Tafakari ya Kipanya

Hii katuni ni mbaya kuliko ndoto za Lema, akamatwe.
 
Kisu kwenye mfupa.Unamsamehe Lugumi billion 37 unawadai wanafunzi million 10.
Mungu anawaona
 
"Truth is the treason in the empire of lies.
 
Katuni hii inatufundisha nini?

1. Bodi ya Mikopo inatumikishwa tu (rungu la kutwangia watu). Yenyewe peke yake haina lolote.

2. Aliyeshika rungu kavaa jezi ya kijani. (Young African? Mwana chichiemi?)

3. Mshika rungu ni mvaa miwani

4. Rungu halijatua chini...na halina dalili ya kutua. Hii ni tisha toto tu kumbe...kuwanyamanzisha

On a serious note: yale majina yaliyotolewa na "rungu" yana idadi kadhaa ya watu waliokwisha tangulia mbele ya haki (RIP). Kwa nini haukufanyika uhakiki kwanza kabla ya kutoa ile ultimatum ya mwezi mmoja, au watakamatwa ndugu za marehemu?
 
Hivi Unaposema Akamatwe Una Maana Kuwa Wewe Ni Kada Kindakindaki Na Hujawahi Kujua Maana Ya Katuni
Mwenye Uraia Namba Moja Kamkubali Masoud Kipanya
Hamlafu Mtu Ambaye Hujui Ulitendalo Ndiyo Unasema
""Akamatwe"" Siyo Rahisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…