Wakati mwingine sio tu tamaa bali hata kujiamini kupita kiasi kunaweza kusababishaTAFASIRI YANGU KATIKA PICHA HII
1.Kila mtu ana uwezo wake tofauti na mwengine. Jifunze kuwaheshimu watu uliowazidi nguvu/uwezo. Si mara zote watakuwa dhaifu.
2. Unapokusudia kumuumiza mwingine, unaweza kuumia wewe. Wakati mwingine mabaya unayotaka kumtendea mwengine yanarudi kwako.
3. Tazama njia unazopitia unapojitafutia ridhiki. Njia nyingine zinaweza kukuletea mauti.
4. Tamaa iwe na kiasi. Tamaa ikifikia kiwango cha uroho, mauti yanakaribia.
5. Maguvu yana mipaka yake. Sio kila mahali utatumia maguvu na kufanikiwa, unahitaji akili zaidi.
6 ".............
View attachment 441251
Wakati mwingine sio tu tamaa bali hata kujiamini kupita kiasi kunaweza kusababishaTAFASIRI YANGU KATIKA PICHA HII
1.Kila mtu ana uwezo wake tofauti na mwengine. Jifunze kuwaheshimu watu uliowazidi nguvu/uwezo. Si mara zote watakuwa dhaifu.
2. Unapokusudia kumuumiza mwingine, unaweza kuumia wewe. Wakati mwingine mabaya unayotaka kumtendea mwengine yanarudi kwako.
3. Tazama njia unazopitia unapojitafutia ridhiki. Njia nyingine zinaweza kukuletea mauti.
4. Tamaa iwe na kiasi. Tamaa ikifikia kiwango cha uroho, mauti yanakaribia.
5. Maguvu yana mipaka yake. Sio kila mahali utatumia maguvu na kufanikiwa, unahitaji akili zaidi.
6 ".............
View attachment 441251
ni muhimu ndio lkn inakubidi uandae mazingira stahiki na kuwa makini ktk kila hatuakujaribu ni jambo muhimu
sawa mkuuni muhimu ndio lkn inakubidi uandae mazingira stahiki na kuwa makini ktk kila hatua
Fikiri kabla ya kutendaKabla ya kufanya kitu tafakari