Tafakari: Kama makusanyo yanapaa inakuwaje bajeti za wizara zote zinapunguzwa kati 10%-40%/ ina maana hakuna fedha?

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Habari wadau!

Nimetafakari nimeona naumiza kichwa sana kuelewa serikali hii inamaanisha kitu gani.

Kwa taarifa zilizopo kuwa tra inakusanya tena kwa kuvuka malengo waliopangiwa ikimaanisha kodi inakusanywa kweli kweli na biashara na ajira zinamiminika kuliko awamu zote.

Hii inamaanisha uchumi unakuwa kwa kasi ya ajabu na tuko nchi ya 3 afrika kwa ukuwaji wa uchumi tena kwa speed ya 7G.

Sasa inakuwaje bajeti kabiria zote isipokuwa bajeti ya kununua ndege ndio haijakatwa ila wizara zotezilizopitishiwa mapato na matumizi zimepunguzwa kati ya 10%-40% kuanzia Afya, michezo, maji nk

Kuna kikwazo gani kama fedha zipo?
 
Me Nadhani.Budget Ya Baadhi Ya Wizara Yataongezwa..Ikiwemo Wizara Inayo husika na Anga Na usafiri..
 
Habari wadau!

Nimetafakari nimeona naumiza kichwa sana kuelewa serikali hii inamaanisha kitu gani.

Kwa taarifa zilizopo kuwa tra inakusanya tena kwa kuvuka malengo waliopangiwa ikimaanisha kodi inakusanywa kweli kweli na biashara na ajira zinamiminika kuliko awamu zote.

Hii inamaanisha uchumi unakuwa kwa kasi ya ajabu na tuko nchi ya 3 afrika kwa ukuwaji wa uchumi tena kwa speed ya 7G.

Sasa inakuwaje bajeti kabiria zote isipokuwa bajeti ya kununua ndege ndio haijakatwa ila wizara zotezilizopitishiwa mapato na matumizi zimepunguzwa kati ya 10%-40% kuanzia Afya, michezo, maji nk

Kuna kikwazo gani kama fedha zipo?
Nawewe unawaamini hao watu?
 
Habari wadau!

Nimetafakari nimeona naumiza kichwa sana kuelewa serikali hii inamaanisha kitu gani.

Kwa taarifa zilizopo kuwa tra inakusanya tena kwa kuvuka malengo waliopangiwa ikimaanisha kodi inakusanywa kweli kweli na biashara na ajira zinamiminika kuliko awamu zote.

Hii inamaanisha uchumi unakuwa kwa kasi ya ajabu na tuko nchi ya 3 afrika kwa ukuwaji wa uchumi tena kwa speed ya 7G.

Sasa inakuwaje bajeti kabiria zote isipokuwa bajeti ya kununua ndege ndio haijakatwa ila wizara zotezilizopitishiwa mapato na matumizi zimepunguzwa kati ya 10%-40% kuanzia Afya, michezo, maji nk

Kuna kikwazo gani kama fedha zipo?
Huu uchochez
 
Siku hizi TRA imekuwa ya ajabu sana. Wanaleta siasa kwenye masuala yasiyohitaji siasa.
 
Back
Top Bottom