka vichwa vya mizigo vya kutosha na price per tons iwe very low, Boresha Bandari Ziwa Tanganyika na Mwanza, na weka Bandari kavu kubwa Mwanza, Isaka na Kigoma.

Boresha Tazara, Price per ton uweke chini na vichwa vya kutosha vya mizigo na train iwe reliable.

Piga stop Mabus yote kutoka Kigoma,Mwanza, Bukoba, Shinyanga, Kahama kufika Dar, yoote yaishie Dodoma na kuanzia Dodoma.
Jenga Airport Dodoma.

Simamia mapato ya Serikali vizuri na kuua wezi wote, punguza matumizi ya Serikali.

UKIFANYA HAYO NCHI ITAKUWA NA VIWANDA VINGI VYA KUEXPORT NA KULISHA NCHI NA NDANI YA MIAKA 20 TUNAKUWA ZAIDI YA SINGAPORE NA. MATAIFA MENGI YA ULAYA... NA MENGINE YATAJISET YENYEWE.
 
Kikwazo kikubwa cha maendeleo ya nchi hii ni Serikali, taasisi za Serikali na CCM.

Hawa badala ya kuistawisha nchi, wao wanachokijua ni kukwamisha maendeleo ya watu na nchi kwa ujumla.

Kwa aina ya watu tulio nao serikalini na taasisi zake, watanzania wanalazimishwa kuwa waagizaji wa bidhaa nje badala ya kuwa wazalishaji na wauzaji wa bidhaa nje ya nchi.

Fikiria kiwanda kinatozwa kodi zaidi ya 30. Viwango vya kodi vinabadilishwa kila mwaka. Nani atakayependa kujenga kiwanda kwenye nchi ya namna hiyo? Unafanya maamuzi ya kujenga kiwanda baada ya kufanya feasibility, bunge linalofuata, wanabadilisha kodi (tayari wamekwishaharibu feasibility yako). Unajenga majengo ya kiwanda, kabla ya kumaliza, kodi zimebadilika na taratibu zimebadilika. Unaagiza mitambo, sheria ya kodi imebadilika, sheria ya mazingira imebadilika!

CCM inaifanya nchi iwe ya wachuuzi kwa kuweka sera na sheria zinazo-discourage uzalishaji.
 
mchawi NI gharama ndogo za uzarishaji tu na uhakika wa soko.

Tungekuwa akili zetu zinafanya kazi vizuri, Ile stieggler na SGR, DAR - Mwanza vingeweza kuwa game changer.

Tukomae stieggler ipige kazi haraka with high efficiency na tushushe bei ya umeme iwe chini kuliko popote Africa, huku tukiboresha miundo mbinu umeme uwe reliable.
Wakati stieggler inarun unaziongezea uwezo Hydro nyingine zote kwa kuinvest some fund and skills, huku gas plant zote zikiwa standby na hakuna tena kununua umeme.

SGR, Dar - Mwanza - Kigoma weka vichwa vya mizigo vya kutosha na price per tons iwe very low, Boresha Bandari Ziwa Tanganyika na Mwanza, na weka Bandari kavu kubwa Mwanza, Isaka na Kigoma.

Boresha Tazara, Price per ton uweke chini na vichwa vya kutosha vya mizigo na train iwe reliable.

Piga stop Mabus yote kutoka Kigoma,Mwanza, Bukoba, Shinyanga, Kahama kufika Dar, yoote yaishie Dodoma na kuanzia Dodoma.
Jenga Airport Dodoma.

Simamia mapato ya Serikali vizuri na kuua wezi wote, punguza matumizi ya Serikali.

UKIFANYA HAYO NCHI ITAKUWA NA VIWANDA VINGI VYA KUEXPORT NA KULISHA NCHI NA NDANI YA MIAKA 20 TUNAKUWA ZAIDI YA SINGAPORE NA. MATAIFA MENGI YA ULAYA... NA MENGINE YATAJISET YENYEWE.
Unayoyasema yangeweza kufanyika, ni kweli kungekuwa na mabadiliko makubwa katika maendeleo. Lakini ufahamu kuwa ili hayo yatokee ni lazima kuwe na ufanisi.

Kama ujuavyo, serikali yetu na taasisi zake, ufanisi ni zero. Kila anayepewa nafasi, anachokijua, na kupanga ni kuiba na kufisadi.

Hata SGR ikikamilika, utakachokishuhudia ni uendeshaji wa hasara kila mwaka kwa sababu mradi utaendeshwa kisiasa, na wanasiasa waliopo serikalini wataufanya mradi uwe chimbo la pesa ya wizi na pesa za anasa kama vile kununua maV8. Na kila siku wataomba gharama za usafirishaji ziongezwe ili wapate pesa nyingi ya kufanyia anasa, na kuiba.

Uliishawahi kusikia TANESCO imepata faida hata mwaka mmoja licha ya kuwa na tarrifs za juu na kupewa ruzuku kila mwaka?

Maadam Serikali ya CCM ipo madarakani, tusitegemee jipya, maana hali iliyopo wao huionea fahari. Ndiyo maana kila siku unawasikia wanavyojisifu kwa mafanikio makubwa. Anayejisifu amefanikiwa sana, hawezi kufikiria mabadiliko bali atajitahidi kudumisha mafanikio yake.
 
Unayoyasema yangeweza kufanyika, ni kweli kungekuwa na mabadiliko makubwa katika maendeleo. Lakini ufahamu kuwa ili hayo yatokee ni lazima kuwe na ufanisi.

Kama ujuavyo, serikali yetu na taasisi zake, ufanisi ni zero. Kila anayepewa nafasi, anachokijua, na kupanga ni kuiba na kufisadi.

Hata SGR ikikamilika, utakachokishuhudia ni uendeshaji wa hasara kila mwaka kwa sababu mradi utaendeshwa kisiasa, na wanasiasa waliopo serikalini wataufanya mradi uwe chimbo la pesa ya wizi na pesa za anasa kama vile kununua maV8. Na kila siku wataomba gharama za usafirishaji ziongezwe ili wapate pesa nyingi ya kufanyia anasa, na kuiba.

Uliishawahi kusikia TANESCO imepata faida hata mwaka mmoja licha ya kuwa na tarrifs za juu na kupewa ruzuku kila mwaka?

Maadam Serikali ya CCM ipo madarakani, tusitegemee jipya, maana hali iliyopo wao huionea fahari. Ndiyo maana kila siku unawasikia wanavyojisifu kwa mafanikio makubwa. Anayejisifu amefanikiwa sana, hawezi kufikiria mabadiliko bali atajitahidi kudumisha mafanikio yake.

Para ya Saba nimesisitiza juu ya usimamizi na userious kwenye uendeshaji.

Shida Moja ya nchi yetu, walio wengi wanaonakama siasa na utawala wa nchi hauwahusu lakini kama Wananchi wote tungeonyesha ukali na userious kwa watawala na wote kukubalina "poor management" ndio shida yetu na wote na wote tunapaswa kulipigania hiko kwenye jua, mvua, jasho na damu.
 
Maono na kiu ya watanzania wengi kuona viwanda vikishamiri ktk nchi yetu.Na pia Ni Maono na kiu ya Mh Rais wetu kuendelea kuzindua viwanda vikubwa vya kimkakati hivyo kuchochea ukuaji wa uchumi, Uzalishaji, Unafuu wa bidhaa na kuokoa fedha nyingi za kigeni zinazotumika katika uagizaji toka nje ya nchi.

Gazeti la Daily News la Tarehe 13 Mei 2024 ukurasa wa 8 limechapisha habari ya utafiti uliofanywa na Dr Patrokil Kanje Mhadhiri toka Chuo Kikuu cha Dar es salaam unaolezea pamoja na mengine vikwazo vya kisheria, utaratibu,Tozo na Compliance vilivyopelekea na vinavyopolekea viwanda kupunguza uzalishaji, Kufungwa na kutoanzishwa Tanzania.

Tafiti inaonyesha kwa mwaka 2021 bidhaa zenye thamani ya dola za marekani 458.7 Milioni (Karibu TZS Tirioni 1.3) ziliagizwa toka nje kuja nchini. Mahitaji yanaongezeka kwa asilimia 9 kwa mwaka huku uzalishaji ukipungua kwa asilimia 10 mpaka 20.

Mh Rais na Mawaziri wa kisekta hili si la kufumbia macho ama kulikalia kimya. Ni janga kubwa kwa uchumi wa nchi ,afya ya uchumi, maendeleo ya Taifa na usalama wetu.

Mwenyezi Mungu awajalie kufufua mirija na mishipa ya uchumi wa viwanda kwa kuhakikisha mengi yaliopendekezwa kupitia Blue Print yanafanyiwa kazi kwa kuondoa vikwazo,mabonde,Milima na kero kwa wawekezaji wa ndani na wa nje.

Kwa kutekeleza kimkakati mapendekezo yaliotolewa na yanayoendelea kutolewa kupitia tafiti mbalimbali nina imani tutatoka hapa tunapokwama. Tunazo taasisi nyingi zenye kufanya tafiti zenye rutuba kwa maendeleo ya nchi kama REPOA,ESRF,UDSM,etc.

Wanasiasa kwa level zote hasa Mawaziri na watendaji ktk taasisi za Umma amkeni na muondoe bureaucracy (Ukiritimba) unaopelekea uchumi kusinyaa. Tuondoe vikwazo kwa faida ya nchi.

MUNGU IBARIKI AFRIKA,MUNGU IBARIKI TANGANYIKA,ZANZIBAR NA JMT
Ni kweli
Setbacks
1. Rushwa
2 compliance nyingi na ngumu
3 umeme ghali sana
4 uaminifu mdogo wa watz (watz wezi)
5 elimu Duni ya watz (skilled labour
6 Kodi nyingi hazilipiki
7. Ugumu wa upatikanaji wa aridhi ya uwekezaji ( mipango miji Duni)
8 usafarishaji Duni
9 upatikanaji wa vibali ngumu
10 kuchangia mwenge, wanasfiasa
 
Maono na kiu ya watanzania wengi kuona viwanda vikishamiri ktk nchi yetu.Na pia Ni Maono na kiu ya Mh Rais wetu kuendelea kuzindua viwanda vikubwa vya kimkakati hivyo kuchochea ukuaji wa uchumi, Uzalishaji, Unafuu wa bidhaa na kuokoa fedha nyingi za kigeni zinazotumika katika uagizaji toka nje ya nchi.

Gazeti la Daily News la Tarehe 13 Mei 2024 ukurasa wa 8 limechapisha habari ya utafiti uliofanywa na Dr Patrokil Kanje Mhadhiri toka Chuo Kikuu cha Dar es salaam unaolezea pamoja na mengine vikwazo vya kisheria, utaratibu,Tozo na Compliance vilivyopelekea na vinavyopolekea viwanda kupunguza uzalishaji, Kufungwa na kutoanzishwa Tanzania.

Tafiti inaonyesha kwa mwaka 2021 bidhaa zenye thamani ya dola za marekani 458.7 Milioni (Karibu TZS Tirioni 1.3) ziliagizwa toka nje kuja nchini. Mahitaji yanaongezeka kwa asilimia 9 kwa mwaka huku uzalishaji ukipungua kwa asilimia 10 mpaka 20.

Mh Rais na Mawaziri wa kisekta hili si la kufumbia macho ama kulikalia kimya. Ni janga kubwa kwa uchumi wa nchi ,afya ya uchumi, maendeleo ya Taifa na usalama wetu.

Mwenyezi Mungu awajalie kufufua mirija na mishipa ya uchumi wa viwanda kwa kuhakikisha mengi yaliopendekezwa kupitia Blue Print yanafanyiwa kazi kwa kuondoa vikwazo,mabonde,Milima na kero kwa wawekezaji wa ndani na wa nje.

Kwa kutekeleza kimkakati mapendekezo yaliotolewa na yanayoendelea kutolewa kupitia tafiti mbalimbali nina imani tutatoka hapa tunapokwama. Tunazo taasisi nyingi zenye kufanya tafiti zenye rutuba kwa maendeleo ya nchi kama REPOA,ESRF,UDSM,etc.

Wanasiasa kwa level zote hasa Mawaziri na watendaji ktk taasisi za Umma amkeni na muondoe bureaucracy (Ukiritimba) unaopelekea uchumi kusinyaa. Tuondoe vikwazo kwa faida ya nchi.

MUNGU IBARIKI AFRIKA,MUNGU IBARIKI TANGANYIKA,ZANZIBAR NA JMT
Mkuu huwezi, kumuona Lucas wenzie wanachawia au kuchangia mada ya namna hii. Hongera sana mkuu kwa kuleta mada hii yenye umuhimu mkubwa kitaifa na kijamii.
 
mchawi NI gharama ndogo za uzarishaji tu na uhakika wa soko.

Tungekuwa akili zetu zinafanya kazi vizuri, Ile stieggler na SGR, DAR - Mwanza vingeweza kuwa game changer.

Tukomae stieggler ipige kazi haraka with high efficiency na tushushe bei ya umeme iwe chini kuliko popote Africa, huku tukiboresha miundo mbinu umeme uwe reliable.
Wakati stieggler inarun unaziongezea uwezo Hydro nyingine zote kwa kuinvest some fund and skills, huku gas plant zote zikiwa standby na hakuna tena kununua umeme.

SGR, Dar - Mwanza - Kigoma weka vichwa vya mizigo vya kutosha na price per tons iwe very low, Boresha Bandari Ziwa Tanganyika na Mwanza, na weka Bandari kavu kubwa Mwanza, Isaka na Kigoma.

Boresha Tazara, Price per ton uweke chini na vichwa vya kutosha vya mizigo na train iwe reliable.

Piga stop Mabus yote kutoka Kigoma,Mwanza, Bukoba, Shinyanga, Kahama kufika Dar, yoote yaishie Dodoma na kuanzia Dodoma.
Jenga Airport Dodoma.

Simamia mapato ya Serikali vizuri na kuua wezi wote, punguza matumizi ya Serikali.

UKIFANYA HAYO NCHI ITAKUWA NA VIWANDA VINGI VYA KUEXPORT NA KULISHA NCHI NA NDANI YA MIAKA 20 TUNAKUWA ZAIDI YA SINGAPORE NA. MATAIFA MENGI YA ULAYA... NA MENGINE YATAJISET YENYEWE.
👌👍👏🤝
 
Kikwazo kikubwa cha maendeleo ya nchi hii ni Serikali, taasisi za Serikali na CCM.

Hawa badala ya kuistawisha nchi, wao wanachokijua ni kukwamisha maendeleo ya watu na nchi kwa ujumla.

Kwa aina ya watu tulio nao serikalini na taasisi zake, watanzania wanalazimishwa kuwa waagizaji wa bidhaa nje badala ya kuwa wazalishaji na wauzaji wa bidhaa nje ya nchi.

Fikiria kiwanda kinatozwa kodi zaidi ya 30. Viwango vya kodi vinabadilishwa kila mwaka. Nani atakayependa kujenga kiwanda kwenye nchi ya namna hiyo? Unafanya maamuzi ya kujenga kiwanda baada ya kufanya feasibility, bunge linalofuata, wanabadilisha kodi (tayari wamekwishaharibu feasibility yako). Unajenga majengo ya kiwanda, kabla ya kumaliza, kodi zimebadilika na taratibu zimebadilika. Unaagiza mitambo, sheria ya kodi imebadilika, sheria ya mazingira imebadilika!

CCM inaifanya nchi iwe ya wachuuzi kwa kuweka sera na sheria zinazo-discourage uzalishaji.
✍️👌👍👏🙏🛡️
 
Mkuu huwezi, kumuona Lucas wenzie wanachawia au kuchangia mada ya namna hii. Hongera sana mkuu kwa kuleta mada hii yenye umuhimu mkubwa kitaifa na kijamii.

Nadhani lazima tufike hatua ya kuimarisha

Miiko na maadili ya uongozi ,Uzalendo dhidi ya uchawa .Wivu wa maendeleo ya taifa n.k

Na tukemee kwa ujasiri Wajasiliamali wa kisiasa,Kunguni wa kisiasa,Viroboto,Kupe na chawa..
 
Ni kweli
Setbacks
1. Rushwa
2 compliance nyingi na ngumu
3 umeme ghali sana
4 uaminifu mdogo wa watz (watz wezi)
5 elimu Duni ya watz (skilled labour
6 Kodi nyingi hazilipiki
7. Ugumu wa upatikanaji wa aridhi ya uwekezaji ( mipango miji Duni)
8 usafarishaji Duni
9 upatikanaji wa vibali ngumu
10 kuchangia mwenge, wanasfiasa

Utashi wa mifumo ya nchi kutatua hizi kero ni muhimu sana

Kipindi cha hayati Mwl Nyerere viwanda vingi vilijengwa Tanzania nzima (Viwanda vya nguo,mabati,cement,pembejeo za kilimo,Sabuni,bia,,Nyuzi,N.k)..Uchanga wa wataalamu,Uhujumu na ufisadi vikafa..

Hivyo tuna mengi ya kujifunza kuhusu historia ya viwanda na nini tufanye ili kujenga nchi yenye uchumi mkubwa na wa kujitegemea.
 
Unayoyasema yangeweza kufanyika, ni kweli kungekuwa na mabadiliko makubwa katika maendeleo. Lakini ufahamu kuwa ili hayo yatokee ni lazima kuwe na ufanisi.

Kama ujuavyo, serikali yetu na taasisi zake, ufanisi ni zero. Kila anayepewa nafasi, anachokijua, na kupanga ni kuiba na kufisadi.

Hata SGR ikikamilika, utakachokishuhudia ni uendeshaji wa hasara kila mwaka kwa sababu mradi utaendeshwa kisiasa, na wanasiasa waliopo serikalini wataufanya mradi uwe chimbo la pesa ya wizi na pesa za anasa kama vile kununua maV8. Na kila siku wataomba gharama za usafirishaji ziongezwe ili wapate pesa nyingi ya kufanyia anasa, na kuiba.

Uliishawahi kusikia TANESCO imepata faida hata mwaka mmoja licha ya kuwa na tarrifs za juu na kupewa ruzuku kila mwaka?

Maadam Serikali ya CCM ipo madarakani, tusitegemee jipya, maana hali iliyopo wao huionea fahari. Ndiyo maana kila siku unawasikia wanavyojisifu kwa mafanikio makubwa. Anayejisifu amefanikiwa sana, hawezi kufikiria mabadiliko bali atajitahidi kudumisha mafanikio yake.

Azimio la Arusha lingelifuatwa leo yamkini tungefika mbali..Na tungekuwa na aina tofauti kabisa ya viongozi..Uadirifu,Uzalendo,Uchapakazi,..vingedumishwa mnoo..

Nadhani kuna vyeo havipaswi kuwa vya kisiasa kabisa ili kupata tija na ufanisi mkubwa kwa maendeleo ya Taifa..Hapa ndipo umuhimu wa katiba Mpya unaonekana.

Matharani,Kuna taasisi hazipaswi kuongoza na makada wa vyama (CCM,CUF,CHADEMA,ACT,UDP,n.k) bali watendaji wenye elimu,Uzoefu,Exposure..Chini ya Board zenye uzamivu na mapana ktk sekta husika..

Taasisi kama TTCL,NHC,NSSSF,PSSSF,TPA,TAA,TANAPA,TANESCO,TEMESA,MSL,TANROADS,NIC,TADB,TCB,etc hizi taasisi ni taasisi zenye dhima ya kibiashara na kutengeneza faida kubwa hivyo kuchangia kwenye hazina ya nchi na kuondoa utengemezi wa misaada,Ruzuku na mikopo toka nje..

Kwa muktadha huo zilipaswa kuongozwa na watendaji wenye kujua namna ya kutengeneza mifumo ya kibiashara,Usimamizi,Uendeshaji,Masoko,Mauzo,Risk Management,Mipango mikakati,Fedha na Utawala..Leo tusingehitaji kina Net Group,DP World,Songas,Alex Stewart,Deep Green,IPTL,Dowans..etc

Hatupaswi kuwapa vyeo makada sababu ya ukada..Hatupaswi kuwapa nafasi washindwa ubunge,udiwani,etc..

Tukiamua tunaweza..Penye nia pana njia
 
Napongeza teuzi kama za Nehemiah Mchechu toka CBA Bank kwenda NHC/TR;Adam Mihayo toka BOA Bank kwenda TCB,etc..

Nadhani tunawahitaji kina Ruth Zaipuna,Abdulmajid Nsekela,Sufian (SSB Group);Kelvin Twisa,Brenda Msangi,Beatrice Shelukindo,Joyce Mhaville,Benjamin Nkaka,Bruno Fenandes,Dr Witts,Mlambya,na wengine wengi toka sekta binafsi wenye ktk taasisi za umma tunazohitaji matokeo makubwa
 
Back
Top Bottom