Nitafungulia zipu bila kuogopa ukimwi, nitaonja kila aina ya papuchi
Nitafungulia zipu bila kuogopa ukimwi, nitaonja kila aina ya papuchi
Nitatubu kwa makosa yangu yote, nitaomba msamaha kwa kila niliyemkosea.Nitafungulia zipu bila kuogopa ukimwi, nitaonja kila aina ya papuchi
Yakubidi kuyafanya haya sasaKama ni mimi nitafanya yafuatayo, nitawatafuta wote niliowakosea na kuwataka radhi kama wangali hai, nitatubu dhambi zangu zote hadharani na kusamehe wote ili nipate amani ya moyo. Madeni kama ninayo nitalipa kwa kadri ya uwezo wangu. Kama nina watoto nitawafundisha hekima ili waishi vyema mara baada ya mimi kwenda kusiko julikana.
Nitamwomba mola anisamehe makosa yangu kama ambavyo mimi nimesha tubu na kusamehe. Baada ya hapo nitaitafuta njia ya kweli na kufanya kazi kwa bidii bila kusahau ibada.
Mkuu comment yako ni nzuri sana iliyojaa maneno yenye hekima,Kama ni mimi nitafanya yafuatayo, nitawatafuta wote niliowakosea na kuwataka radhi kama wangali hai, nitatubu dhambi zangu zote hadharani na kusamehe wote ili nipate amani ya moyo. Madeni kama ninayo nitalipa kwa kadri ya uwezo wangu. Kama nina watoto nitawafundisha hekima ili waishi vyema mara baada ya mimi kwenda kusiko julikana.
Nitamwomba mola anisamehe makosa yangu kama ambavyo mimi nimesha tubu na kusamehe. Baada ya hapo nitaitafuta njia ya kweli na kufanya kazi kwa bidii bila kusahau ibada.
Nitafungulia zipu bila kuogopa ukimwi, nitaonja kila aina ya papuchi
Kama ni mimi nitafanya yafuatayo, nitawatafuta wote niliowakosea na kuwataka radhi kama wangali hai, nitatubu dhambi zangu zote hadharani na kusamehe wote ili nipate amani ya moyo. Madeni kama ninayo nitalipa kwa kadri ya uwezo wangu. Kama nina watoto nitawafundisha hekima ili waishi vyema mara baada ya mimi kwenda kusiko julikana.
Nitamwomba mola anisamehe makosa yangu kama ambavyo mimi nimesha tubu na kusamehe. Baada ya hapo nitaitafuta njia ya kweli na kufanya kazi kwa bidii bila kusahau ibada.
!
!
Miezi mitatu ya mwanzo nitafanya yale yooote niliyotamani kuyafanya ila sikuweza, mwezi mmoja yaani wa nne nitajitahidi sanaa kusahihisha pale nilipokosea ama kwa kuomba msamaha au kutoa ushuhuda kwa wengine wasifanye kama mimi, mwezi wa tano narudi kwa Mungu wangu, nikisubiri kifo kwenye huo wa Sita.
Ibadamkuu kutubu si inachukua lisaa limoja tu tu assume ni siku moja top top... je hiyo miezi mingine utakua ukifanya nini?