Ukishaona mtu anaanza na maneno haya katika andiko lake "" tafadhali usininukuu"" tayari naye hapendi kukosolewa.
Mdogo wangu mjengwa umeanza kukengeuka haukai tena kwenye hoja kama zamani.
Jifunze kuusimamia ukweli na sio kuyumbishwa kwa minajili ya kutafata UDC au vyeo vingine.