Tafakari: Tanzania ni koloni la China?

Tafakari: Tanzania ni koloni la China?

Seif al Islam

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2011
Posts
2,156
Reaction score
640
Moja kati ya mbinu kubwa walizotumia wakoloni katika kulitawala bara laAfrika na kuiba mali asili za bara hili ni kujenga urafiki na viongozi wa nchi husika.Hii hujumuisha kutoa vitu vinavyoonekana kama zawadi na misaada (rejea ujenzi wa uwanja wa soka na kituo cha kimataifa cha mikutano cha Mwalimu Nyerere).

Pia viongozi husika hupewa heshima na hadhi hata wasizofanana nazo (siongelei uprofessa wa JK). Kibaya zaidi kinachofanywa na wakoloni ni kuwasainisha viongozi wa nchi husika mikataba mikubwa ya uvunaji wa rasilimali katika nchi husika.

Mikataba hii huwa siri kubwa kati ya watawala wa Afrika na "mkoloni" husika. Kwa jinsi hali ya uhusiano na ushirikiano kati ya viongozi wa Tanzania (rejea ziara ya kinana huko china na sasa ziara ya JK huko uchina na ile iliyofanywa na rais wa China hapa nchini) na Tanzania kama nchi na china inavyozidi kukua huku mikataba ya ushirikiano na biashara kati ya nchi hizi mbili ikiendelea kuwekwa siri kati ya viongozi wa Tanzania (kama kweli nao wanaijua) na wachina mtu anaweza hata kufikiri kuwa Tanzania imegeuzwa "koloni" la china.

Kwa maoni yangu, Tanzania imegeuzwa kwa kupenda "koloni" la China na tofauti kati ya "ukoloni" huu na ule wa zamani ni kuwa huu wa sasa ni wa viongozi wetu kwenda kuwaita "wakoloni" kututawala na kutunyonya
 
Bora kuwa koloni la China kuliko kuwa koloni la mjerumani
 
Moja kati ya mbinu kubwa walizotumia wakoloni katika kulitawala bara laAfrika na kuiba mali asili za bara hili ni kujenga urafiki na viongozi wa nchi husika.Hii hujumuisha kutoa vitu vinavyoonekana kama zawadi na misaada (rejea ujenzi wa uwanja wa soka na kituo cha kimataifa cha mikutano cha Mwalimu Nyerere).

Pia viongozi husika hupewa heshima na hadhi hata wasizofanana nazo (siongelei uprofessa wa JK). Kibaya zaidi kinachofanywa na wakoloni ni kuwasainisha viongozi wa nchi husika mikataba mikubwa ya uvunaji wa rasilimali katika nchi husika.

Mikataba hii huwa siri kubwa kati ya watawala wa Afrika na “mkoloni” husika. Kwa jinsi hali ya uhusiano na ushirikiano kati ya viongozi wa Tanzania (rejea ziara ya kinana huko china na sasa ziara ya JK huko uchina na ile iliyofanywa na rais wa China hapa nchini) na Tanzania kama nchi na china inavyozidi kukua huku mikataba ya ushirikiano na biashara kati ya nchi hizi mbili ikiendelea kuwekwa siri kati ya viongozi wa Tanzania (kama kweli nao wanaijua) na wachina mtu anaweza hata kufikiri kuwa Tanzania imegeuzwa “koloni” la china.

Kwa maoni yangu, Tanzania imegeuzwa kwa kupenda “koloni” la China na tofauti kati ya “ukoloni” huu na ule wa zamani ni kuwa huu wa sasa ni wa viongozi wetu kwenda kuwaita “wakoloni” kututawala na kutunyonya

Majungu hayo
 
mawazo mfu ambayo hayana utafiti wowote wa maana .
 
Moja kati ya mbinu kubwa walizotumia wakoloni katika kulitawala bara laAfrika na kuiba mali asili za bara hili ni kujenga urafiki na viongozi wa nchi husika.Hii hujumuisha kutoa vitu vinavyoonekana kama zawadi na misaada (rejea ujenzi wa uwanja wa soka na kituo cha kimataifa cha mikutano cha Mwalimu Nyerere).

Pia viongozi husika hupewa heshima na hadhi hata wasizofanana nazo (siongelei uprofessa wa JK). Kibaya zaidi kinachofanywa na wakoloni ni kuwasainisha viongozi wa nchi husika mikataba mikubwa ya uvunaji wa rasilimali katika nchi husika.

Mikataba hii huwa siri kubwa kati ya watawala wa Afrika na "mkoloni" husika. Kwa jinsi hali ya uhusiano na ushirikiano kati ya viongozi wa Tanzania (rejea ziara ya kinana huko china na sasa ziara ya JK huko uchina na ile iliyofanywa na rais wa China hapa nchini) na Tanzania kama nchi na china inavyozidi kukua huku mikataba ya ushirikiano na biashara kati ya nchi hizi mbili ikiendelea kuwekwa siri kati ya viongozi wa Tanzania (kama kweli nao wanaijua) na wachina mtu anaweza hata kufikiri kuwa Tanzania imegeuzwa "koloni" la china.

Kwa maoni yangu, Tanzania imegeuzwa kwa kupenda "koloni" la China na tofauti kati ya "ukoloni" huu na ule wa zamani ni kuwa huu wa sasa ni wa viongozi wetu kwenda kuwaita "wakoloni" kututawala na kutunyonya

Hii ni pure mibangi kabisa.
 
Urafiki wa Tanzania na China ulikufa mara baada ya Nyerere na Mwenyekiti Mao kufa.. Kilichobaki sasa hivi ni Umbulula wa viongozi wa CCM kuigeuza Tanzania kama shamba la China. Misaada anayopewa JK kwanza nia aibu hata kuitaja.. Yaani Dola milioni 80 wanaziona nyingi kwelikweli... Walivyokuwa wajinga eti kupokewa na ving'ora na mizinga wao wanaona Rais wao kavunja rekodi..

CCM ulizeni Kenyatta alivyoenda China aliingia mikataba ya bei gani...!!!

Mmeinajisi hii nchi mpaka tunaonekana mazezeta tu duniani... Shame on you CCM!!


 
Last edited by a moderator:
Nitatudi baada ya Lb7 kutoa ujinga wao hapa, wameishambulia sredi kama nyuki utafikiri dau lao litaongezwa
 
Ni swala la muda tu wachina wataambiwa mlichosaini na serikali iliyopita hakikukidhi viwango vya utawala bora, na sasa njooni tufanye review ya mikataba yenu kwa maslahi na usalama wa nchi.Hii itatokea tuuuuu
 
Back
Top Bottom