Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
- Thread starter
- #21
Kwa bahati mmbaya vijana wengi wanaingia katika ndoa pasipo kulijua hili.Hakika mkuu huwezi pata tulizo bora zaidi katika ndoa kama hutapata mwezi alie sahihi.Maisha ya ndoa ni kipimo halisi zaidi katika maisha ya mwanadamu kwa sasa.
[HASHTAG]#NiacheKidogo[/HASHTAG]
asante