Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,722
Na hili wanawake hawalitaki hata kuskia.... wakati wenyewe wanaona.
Ndio hivyo.Oooh!
Siri za ndani hizoUliuonja????πππ
Bora hata cha kuonja kingekuwepo!!Uliuonja????
Kweli kabisa babu, wajue kuanzia leo.WACHUCHU huwa hawajui adha za January... trust me
Muwaulize na baba zenu waliishije na mama zenu. Walikuwa wakirudi wanaimba kwa sautiii ali aliepo asepe mapema asije kufanya mambo yakawa mengi.Wawaulize mama zao, waliishije na baba zao? Simu zimekuja kutuvurugia mipango yetu sisi wanaume, zamani mzee alikuwa anaaga kuwa anaenda kusalimia ndugu zake wilaya nyingine au mkoa kumbe anaenda nyumba ndogo. Siku hizi ukijifanya unaenda wasalimia ndugu zako utafika na kukuta salam za mkeo za kukuulizia kama umefika
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo mpenzi wanguuu...nilikuwa nakuona unavyoniruka kama hatukucheza wote rede,.lolSikukujua hata!! Nikawa nawaza huyu memba mpya mbona kama mwenyeji hapa mtaani!! Nikakutana na uzi wako wa kitaambo ndio nikagundua.
Ndio hivyo.
Usiubebeshe majukumu ambayo hauhusiki nayo kama kupiga miayo
Na watuhurumie
Hatutakiiiiiii sisi tunataka disemba tuu
Usimuangushe babu nenda PM bana
Kama tulivyocheza wote "baba na mama?"Nipo mpenzi wanguuu...nilikuwa nakuona unavyoniruka kama hatukucheza wote rede,.lol
Nipo mpenzi wanguuu...nilikuwa nakuona unavyoniruka kama hatukucheza wote rede,.lol
Ngoja aje anirekebishe maana hadi nimekunywa k vant ndogo kwanza,..si mchezo asee duh!!!
Tukiwahurumia sisi wa ndani mwenu nyie mnaenda nje kuendeleza disemba yenu,.Na watuhurumie
πππππππwoiii mgeni mwenyeji
Mgeni unamdeku kwanzaaa alafu ndio unamuomba soda, kumbe mwenyeji bwana
Nadhani lengo lake ni kusema "a woman who has nothing to offer apart from sex" achana naye!Apo kwa mwanamke ongeza na hela
Kwahiyo mm bibi???Kama tulivyocheza wote "baba na mama?"