Tafakuri: Chonde chonde Maaskofu na nyaraka zenu rudini njia kuu

Quick win

Member
Jun 3, 2017
73
33
Sauti ya mtu aliaye nyikani, itengenezen njia ya Bwana , yanyoshen mapito yake..,

Niseme, tumefika mahali kanisa linaacha njia na sasa hatari inaingia ya kuchanganya dini na siasa. Inashangaza sana kuona dhehebu linajikita kuanza kuandika nyaraka kwa mamlaka zingine badala ya kuwaelekeza waumini waingie magotini katika maombi kuombea viongozi wa serkali yetu 1Tim 2 ;1-4. Kiongozi wa kanisa mkuu Yesu Kristo alisema ya Kaisari mpeni kaisari na ya Mungu mpeni Mungu.

Hapo zamani ilipoonekana pia kanisa lilijichanganya na mambo ya dunia tunasoma likaonywa ’ Ni Heri kuwa moto au baridi kuliko kuwa vuguvugu Ufu 3 :14-19 , mtasitasita katika njia mbili hadi lini? Mkitaka kufanya siasa vueni majoho yenu ungana na vyama vya siasa ijulikane moja, kama ni dini bac ijulikane mnatumikia dini zenu. Nasema dini zenu maana mkisema mnasimama badala ya watumish wa Mungu basi mmekua watumishi waliojikinai, kumbukeni huyo mnayemsonta na nyaraka zenu naye ni mtumish wa Mungu mwenzenu ! utaniambia kivipi ? Hebu someni Warumi 13 ;1..kila mtu aitii mamlaka iliyo kuu..maana iliyopo imeamuriwa na Mungu,….hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu, nao washindanao watajipatia hukumu, …..13 ;6 kwa kuwa yeye (JPM) ni mtumishi wa Mungu kwako kwa ajili ya mema, ufanyapo mabaya ogopa maana hauchukui upanga bure, kwa kuwa ni mtumishi wa Mungu amlipizaye kisasi mtenda mabaya kwa ajili ya ghadhabu’…

Watumish maaskofu wetu mbona mmejikinai hivi badala ya kujivika roho ya unyenyekevu , mnaandika nyaraka zisizo na tija rohoni ! mnajihesabia haki ninyi ? Luka 18 ;9-14? Ole imewajia maana ninyi si tofauti na mafarisayo ambao Yesu aliwaonya na kuwakemea sana ingawa wao walijiona wako sawa. Hata sasa mwasema hatutishiki wala kunyamazishwa! Ole inakuja ! Kumbukeni !

· Askofu ni kazi ya Kutaka (kuomba) na kuchaguliwa, na sio ya kuitwa na Mungu kwa mujibu wa maandiko,?1Tim 3 ;1 Mtu akitaka kazi ya uaskofu..(lakini kazi za kuitwa na Mungu zimeainishwa ktk Efeso 4 ;11-12 yaani Nabii, Mtume, Mwinjilist, Mchungaji na Mwalimu , hawa ndio wenye kulijenga kanisa. Sasa ninyi mnabadili maandiko na kuifanya kazi yenu hiyo kuwa wasemaji wa Mungu badala ya Manabii na Mitume wenye kazi hiyo ambao ndio wajenzi wa kanisa?

· Majukumu ya askofu ni kutekeleza yale yote yaliyoainishwa katika wadhifa wake kulingana na katiba ya dhehebu husika . ambapo madhehebu yote yamesajiliwa chini ya wizara ya mambo ya ndani ya nchi yetu kwa mujibu wa katiba ya JMT

· Ni matarajio ya wengi kuwa nyingi ya katiba hizo zina lengo la kumhubiri Kristo kwa kuishi maisha ya utauwa na kukemea maovu bila kujali yanatendwa na mtu wa namna gani ukijianzia mwenyewe

· Je hamjui kuwa JPM pia ni mtumishi wa Mungu kama ninyi ‘Rum13 ;6, kwa kuwa yeye (JPM) ni mtumishi wa Mungu kwako kwa ajili ya mema,’ tena yeye mwangalizi mkuu yaani askofu wa nchi kwa upande mwingine ? na madhehebu yote yako chini yake maana ameyasajiri na anaweza kuyafuta yasipofuata taratibu zilizokubalika hadi kusajiliwa?. Ingawa Kanisa halisi la rohoni halionekani na haliwez kufutwa maana ni mwili wa Kristo !


NASHAURI

· Vita vyenu sio vya damu na nyama ili kupambana kwa mwili Efeso 6 ;10, bali ni ya Roho katika uliwengu wa Roho. Ukiona kanisa linapigania kuandika Waraka na kutoa matamko jua limeacha njia …uuuuh bali jua tuna dhehebu linalopigania maslahi fulani likiwa na limejivika ngozi ya kanisa kumbe ndani ni mbwa mwitu wakali wasiolihurumia Taifa. Ikiwa watu wa dunia kama vyama, mashirika wanatoa matamko je kanisa nalo litoe tamko ? huko ni kufilisika kiroho.

· Kanisa sio dhehebu kama wengi wanavyodhani bali KANISA ni mwili wa Kristo, haliandikishwi, wala halifi, lina mamlaka ya kufunga na kufungua chochote duniani ktk ulimwengu wa roho na lina sura ya Kristo ndani. Ebr 5 ;7 Yeye kristo hakuandika waraka bali alinyenyekea kama kielelezo. Mkiacha njia kristo ananyanyua hata mawe yamtumikie, hivyo msijimilikishe kuwa dhehebu ndio kanisa, kristo awajua walio wake ndo maana asema sio wote wasemao Bwana Bwana wataurith ufalme bali wale wayatendao mapenzi yake yeye tu.

· KANISA linapaswa limwombe Mungu sio kutoa nyaraka, huko ni kujitetea kama dunia na ni kutoka nje ya njia. Ebr 5;7-9, 1Tim 2 ;1-3,Basi kabla ya mambo yote nataka Dua, na sala, na maombezi, na Shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote, kwa ajili ya wafalme,na wote wenye mamlaka, tuishi maisha ya utulivu na amani katika utauwa wote na Ustahivu’ hilo lapendeza tena ni zuri’ lakini pia ni vema kumuuliza Mungu kujua mapenzi halisi yake ni nini maana angalia unaweza kuwa unaingia katika maombi ya kushindana na mapenzi ya Mungu pia.

· Tujiulize ikiwa sisi ni watumishi wa Mungu na mamlaka iliyoko madarakan ni watumish wa Mungu, je Mungu amsikie nani na amwache nani ? lakini ikiwa kinachotendeka ni maovu basi Bwana atafanya njia. Ukisoma Mdo 12 ;1-10 wakati ule Herode alipomkamata Petro apate kumwua, maandiko yanasema Kanisa likamwomba Mungu kwa juhudi na Mungu akalisikia, angalia akafanya njia kumtuma malaika na kumtoa Petro katika gereza, sio kulalamika.

Kwa msingi huu, mtumish mwenzenu JPM yuko sawa kuwasahihisha kwa kuwaambia, ikiwa mmeshindwa kuhubiri na kufanya yale mliyoagizwa kufanya, basi anzeni kuhubiri viwanda ! Kwa maana yeye kapewa kujenga viwanda anajua wajibu wake, mkitaka kumsaidia hubirini viwanda.

Hivi hamuoni kuwa kanisa lina hali mbaya ya kiroho ? hakuna injili ya kweli bali injili ya tena bali kuchuma kwa ajili matumbo tu ! Angalieni jinsi manabii wanavyowaibia watu mali na pesa wazi wazi kwa hila mnawaangalia tu, wanafunzi kila kukicha mimba mashuleni hadi aibu mnaangalia tu, ndoa za jinsia moja kanisani uchafu gani huo ? maadili hakuna kuanzia maaskofu wenyewe wachungaji na mapadiri, kwani ni siri wengine wamefungwa hadi gerezani? watoto lukuki mitaani wamezaliwa na hao wanaitwa watumish ? aibu ! ugomvi makanisani mpaka kushitakiana mahakamani je hayapo ? ufisadi ndani ya maeneo yenu je mmemaliza ? mbaya zaidi kugombea cheo hicho cha uaskofu wengine wengi wenu mmeenda mpaka kwa Sangoma kwani ni siri ? au mpaka mtajwe ? kati yenu wengi je hamjahonga kupata cheo ? dunia imeingia makanisani kwa njia ya miziki na uimbaji wa kidunia hakuna makemeo, mahubiri ya uongo kwa wizi wa kujitajirisha nk lakini hatusikii neno la kukemea juu ya hayo ! kanisa mmelipeleka mwilini na sio rohoni 1Kor 3 ;1-3,ninyi mmekua wa Tabia ya mwilini na sio rohoni ! sikiliza ushauri wa Yesu ! . Luka 6;41-42 ” Basi mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako huiangalii ?..,Mnafiki wewe itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe, ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi kilichomo katika jicho la ndugu yako”

Hata ninyi mna mapungufu mengi maana hamjakamilika, sasa iweje juu ya haya ?nadhani ni wakati wa kuona aibu na kujisahihisha,kutubu na kuirudia njia ya mwenyezi. Ati maaskofu wanaongelea katiba kwenye kwenye madhabahu ya Bwana !? kiroho kwishney

Hitimisho,

· Watanzania wamempa ridhaa JPM aongoze nchi, jiulize kama wewe ni dereva wa basi la abiria , wakati unaendesha kila mtu anakueleza la kwake ufanye je utafuata lipi ? mwingine anasema

o Simamama sioni kule uendako !

o Ongeza mwendo dereva, wakati huo huo mwingine anasema

o Punguza mwendo, mwingine anasema nimechoka nataka kupumzika simamisha gari, mwingine ahirisha safari mabonde mengi subiri lami mwakani ndo uendelee na safari. Kisha dereva anaamua asisikilize mtu yeyote je ninyi mliopo kwenye gari mtachukua hatua gani ? au mtachukua usukani mwendeshe au mtamshitaki kwenye mamlaka husikaaa? Kinachotakiwa jamani

§ Mwachen dereva ( JPM ) aendeshe maana aliomba kazi ya kutuendesha miaka mitano,

§ Kama hamridhiki na uendeshaji wa dereva piga simu Yer33;3 kwa mwenye gari atamsaidia yaani kwenye mamlaka husika nawe utasikiwa,lkn kubali majibu maana yaweza kuwa hapana au ndiyo au subiri.

§ Ama sivyo mkifika mwambien mwenye gari yeye atachukua hatua, stahiki. si ndio kusema ikiisha hiyo miaka yake mhukumuni kwenye sanduku la kura maana mtamshitaki kwa wananchi! sio oooh huyoo anavunja katiba mara ooh huyu eeh....nini hii rubish

§ au subirini kwenye interview nyingine kaombeni na ninyi muwe madereva si mnazo leseni????? Shida nn?

§ Kama hujui dereva aendako basi shuka kwenye gari kapande gari jingine ( kaishi huko nje kama huyo dada alivofanya na ukae kimya kale maisha hakuna atakayekusumbua) au kaangalie mbele ya kioo cha gari utakuta kimeandikwa hapa kazi tu, viwanda , maendeleo

§ Ikiwa mliwahi kutoa waraka wenye sifa za rais ajaye wa awamu hii, niwaulize je mtu huyo ndiye huyu au bado mnaye mnaemdhania ndiye? Kama ndiye basi mpeni ushirikiano sio malumbano, pia vilevile kama siye kwa mujibu wa maombi yenu bado kiongozi aliyewekwa na Mungu kwa mujibu wa maandiko anapaswa kuheshimiwa na ikiwa ni ushauri basi apewe kwa unyenyekevu wote.

§ Tutakushangaa saana ukiamua kutoboa tairi au kuharibu gari au kurukia usukani ili uendeshe kisa ati wote tusimame tusiendelee na safari kwa kuwa dereva hakusikilizi, hapo ndipo utakapoona hasira za tajiri na abiria wenzako wakisema we vipi? Namba za kuripoti unazijua, mamlaka zipo, sasa si ukaripoti ukiona kuwa kama katiba inavunjwa si uende Mahakamani ndipo haki ya kikatiba ilipoooo ! haya mambo ya nyaraka, maandamano yanatoka wapi?

Hawakawii kusema napigia debe kitu flan, mm si mwanachana wa chama chochote cha siasa, ni mtumish mwenzenu wa Jehova ila naunga mkono juhudi za mamlaka iliyoko madarakani kutuletea maendeleo. Tulihitaj kiongozi mwenye kuchukua hatua ndiye huyu tuliyepewa, Tumuombee Mungu aendelee kumpa hekima na maarifa. Kumbukeni Jambo lolote likiharibika ktk nchi, tatizo huwa ni kanisa kwani huwa limelala usingizi halioni ila nashukuru Mungu baadhi ya watumish wamefumbuliwa macho na wanaona kisawasawa hutawaona wakija na matamko bali maombi. Kumbukeni TB Joshua alipokuja wakati wa uchaguzi je aliwatolea matamko??? Lakini alikuja na ujumbe maalum kwa walengwa kimya kimya! jifunzeni basi kwa wengine. Tunamuombea saana Rais wetu mpendwa apewe neema atufikishe kwenye nchi ya asali na maziwa. Amina


Wasalam
 
Sauti ya mtu aliaye nyikani, itengenezen njia ya Bwana , yanyoshen mapito yake..,

Niseme, tumefika mahali kanisa linaacha njia na sasa hatari inaingia ya kuchanganya dini na siasa. Inashangaza sana kuona dhehebu linajikita kuanza kuandika nyaraka kwa mamlaka zingine badala ya kuwaelekeza waumini waingie magotini katika maombi kuombea viongozi wa serkali yetu 1Tim 2 ;1-4. Kiongozi wa kanisa mkuu Yesu Kristo alisema ya Kaisari mpeni kaisari na ya Mungu mpeni Mungu.

Hapo zamani ilipoonekana pia kanisa lilijichanganya na mambo ya dunia tunasoma likaonywa ’ Ni Heri kuwa moto au baridi kuliko kuwa vuguvugu Ufu 3 :14-19 , mtasitasita katika njia mbili hadi lini? Mkitaka kufanya siasa vueni majoho yenu ungana na vyama vya siasa ijulikane moja, kama ni dini bac ijulikane mnatumikia dini zenu. Nasema dini zenu maana mkisema mnasimama badala ya watumish wa Mungu basi mmekua watumishi waliojikinai, kumbukeni huyo mnayemsonta na nyaraka zenu naye ni mtumish wa Mungu mwenzenu ! utaniambia kivipi ? Hebu someni Warumi 13 ;1..kila mtu aitii mamlaka iliyo kuu..maana iliyopo imeamuriwa na Mungu,….hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu, nao washindanao watajipatia hukumu, …..13 ;6 kwa kuwa yeye (JPM) ni mtumishi wa Mungu kwako kwa ajili ya mema, ufanyapo mabaya ogopa maana hauchukui upanga bure, kwa kuwa ni mtumishi wa Mungu amlipizaye kisasi mtenda mabaya kwa ajili ya ghadhabu’…

Watumish maaskofu wetu mbona mmejikinai hivi badala ya kujivika roho ya unyenyekevu , mnaandika nyaraka zisizo na tija rohoni ! mnajihesabia haki ninyi ? Luka 18 ;9-14? Ole imewajia maana ninyi si tofauti na mafarisayo ambao Yesu aliwaonya na kuwakemea sana ingawa wao walijiona wako sawa. Hata sasa mwasema hatutishiki wala kunyamazishwa! Ole inakuja ! Kumbukeni !

· Askofu ni kazi ya Kutaka (kuomba) na kuchaguliwa, na sio ya kuitwa na Mungu kwa mujibu wa maandiko,?1Tim 3 ;1 Mtu akitaka kazi ya uaskofu..(lakini kazi za kuitwa na Mungu zimeainishwa ktk Efeso 4 ;11-12 yaani Nabii, Mtume, Mwinjilist, Mchungaji na Mwalimu , hawa ndio wenye kulijenga kanisa. Sasa ninyi mnabadili maandiko na kuifanya kazi yenu hiyo kuwa wasemaji wa Mungu badala ya Manabii na Mitume wenye kazi hiyo ambao ndio wajenzi wa kanisa?

· Majukumu ya askofu ni kutekeleza yale yote yaliyoainishwa katika wadhifa wake kulingana na katiba ya dhehebu husika . ambapo madhehebu yote yamesajiliwa chini ya wizara ya mambo ya ndani ya nchi yetu kwa mujibu wa katiba ya JMT

· Ni matarajio ya wengi kuwa nyingi ya katiba hizo zina lengo la kumhubiri Kristo kwa kuishi maisha ya utauwa na kukemea maovu bila kujali yanatendwa na mtu wa namna gani ukijianzia mwenyewe

· Je hamjui kuwa JPM pia ni mtumishi wa Mungu kama ninyi ‘Rum13 ;6, kwa kuwa yeye (JPM) ni mtumishi wa Mungu kwako kwa ajili ya mema,’ tena yeye mwangalizi mkuu yaani askofu wa nchi kwa upande mwingine ? na madhehebu yote yako chini yake maana ameyasajiri na anaweza kuyafuta yasipofuata taratibu zilizokubalika hadi kusajiliwa?. Ingawa Kanisa halisi la rohoni halionekani na haliwez kufutwa maana ni mwili wa Kristo !


NASHAURI

· Vita vyenu sio vya damu na nyama ili kupambana kwa mwili Efeso 6 ;10, bali ni ya Roho katika uliwengu wa Roho. Ukiona kanisa linapigania kuandika Waraka na kutoa matamko jua limeacha njia …uuuuh bali jua tuna dhehebu linalopigania maslahi fulani likiwa na limejivika ngozi ya kanisa kumbe ndani ni mbwa mwitu wakali wasiolihurumia Taifa. Ikiwa watu wa dunia kama vyama, mashirika wanatoa matamko je kanisa nalo litoe tamko ? huko ni kufilisika kiroho.

· Kanisa sio dhehebu kama wengi wanavyodhani bali KANISA ni mwili wa Kristo, haliandikishwi, wala halifi, lina mamlaka ya kufunga na kufungua chochote duniani ktk ulimwengu wa roho na lina sura ya Kristo ndani. Ebr 5 ;7 Yeye kristo hakuandika waraka bali alinyenyekea kama kielelezo. Mkiacha njia kristo ananyanyua hata mawe yamtumikie, hivyo msijimilikishe kuwa dhehebu ndio kanisa, kristo awajua walio wake ndo maana asema sio wote wasemao Bwana Bwana wataurith ufalme bali wale wayatendao mapenzi yake yeye tu.

· KANISA linapaswa limwombe Mungu sio kutoa nyaraka, huko ni kujitetea kama dunia na ni kutoka nje ya njia. Ebr 5;7-9, 1Tim 2 ;1-3,Basi kabla ya mambo yote nataka Dua, na sala, na maombezi, na Shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote, kwa ajili ya wafalme,na wote wenye mamlaka, tuishi maisha ya utulivu na amani katika utauwa wote na Ustahivu’ hilo lapendeza tena ni zuri’ lakini pia ni vema kumuuliza Mungu kujua mapenzi halisi yake ni nini maana angalia unaweza kuwa unaingia katika maombi ya kushindana na mapenzi ya Mungu pia.

· Tujiulize ikiwa sisi ni watumishi wa Mungu na mamlaka iliyoko madarakan ni watumish wa Mungu, je Mungu amsikie nani na amwache nani ? lakini ikiwa kinachotendeka ni maovu basi Bwana atafanya njia. Ukisoma Mdo 12 ;1-10 wakati ule Herode alipomkamata Petro apate kumwua, maandiko yanasema Kanisa likamwomba Mungu kwa juhudi na Mungu akalisikia, angalia akafanya njia kumtuma malaika na kumtoa Petro katika gereza, sio kulalamika.

Kwa msingi huu, mtumish mwenzenu JPM yuko sawa kuwasahihisha kwa kuwaambia, ikiwa mmeshindwa kuhubiri na kufanya yale mliyoagizwa kufanya, basi anzeni kuhubiri viwanda ! Kwa maana yeye kapewa kujenga viwanda anajua wajibu wake, mkitaka kumsaidia hubirini viwanda.

Hivi hamuoni kuwa kanisa lina hali mbaya ya kiroho ? hakuna injili ya kweli bali injili ya tena bali kuchuma kwa ajili matumbo tu ! Angalieni jinsi manabii wanavyowaibia watu mali na pesa wazi wazi kwa hila mnawaangalia tu, wanafunzi kila kukicha mimba mashuleni hadi aibu mnaangalia tu, ndoa za jinsia moja kanisani uchafu gani huo ? maadili hakuna kuanzia maaskofu wenyewe wachungaji na mapadiri, kwani ni siri wengine wamefungwa hadi gerezani? watoto lukuki mitaani wamezaliwa na hao wanaitwa watumish ? aibu ! ugomvi makanisani mpaka kushitakiana mahakamani je hayapo ? ufisadi ndani ya maeneo yenu je mmemaliza ? mbaya zaidi kugombea cheo hicho cha uaskofu wengine wengi wenu mmeenda mpaka kwa Sangoma kwani ni siri ? au mpaka mtajwe ? kati yenu wengi je hamjahonga kupata cheo ? dunia imeingia makanisani kwa njia ya miziki na uimbaji wa kidunia hakuna makemeo, mahubiri ya uongo kwa wizi wa kujitajirisha nk lakini hatusikii neno la kukemea juu ya hayo ! kanisa mmelipeleka mwilini na sio rohoni 1Kor 3 ;1-3,ninyi mmekua wa Tabia ya mwilini na sio rohoni ! sikiliza ushauri wa Yesu ! . Luka 6;41-42 ” Basi mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako huiangalii ?..,Mnafiki wewe itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe, ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi kilichomo katika jicho la ndugu yako”

Hata ninyi mna mapungufu mengi maana hamjakamilika, sasa iweje juu ya haya ?nadhani ni wakati wa kuona aibu na kujisahihisha,kutubu na kuirudia njia ya mwenyezi. Ati maaskofu wanaongelea katiba kwenye kwenye madhabahu ya Bwana !? kiroho kwishney

Hitimisho,

· Watanzania wamempa ridhaa JPM aongoze nchi, jiulize kama wewe ni dereva wa basi la abiria , wakati unaendesha kila mtu anakueleza la kwake ufanye je utafuata lipi ? mwingine anasema

o Simamama sioni kule uendako !

o Ongeza mwendo dereva, wakati huo huo mwingine anasema

o Punguza mwendo, mwingine anasema nimechoka nataka kupumzika simamisha gari, mwingine ahirisha safari mabonde mengi subiri lami mwakani ndo uendelee na safari. Kisha dereva anaamua asisikilize mtu yeyote je ninyi mliopo kwenye gari mtachukua hatua gani ? au mtachukua usukani mwendeshe au mtamshitaki kwenye mamlaka husikaaa? Kinachotakiwa jamani

§ Mwachen dereva ( JPM ) aendeshe maana aliomba kazi ya kutuendesha miaka mitano,

§ Kama hamridhiki na uendeshaji wa dereva piga simu Yer33;3 kwa mwenye gari atamsaidia yaani kwenye mamlaka husika nawe utasikiwa,lkn kubali majibu maana yaweza kuwa hapana au ndiyo au subiri.

§ Ama sivyo mkifika mwambien mwenye gari yeye atachukua hatua, stahiki. si ndio kusema ikiisha hiyo miaka yake mhukumuni kwenye sanduku la kura maana mtamshitaki kwa wananchi! sio oooh huyoo anavunja katiba mara ooh huyu eeh....nini hii rubish

§ au subirini kwenye interview nyingine kaombeni na ninyi muwe madereva si mnazo leseni????? Shida nn?

§ Kama hujui dereva aendako basi shuka kwenye gari kapande gari jingine ( kaishi huko nje kama huyo dada alivofanya na ukae kimya kale maisha hakuna atakayekusumbua) au kaangalie mbele ya kioo cha gari utakuta kimeandikwa hapa kazi tu, viwanda , maendeleo

§ Ikiwa mliwahi kutoa waraka wenye sifa za rais ajaye wa awamu hii, niwaulize je mtu huyo ndiye huyu au bado mnaye mnaemdhania ndiye? Kama ndiye basi mpeni ushirikiano sio malumbano, pia vilevile kama siye kwa mujibu wa maombi yenu bado kiongozi aliyewekwa na Mungu kwa mujibu wa maandiko anapaswa kuheshimiwa na ikiwa ni ushauri basi apewe kwa unyenyekevu wote.

§ Tutakushangaa saana ukiamua kutoboa tairi au kuharibu gari au kurukia usukani ili uendeshe kisa ati wote tusimame tusiendelee na safari kwa kuwa dereva hakusikilizi, hapo ndipo utakapoona hasira za tajiri na abiria wenzako wakisema we vipi? Namba za kuripoti unazijua, mamlaka zipo, sasa si ukaripoti ukiona kuwa kama katiba inavunjwa si uende Mahakamani ndipo haki ya kikatiba ilipoooo ! haya mambo ya nyaraka, maandamano yanatoka wapi?

Hawakawii kusema napigia debe kitu flan, mm si mwanachana wa chama chochote cha siasa, ni mtumish mwenzenu wa Jehova ila naunga mkono juhudi za mamlaka iliyoko madarakani kutuletea maendeleo. Tulihitaj kiongozi mwenye kuchukua hatua ndiye huyu tuliyepewa, Tumuombee Mungu aendelee kumpa hekima na maarifa. Kumbukeni Jambo lolote likiharibika ktk nchi, tatizo huwa ni kanisa kwani huwa limelala usingizi halioni ila nashukuru Mungu baadhi ya watumish wamefumbuliwa macho na wanaona kisawasawa hutawaona wakija na matamko bali maombi. Kumbukeni TB Joshua alipokuja wakati wa uchaguzi je aliwatolea matamko??? Lakini alikuja na ujumbe maalum kwa walengwa kimya kimya! jifunzeni basi kwa wengine. Tunamuombea saana Rais wetu mpendwa apewe neema atufikishe kwenye nchi ya asali na maziwa. Amina


Wasalam

And I tell you what???
unfortunately you have tried hard to spin your own mind. But you know what???? We pray hard so that no respected clerics will offer their podia for politicians whoever that will be, just to eventually defile the altars of the Lord.
 
Viongozi wa dini wamesahau majukumu yao na kuingilia mambo ya dunia
Wamesahau mamno ya Mungu na Kumpa Mungu yaliyo yake, wameamua kufuata ya Kaisari
Sasa taifa la Mungu linaangamia, sababu walimu na wachungaji wao wameshikana mashati na watawala kugomabania mkate.

Ole wao wachungaji hawa walioshikilia funguo za njia za kondoo wa bwana.
 
1.Paulo mtume aliwekwa ndani na wanasiasa
2.Yesu aliuwawa na wanasiasa
3.Elisha na Eliya walipigwa hadi wakawa wanajificha kisa wanasiasa(watawala)
4.Musa na wana wa israel vs utawala wa farao(wanasiasa)
5.Petro alifungwa na wanasiasa

unakuja na mashudu haya ukiwa hujui jinsi gani huweza kutenganisha UTAWALA na DINI

utawala ukiwa mbovu hakuna atakaemtumikia MUNGU, cha kwanza kinachofayika ni kupambana na utawala kwanza na utawala unajua dini ni threat kwao katika kutawala
 
Viongozi wa dini wamesahau majukumu yao na kuingilia mambo ya dunia
Wamesahau mamno ya Mungu na Kumpa Mungu yaliyo yake, wameamua kufuata ya Kaisari
Sasa taifa la Mungu linaangamia, sababu walimu na wachungaji wao wameshikana mashati na watawala kugomabania mkate.

Ole wao wachungaji hawa walioshikilia funguo za njia za kondoo wa bwana.

Unajua maana ya hicho kifungu?? au umesema tu bila kujua maana yake??
 
HIVI IDD AMINI AU HITLER WALIKUWA VIONGOZI WA MUNGU? EBU NITAFUTIE VIFUNGU VYA BIBLIA VONASEMA NINI KWA VIONGOZI KAMA MOBUTU AU MAKABURU!

UNAJUA MTU WA KWANZA KUKATWA KICHWA NA KUTUPWA KTK MTO NILE ALIKUWA ASKOFU LOWUMI NA ILIKUWA HIVYO KWA KUCHELEWA KWAKE KUKEMEA IDD AMINI ALIPOANZA.

EBU KUWA WEWE NI MTUMISHI WA MUNGU UNAINGIA KANISANI UNAKUTA WAUMINI WAKO WANAGALAGALA CHINI KWA NJAA UTAWEZA KUENDELEA NA IBADA AU UTAFIKIRIA JINSI YA KUMALIZA NJAA YAO KWANZA? UWAKUTE WANAUAWA SI UTAANZA KUPIGANA NA MUUAJI KABLA YA KUANZA IBADA. JE UWAKUTE UTUMWANI SI UNAWATOA KWENYE MINYORORO YA UTUMWA KWANZA?

UNASEMA SIO SAHIHI WATUMISHI WA MUNGU KUSHUGHULIKIA MAMBO YA MIILI BALI YA MIOYO. NI KWELI?
UNAJUA MAKANISA NA DINI NYINGI NDIO WALIO NA SHULE NA VYUO KTK KUWAPATIA WATU ELIMU HUKO NI KUSHUGHULIKIA MIOYO AU KUSHUGHULIKIA MIILI YA WATU? MAKANISA YAMEJENGA HOSPITALI KUSHUGHULIKIA AFYA ZA WATU MBONA MULIKUWA HAMUJATOKA NA KUKEMEA KUWA MAMBO YA AFYA ZA WATU SIO KAZI ZAO MAASKOFU. SHENZI NINYI maccm MUMELAANIKA.
Aliyewaloga aliwatoa akili zenu kabla hajafa.
 
Kuwa Mtumishi wa Mungu hakumaanishi uwe zuzumagic, Wala hakukuondolei haki ya kumkosoa mtawala.
Kuwa Mtumishi wa Mungu kunakufanya uwe mdomo wa Mungu mtawala anapokosea.
Nathaniel ndiye aliyemweleza Daudi kuwa umetenda dhambi kwa kumuua Uria Na kumchukua mke wake.
Ujiulize, je Mawaziri walikuwa wapi? Je viongozi wa Chama walikuwa wapi?
Nyie msiotaka mtawala akosolewe, hamumtakii mema. Mnampandikizia roho ya kiburi Na kutotaka TOBA, mnampandikizia roho ya kujihesabia haki Na chuki dhidi ya watumishi wa Mungu kitu ambacho in return kinageuka kuwa laana
 
Sauti ya mtu aliaye nyikani, itengenezen njia ya Bwana , yanyoshen mapito yake..,

Niseme, tumefika mahali kanisa linaacha njia na sasa hatari inaingia ya kuchanganya dini na siasa. Inashangaza sana kuona dhehebu linajikita kuanza kuandika nyaraka kwa mamlaka zingine badala ya kuwaelekeza waumini waingie magotini katika maombi kuombea viongozi wa serkali yetu 1Tim 2 ;1-4. Kiongozi wa kanisa mkuu Yesu Kristo alisema ya Kaisari mpeni kaisari na ya Mungu mpeni Mungu.

Hapo zamani ilipoonekana pia kanisa lilijichanganya na mambo ya dunia tunasoma likaonywa ’ Ni Heri kuwa moto au baridi kuliko kuwa vuguvugu Ufu 3 :14-19 , mtasitasita katika njia mbili hadi lini? Mkitaka kufanya siasa vueni majoho yenu ungana na vyama vya siasa ijulikane moja, kama ni dini bac ijulikane mnatumikia dini zenu. Nasema dini zenu maana mkisema mnasimama badala ya watumish wa Mungu basi mmekua watumishi waliojikinai, kumbukeni huyo mnayemsonta na nyaraka zenu naye ni mtumish wa Mungu mwenzenu ! utaniambia kivipi ? Hebu someni Warumi 13 ;1..kila mtu aitii mamlaka iliyo kuu..maana iliyopo imeamuriwa na Mungu,….hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu, nao washindanao watajipatia hukumu, …..13 ;6 kwa kuwa yeye (JPM) ni mtumishi wa Mungu kwako kwa ajili ya mema, ufanyapo mabaya ogopa maana hauchukui upanga bure, kwa kuwa ni mtumishi wa Mungu amlipizaye kisasi mtenda mabaya kwa ajili ya ghadhabu’…

Watumish maaskofu wetu mbona mmejikinai hivi badala ya kujivika roho ya unyenyekevu , mnaandika nyaraka zisizo na tija rohoni ! mnajihesabia haki ninyi ? Luka 18 ;9-14? Ole imewajia maana ninyi si tofauti na mafarisayo ambao Yesu aliwaonya na kuwakemea sana ingawa wao walijiona wako sawa. Hata sasa mwasema hatutishiki wala kunyamazishwa! Ole inakuja ! Kumbukeni !

· Askofu ni kazi ya Kutaka (kuomba) na kuchaguliwa, na sio ya kuitwa na Mungu kwa mujibu wa maandiko,?1Tim 3 ;1 Mtu akitaka kazi ya uaskofu..(lakini kazi za kuitwa na Mungu zimeainishwa ktk Efeso 4 ;11-12 yaani Nabii, Mtume, Mwinjilist, Mchungaji na Mwalimu , hawa ndio wenye kulijenga kanisa. Sasa ninyi mnabadili maandiko na kuifanya kazi yenu hiyo kuwa wasemaji wa Mungu badala ya Manabii na Mitume wenye kazi hiyo ambao ndio wajenzi wa kanisa?

· Majukumu ya askofu ni kutekeleza yale yote yaliyoainishwa katika wadhifa wake kulingana na katiba ya dhehebu husika . ambapo madhehebu yote yamesajiliwa chini ya wizara ya mambo ya ndani ya nchi yetu kwa mujibu wa katiba ya JMT

· Ni matarajio ya wengi kuwa nyingi ya katiba hizo zina lengo la kumhubiri Kristo kwa kuishi maisha ya utauwa na kukemea maovu bila kujali yanatendwa na mtu wa namna gani ukijianzia mwenyewe

· Je hamjui kuwa JPM pia ni mtumishi wa Mungu kama ninyi ‘Rum13 ;6, kwa kuwa yeye (JPM) ni mtumishi wa Mungu kwako kwa ajili ya mema,’ tena yeye mwangalizi mkuu yaani askofu wa nchi kwa upande mwingine ? na madhehebu yote yako chini yake maana ameyasajiri na anaweza kuyafuta yasipofuata taratibu zilizokubalika hadi kusajiliwa?. Ingawa Kanisa halisi la rohoni halionekani na haliwez kufutwa maana ni mwili wa Kristo !


NASHAURI

· Vita vyenu sio vya damu na nyama ili kupambana kwa mwili Efeso 6 ;10, bali ni ya Roho katika uliwengu wa Roho. Ukiona kanisa linapigania kuandika Waraka na kutoa matamko jua limeacha njia …uuuuh bali jua tuna dhehebu linalopigania maslahi fulani likiwa na limejivika ngozi ya kanisa kumbe ndani ni mbwa mwitu wakali wasiolihurumia Taifa. Ikiwa watu wa dunia kama vyama, mashirika wanatoa matamko je kanisa nalo litoe tamko ? huko ni kufilisika kiroho.

· Kanisa sio dhehebu kama wengi wanavyodhani bali KANISA ni mwili wa Kristo, haliandikishwi, wala halifi, lina mamlaka ya kufunga na kufungua chochote duniani ktk ulimwengu wa roho na lina sura ya Kristo ndani. Ebr 5 ;7 Yeye kristo hakuandika waraka bali alinyenyekea kama kielelezo. Mkiacha njia kristo ananyanyua hata mawe yamtumikie, hivyo msijimilikishe kuwa dhehebu ndio kanisa, kristo awajua walio wake ndo maana asema sio wote wasemao Bwana Bwana wataurith ufalme bali wale wayatendao mapenzi yake yeye tu.

· KANISA linapaswa limwombe Mungu sio kutoa nyaraka, huko ni kujitetea kama dunia na ni kutoka nje ya njia. Ebr 5;7-9, 1Tim 2 ;1-3,Basi kabla ya mambo yote nataka Dua, na sala, na maombezi, na Shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote, kwa ajili ya wafalme,na wote wenye mamlaka, tuishi maisha ya utulivu na amani katika utauwa wote na Ustahivu’ hilo lapendeza tena ni zuri’ lakini pia ni vema kumuuliza Mungu kujua mapenzi halisi yake ni nini maana angalia unaweza kuwa unaingia katika maombi ya kushindana na mapenzi ya Mungu pia.

· Tujiulize ikiwa sisi ni watumishi wa Mungu na mamlaka iliyoko madarakan ni watumish wa Mungu, je Mungu amsikie nani na amwache nani ? lakini ikiwa kinachotendeka ni maovu basi Bwana atafanya njia. Ukisoma Mdo 12 ;1-10 wakati ule Herode alipomkamata Petro apate kumwua, maandiko yanasema Kanisa likamwomba Mungu kwa juhudi na Mungu akalisikia, angalia akafanya njia kumtuma malaika na kumtoa Petro katika gereza, sio kulalamika.

Kwa msingi huu, mtumish mwenzenu JPM yuko sawa kuwasahihisha kwa kuwaambia, ikiwa mmeshindwa kuhubiri na kufanya yale mliyoagizwa kufanya, basi anzeni kuhubiri viwanda ! Kwa maana yeye kapewa kujenga viwanda anajua wajibu wake, mkitaka kumsaidia hubirini viwanda.

Hivi hamuoni kuwa kanisa lina hali mbaya ya kiroho ? hakuna injili ya kweli bali injili ya tena bali kuchuma kwa ajili matumbo tu ! Angalieni jinsi manabii wanavyowaibia watu mali na pesa wazi wazi kwa hila mnawaangalia tu, wanafunzi kila kukicha mimba mashuleni hadi aibu mnaangalia tu, ndoa za jinsia moja kanisani uchafu gani huo ? maadili hakuna kuanzia maaskofu wenyewe wachungaji na mapadiri, kwani ni siri wengine wamefungwa hadi gerezani? watoto lukuki mitaani wamezaliwa na hao wanaitwa watumish ? aibu ! ugomvi makanisani mpaka kushitakiana mahakamani je hayapo ? ufisadi ndani ya maeneo yenu je mmemaliza ? mbaya zaidi kugombea cheo hicho cha uaskofu wengine wengi wenu mmeenda mpaka kwa Sangoma kwani ni siri ? au mpaka mtajwe ? kati yenu wengi je hamjahonga kupata cheo ? dunia imeingia makanisani kwa njia ya miziki na uimbaji wa kidunia hakuna makemeo, mahubiri ya uongo kwa wizi wa kujitajirisha nk lakini hatusikii neno la kukemea juu ya hayo ! kanisa mmelipeleka mwilini na sio rohoni 1Kor 3 ;1-3,ninyi mmekua wa Tabia ya mwilini na sio rohoni ! sikiliza ushauri wa Yesu ! . Luka 6;41-42 ” Basi mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako huiangalii ?..,Mnafiki wewe itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe, ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi kilichomo katika jicho la ndugu yako”

Hata ninyi mna mapungufu mengi maana hamjakamilika, sasa iweje juu ya haya ?nadhani ni wakati wa kuona aibu na kujisahihisha,kutubu na kuirudia njia ya mwenyezi. Ati maaskofu wanaongelea katiba kwenye kwenye madhabahu ya Bwana !? kiroho kwishney

Hitimisho,

· Watanzania wamempa ridhaa JPM aongoze nchi, jiulize kama wewe ni dereva wa basi la abiria , wakati unaendesha kila mtu anakueleza la kwake ufanye je utafuata lipi ? mwingine anasema

o Simamama sioni kule uendako !

o Ongeza mwendo dereva, wakati huo huo mwingine anasema

o Punguza mwendo, mwingine anasema nimechoka nataka kupumzika simamisha gari, mwingine ahirisha safari mabonde mengi subiri lami mwakani ndo uendelee na safari. Kisha dereva anaamua asisikilize mtu yeyote je ninyi mliopo kwenye gari mtachukua hatua gani ? au mtachukua usukani mwendeshe au mtamshitaki kwenye mamlaka husikaaa? Kinachotakiwa jamani

§ Mwachen dereva ( JPM ) aendeshe maana aliomba kazi ya kutuendesha miaka mitano,

§ Kama hamridhiki na uendeshaji wa dereva piga simu Yer33;3 kwa mwenye gari atamsaidia yaani kwenye mamlaka husika nawe utasikiwa,lkn kubali majibu maana yaweza kuwa hapana au ndiyo au subiri.

§ Ama sivyo mkifika mwambien mwenye gari yeye atachukua hatua, stahiki. si ndio kusema ikiisha hiyo miaka yake mhukumuni kwenye sanduku la kura maana mtamshitaki kwa wananchi! sio oooh huyoo anavunja katiba mara ooh huyu eeh....nini hii rubish

§ au subirini kwenye interview nyingine kaombeni na ninyi muwe madereva si mnazo leseni????? Shida nn?

§ Kama hujui dereva aendako basi shuka kwenye gari kapande gari jingine ( kaishi huko nje kama huyo dada alivofanya na ukae kimya kale maisha hakuna atakayekusumbua) au kaangalie mbele ya kioo cha gari utakuta kimeandikwa hapa kazi tu, viwanda , maendeleo

§ Ikiwa mliwahi kutoa waraka wenye sifa za rais ajaye wa awamu hii, niwaulize je mtu huyo ndiye huyu au bado mnaye mnaemdhania ndiye? Kama ndiye basi mpeni ushirikiano sio malumbano, pia vilevile kama siye kwa mujibu wa maombi yenu bado kiongozi aliyewekwa na Mungu kwa mujibu wa maandiko anapaswa kuheshimiwa na ikiwa ni ushauri basi apewe kwa unyenyekevu wote.

§ Tutakushangaa saana ukiamua kutoboa tairi au kuharibu gari au kurukia usukani ili uendeshe kisa ati wote tusimame tusiendelee na safari kwa kuwa dereva hakusikilizi, hapo ndipo utakapoona hasira za tajiri na abiria wenzako wakisema we vipi? Namba za kuripoti unazijua, mamlaka zipo, sasa si ukaripoti ukiona kuwa kama katiba inavunjwa si uende Mahakamani ndipo haki ya kikatiba ilipoooo ! haya mambo ya nyaraka, maandamano yanatoka wapi?

Hawakawii kusema napigia debe kitu flan, mm si mwanachana wa chama chochote cha siasa, ni mtumish mwenzenu wa Jehova ila naunga mkono juhudi za mamlaka iliyoko madarakani kutuletea maendeleo. Tulihitaj kiongozi mwenye kuchukua hatua ndiye huyu tuliyepewa, Tumuombee Mungu aendelee kumpa hekima na maarifa. Kumbukeni Jambo lolote likiharibika ktk nchi, tatizo huwa ni kanisa kwani huwa limelala usingizi halioni ila nashukuru Mungu baadhi ya watumish wamefumbuliwa macho na wanaona kisawasawa hutawaona wakija na matamko bali maombi. Kumbukeni TB Joshua alipokuja wakati wa uchaguzi je aliwatolea matamko??? Lakini alikuja na ujumbe maalum kwa walengwa kimya kimya! jifunzeni basi kwa wengine. Tunamuombea saana Rais wetu mpendwa apewe neema atufikishe kwenye nchi ya asali na maziwa. Amina


Wasalam
Kumbe serikali ya mkulu ndio mamla kuu jamani angalieni msije mkakufuru kama hamjui kutafusiri maneno ya kiroho naomba muyaache kama unataka tafsiri ya mamlaka iliyokuu ngoja tuiangalie katika kitabu cha ufunuo wa yohana tutapata tafsiri sasa ninyi mnataka kuukosoa waraka bila ya kuzijibu hoja zilizotolewa mtaanza kuutukana utawala uliopo kwakutumia tafsiri za uongo kutoka ktk biblia kweli ninyi wasomi mnatuambia yakuwa utawala wa magu ni mamlaka iliyokuu kweli yaani mnatisha hakika
 
Mkuu umenena maneno ya busara tupu.
Maneno yako yaliyochukua 'peji' nyingi ndiyo yaliyobananishwa kwa pamoja katika majibu ya baba askofu wa jimbo kuu la Dar, mhashamu Kardinali Pengo.
Kahoji sana katika kujibu kifupi "waraka wa maaskofu" ambao kwamaelezo yake, hakushirikishwa kuuandika, ingawa jina lake limeonekana kutajwa.
Kahoji kwamba kama wewe ni mwana dini, taaluma ya siasa umeitoa wapi? Hauwezi kuwa mwanadini na ukawa mwanasiasa kwa muda huohuo.
Na kwamba ingelikuwa enzi za utawala wa Nyerere, kamwe haya ya wanadini kugeukia siasa yasingelitokea hata kwa bahati mbaya. Yangelizimwa kikatili mno na wale waliokuwa katika mkumbo na wakasalimika, wangelibaki wakijificha kwa kiwewe na kuishia kuota ndoto mbaya za kunusurika kifo.
Ninachompendea Magufuli ni mawili muhimu; msimamo na maono.
Vita vyote alivyoanzisha kwa ajili ya kuinyoosha nchi, matokeo yake ndiyo hayo!
Chui wengi waliovaa ngozi za kondoo, sasa wameanza kujidhirisha wazi kuwa si kondoo tuwadhaniao, ni chui wa mwituni, ni wanyama wararuao hasa.
Kwa wale tuliokuwa watu wazima tangia utawala wa Nyerere tunaona kuwa rais Magufuli anatawala kizalendo sana. Ni mtu aliye na vision ya maendeleo, ana msimamo na anachokiamini. Hatikiswi na mwangwi wa mumiani wachumia tumbo, kwa janja ya hila yoyote, iwe kidini, kisiasa ama kijamii.
 
Mleta mada unapotosha umma kwa kunukuu maandiko na kuyatafsiri upendavyo!! Kwamba tuwe na serikali isyoonyeshwa mapungufu yake ya uongozi bali watukuzwe na kusifiwa tu!!! AJABU. Mleta mada, hoja yako umeegemea upande huwezi kuisaidia jamii ktk shida zao kwa sababu uko dhidi ya wananchi.


Ungekuwa na maana kama ungekosoa hoja zao moja baada nyingine ungeeleweka, na si kujificha kwenye maandiko uliotafsiri upendavyo!!

Mtumishi wa Mungu huwezi kuiona serikali inayowatandika watu wake risasi, au kuwacharanga mapanga, kwa kigezo cha itikadi halafu ukakaa kimya eti uungwana!!! HAPANA. Ikiachwa ifanye hayo, kesho itawageukia wengine. Serikali ni yetu ituongoze kwa haki bila ubaguzi . Na ndio maana zamani sisi waTz tulizikemea nchi zilizowatenda hivyo wananchi wake, hatukukaa kimya kwamba hayakutuhusu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
VYA KAISARI MPE KAISARI MSTARI UNAO TAFSIRIWA VIBAYA .
Imekuwa ni kawaida na imeanza kuzoeleka kwa watu wengi wakitumia mstari wa bible luka 20;25 vibaya na tofauti na maana ya mstari huo .Wengi wamekuwa wakitafsiri kuwa ya shetani mpe shetani naya Mungu mpe Mungu.Au wengine wanasema toa zaka kwa Mungu alafu toa rushwa kwa kiongozi wa serekali nk.
Yesu hapa haku maanisha chochote nje ya kodi kwasababu msingi wa swali (subject matter) hapa ilikuwa je wayahudi walipe kodi amasivyo? Kwa msingi huo Yesu alijibu swali la kodi na si vinginevyo.Ingekuwa ajabu Yesu aulizwe kuhusu kodi ajibu kuhusu kitu kingine tofauti na kodi.
Kuna baadhi ya maeneo Yesu alitumia mifano na mafumbo lakini hapa si fumbo kama wengi wetu wanaolazimisha kila mstari katika biblia kuwa na maana zaidi ya ile inayoonekana wakiaminisha watu kuwa biblia ni fumbo.Biblia inatuambia haiwezekani kuwa na mabwana wawili giza na nuru yaani ufanye vya ibilisi na wakati huo ufanye vya Mungu.
Luka 20;22-25 “Je! Ni halali tumpe Kaisari kodi, au sivyo?
23 Lakini yeye alitambua hila yao, akawaambia,
24 Nionyesheni dinari. Ina sura na anwani ya nani? Wakamjibu, Ya Kaisari.
25 Akawaambia, Basi, vya Kaisari mpeni Kaisari, na vya Mungu mpeni Mungu.”
Hilo lina fafanuliwa vizuri tena katika kitabu cha Warumi 13:7 “Wapeni wote haki zao; mtu wa kodi, kodi; mtu wa ushuru, ushuru; astahiliye hofu, hofu; astahiliye heshima, heshima.”
Cha msingi hapa nikulipa kodi au ushuru kwa kama haki ya kila raia kwa msingi wa mapenzi ya Mungu katika uhalali wake.
 
Kuna mtu mmoja alisema kuwa ukitaka mambo yako ya kisiasa ya nyooke mashehe, maskofu na wachungaji usiwapuuze. Hawa ndiyo wenye wafuasi wengi kwa tafsiri nyingine ndiyo wenye wafuasi wengi. Kazi ya kanisa na msikiti ni kuhubiri neno la Mungu hawawezi kuhubiri kitu kingine wengi wameenda kwenye shule za dini na wamefundishwa kuhubiri neno. Neno la Mungu linatumika pia kuonya, kukemea na kumuelekeza mtu katika njia sahihi.
Sauti ya mtu aliaye nyikani, itengenezen njia ya Bwana , yanyoshen mapito yake..,

Niseme, tumefika mahali kanisa linaacha njia na sasa hatari inaingia ya kuchanganya dini na siasa. Inashangaza sana kuona dhehebu linajikita kuanza kuandika nyaraka kwa mamlaka zingine badala ya kuwaelekeza waumini waingie magotini katika maombi kuombea viongozi wa serkali yetu 1Tim 2 ;1-4. Kiongozi wa kanisa mkuu Yesu Kristo alisema ya Kaisari mpeni kaisari na ya Mungu mpeni Mungu.

Hapo zamani ilipoonekana pia kanisa lilijichanganya na mambo ya dunia tunasoma likaonywa ’ Ni Heri kuwa moto au baridi kuliko kuwa vuguvugu Ufu 3 :14-19 , mtasitasita katika njia mbili hadi lini? Mkitaka kufanya siasa vueni majoho yenu ungana na vyama vya siasa ijulikane moja, kama ni dini bac ijulikane mnatumikia dini zenu. Nasema dini zenu maana mkisema mnasimama badala ya watumish wa Mungu basi mmekua watumishi waliojikinai, kumbukeni huyo mnayemsonta na nyaraka zenu naye ni mtumish wa Mungu mwenzenu ! utaniambia kivipi ? Hebu someni Warumi 13 ;1..kila mtu aitii mamlaka iliyo kuu..maana iliyopo imeamuriwa na Mungu,….hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu, nao washindanao watajipatia hukumu, …..13 ;6 kwa kuwa yeye (JPM) ni mtumishi wa Mungu kwako kwa ajili ya mema, ufanyapo mabaya ogopa maana hauchukui upanga bure, kwa kuwa ni mtumishi wa Mungu amlipizaye kisasi mtenda mabaya kwa ajili ya ghadhabu’…

Watumish maaskofu wetu mbona mmejikinai hivi badala ya kujivika roho ya unyenyekevu , mnaandika nyaraka zisizo na tija rohoni ! mnajihesabia haki ninyi ? Luka 18 ;9-14? Ole imewajia maana ninyi si tofauti na mafarisayo ambao Yesu aliwaonya na kuwakemea sana ingawa wao walijiona wako sawa. Hata sasa mwasema hatutishiki wala kunyamazishwa! Ole inakuja ! Kumbukeni !

· Askofu ni kazi ya Kutaka (kuomba) na kuchaguliwa, na sio ya kuitwa na Mungu kwa mujibu wa maandiko,?1Tim 3 ;1 Mtu akitaka kazi ya uaskofu..(lakini kazi za kuitwa na Mungu zimeainishwa ktk Efeso 4 ;11-12 yaani Nabii, Mtume, Mwinjilist, Mchungaji na Mwalimu , hawa ndio wenye kulijenga kanisa. Sasa ninyi mnabadili maandiko na kuifanya kazi yenu hiyo kuwa wasemaji wa Mungu badala ya Manabii na Mitume wenye kazi hiyo ambao ndio wajenzi wa kanisa?

· Majukumu ya askofu ni kutekeleza yale yote yaliyoainishwa katika wadhifa wake kulingana na katiba ya dhehebu husika . ambapo madhehebu yote yamesajiliwa chini ya wizara ya mambo ya ndani ya nchi yetu kwa mujibu wa katiba ya JMT

· Ni matarajio ya wengi kuwa nyingi ya katiba hizo zina lengo la kumhubiri Kristo kwa kuishi maisha ya utauwa na kukemea maovu bila kujali yanatendwa na mtu wa namna gani ukijianzia mwenyewe

· Je hamjui kuwa JPM pia ni mtumishi wa Mungu kama ninyi ‘Rum13 ;6, kwa kuwa yeye (JPM) ni mtumishi wa Mungu kwako kwa ajili ya mema,’ tena yeye mwangalizi mkuu yaani askofu wa nchi kwa upande mwingine ? na madhehebu yote yako chini yake maana ameyasajiri na anaweza kuyafuta yasipofuata taratibu zilizokubalika hadi kusajiliwa?. Ingawa Kanisa halisi la rohoni halionekani na haliwez kufutwa maana ni mwili wa Kristo !


NASHAURI

· Vita vyenu sio vya damu na nyama ili kupambana kwa mwili Efeso 6 ;10, bali ni ya Roho katika uliwengu wa Roho. Ukiona kanisa linapigania kuandika Waraka na kutoa matamko jua limeacha njia …uuuuh bali jua tuna dhehebu linalopigania maslahi fulani likiwa na limejivika ngozi ya kanisa kumbe ndani ni mbwa mwitu wakali wasiolihurumia Taifa. Ikiwa watu wa dunia kama vyama, mashirika wanatoa matamko je kanisa nalo litoe tamko ? huko ni kufilisika kiroho.

· Kanisa sio dhehebu kama wengi wanavyodhani bali KANISA ni mwili wa Kristo, haliandikishwi, wala halifi, lina mamlaka ya kufunga na kufungua chochote duniani ktk ulimwengu wa roho na lina sura ya Kristo ndani. Ebr 5 ;7 Yeye kristo hakuandika waraka bali alinyenyekea kama kielelezo. Mkiacha njia kristo ananyanyua hata mawe yamtumikie, hivyo msijimilikishe kuwa dhehebu ndio kanisa, kristo awajua walio wake ndo maana asema sio wote wasemao Bwana Bwana wataurith ufalme bali wale wayatendao mapenzi yake yeye tu.

· KANISA linapaswa limwombe Mungu sio kutoa nyaraka, huko ni kujitetea kama dunia na ni kutoka nje ya njia. Ebr 5;7-9, 1Tim 2 ;1-3,Basi kabla ya mambo yote nataka Dua, na sala, na maombezi, na Shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote, kwa ajili ya wafalme,na wote wenye mamlaka, tuishi maisha ya utulivu na amani katika utauwa wote na Ustahivu’ hilo lapendeza tena ni zuri’ lakini pia ni vema kumuuliza Mungu kujua mapenzi halisi yake ni nini maana angalia unaweza kuwa unaingia katika maombi ya kushindana na mapenzi ya Mungu pia.

· Tujiulize ikiwa sisi ni watumishi wa Mungu na mamlaka iliyoko madarakan ni watumish wa Mungu, je Mungu amsikie nani na amwache nani ? lakini ikiwa kinachotendeka ni maovu basi Bwana atafanya njia. Ukisoma Mdo 12 ;1-10 wakati ule Herode alipomkamata Petro apate kumwua, maandiko yanasema Kanisa likamwomba Mungu kwa juhudi na Mungu akalisikia, angalia akafanya njia kumtuma malaika na kumtoa Petro katika gereza, sio kulalamika.

Kwa msingi huu, mtumish mwenzenu JPM yuko sawa kuwasahihisha kwa kuwaambia, ikiwa mmeshindwa kuhubiri na kufanya yale mliyoagizwa kufanya, basi anzeni kuhubiri viwanda ! Kwa maana yeye kapewa kujenga viwanda anajua wajibu wake, mkitaka kumsaidia hubirini viwanda.

Hivi hamuoni kuwa kanisa lina hali mbaya ya kiroho ? hakuna injili ya kweli bali injili ya tena bali kuchuma kwa ajili matumbo tu ! Angalieni jinsi manabii wanavyowaibia watu mali na pesa wazi wazi kwa hila mnawaangalia tu, wanafunzi kila kukicha mimba mashuleni hadi aibu mnaangalia tu, ndoa za jinsia moja kanisani uchafu gani huo ? maadili hakuna kuanzia maaskofu wenyewe wachungaji na mapadiri, kwani ni siri wengine wamefungwa hadi gerezani? watoto lukuki mitaani wamezaliwa na hao wanaitwa watumish ? aibu ! ugomvi makanisani mpaka kushitakiana mahakamani je hayapo ? ufisadi ndani ya maeneo yenu je mmemaliza ? mbaya zaidi kugombea cheo hicho cha uaskofu wengine wengi wenu mmeenda mpaka kwa Sangoma kwani ni siri ? au mpaka mtajwe ? kati yenu wengi je hamjahonga kupata cheo ? dunia imeingia makanisani kwa njia ya miziki na uimbaji wa kidunia hakuna makemeo, mahubiri ya uongo kwa wizi wa kujitajirisha nk lakini hatusikii neno la kukemea juu ya hayo ! kanisa mmelipeleka mwilini na sio rohoni 1Kor 3 ;1-3,ninyi mmekua wa Tabia ya mwilini na sio rohoni ! sikiliza ushauri wa Yesu ! . Luka 6;41-42 ” Basi mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako huiangalii ?..,Mnafiki wewe itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe, ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi kilichomo katika jicho la ndugu yako”

Hata ninyi mna mapungufu mengi maana hamjakamilika, sasa iweje juu ya haya ?nadhani ni wakati wa kuona aibu na kujisahihisha,kutubu na kuirudia njia ya mwenyezi. Ati maaskofu wanaongelea katiba kwenye kwenye madhabahu ya Bwana !? kiroho kwishney

Hitimisho,

· Watanzania wamempa ridhaa JPM aongoze nchi, jiulize kama wewe ni dereva wa basi la abiria , wakati unaendesha kila mtu anakueleza la kwake ufanye je utafuata lipi ? mwingine anasema

o Simamama sioni kule uendako !

o Ongeza mwendo dereva, wakati huo huo mwingine anasema

o Punguza mwendo, mwingine anasema nimechoka nataka kupumzika simamisha gari, mwingine ahirisha safari mabonde mengi subiri lami mwakani ndo uendelee na safari. Kisha dereva anaamua asisikilize mtu yeyote je ninyi mliopo kwenye gari mtachukua hatua gani ? au mtachukua usukani mwendeshe au mtamshitaki kwenye mamlaka husikaaa? Kinachotakiwa jamani

§ Mwachen dereva ( JPM ) aendeshe maana aliomba kazi ya kutuendesha miaka mitano,

§ Kama hamridhiki na uendeshaji wa dereva piga simu Yer33;3 kwa mwenye gari atamsaidia yaani kwenye mamlaka husika nawe utasikiwa,lkn kubali majibu maana yaweza kuwa hapana au ndiyo au subiri.

§ Ama sivyo mkifika mwambien mwenye gari yeye atachukua hatua, stahiki. si ndio kusema ikiisha hiyo miaka yake mhukumuni kwenye sanduku la kura maana mtamshitaki kwa wananchi! sio oooh huyoo anavunja katiba mara ooh huyu eeh....nini hii rubish

§ au subirini kwenye interview nyingine kaombeni na ninyi muwe madereva si mnazo leseni????? Shida nn?

§ Kama hujui dereva aendako basi shuka kwenye gari kapande gari jingine ( kaishi huko nje kama huyo dada alivofanya na ukae kimya kale maisha hakuna atakayekusumbua) au kaangalie mbele ya kioo cha gari utakuta kimeandikwa hapa kazi tu, viwanda , maendeleo

§ Ikiwa mliwahi kutoa waraka wenye sifa za rais ajaye wa awamu hii, niwaulize je mtu huyo ndiye huyu au bado mnaye mnaemdhania ndiye? Kama ndiye basi mpeni ushirikiano sio malumbano, pia vilevile kama siye kwa mujibu wa maombi yenu bado kiongozi aliyewekwa na Mungu kwa mujibu wa maandiko anapaswa kuheshimiwa na ikiwa ni ushauri basi apewe kwa unyenyekevu wote.

§ Tutakushangaa saana ukiamua kutoboa tairi au kuharibu gari au kurukia usukani ili uendeshe kisa ati wote tusimame tusiendelee na safari kwa kuwa dereva hakusikilizi, hapo ndipo utakapoona hasira za tajiri na abiria wenzako wakisema we vipi? Namba za kuripoti unazijua, mamlaka zipo, sasa si ukaripoti ukiona kuwa kama katiba inavunjwa si uende Mahakamani ndipo haki ya kikatiba ilipoooo ! haya mambo ya nyaraka, maandamano yanatoka wapi?

Hawakawii kusema napigia debe kitu flan, mm si mwanachana wa chama chochote cha siasa, ni mtumish mwenzenu wa Jehova ila naunga mkono juhudi za mamlaka iliyoko madarakani kutuletea maendeleo. Tulihitaj kiongozi mwenye kuchukua hatua ndiye huyu tuliyepewa, Tumuombee Mungu aendelee kumpa hekima na maarifa. Kumbukeni Jambo lolote likiharibika ktk nchi, tatizo huwa ni kanisa kwani huwa limelala usingizi halioni ila nashukuru Mungu baadhi ya watumish wamefumbuliwa macho na wanaona kisawasawa hutawaona wakija na matamko bali maombi. Kumbukeni TB Joshua alipokuja wakati wa uchaguzi je aliwatolea matamko??? Lakini alikuja na ujumbe maalum kwa walengwa kimya kimya! jifunzeni basi kwa wengine. Tunamuombea saana Rais wetu mpendwa apewe neema atufikishe kwenye nchi ya asali na maziwa. Amina


Wasalam
 
Viongozi wa dini wamesahau majukumu yao na kuingilia mambo ya dunia
Wamesahau mamno ya Mungu na Kumpa Mungu yaliyo yake, wameamua kufuata ya Kaisari
Sasa taifa la Mungu linaangamia, sababu walimu na wachungaji wao wameshikana mashati na watawala kugomabania mkate.

Ole wao wachungaji hawa walioshikilia funguo za njia za kondoo wa bwana.
Matako wew wew ndio unayoyajuanmajukumu yao
 
Siasa ni maisha yako ya kila siku, sasa unaposema "waache siasa" sijui unamaanisha nini!
 
Back
Top Bottom