Tafadhali Usininukuu: Kwenye Dini Na Siasa Kuna Mahali Tunakosea...

Kama viongozi wa Kisiasa wanaheshimiwa makanisani na kupewa nafasi ya kuzungumza neno,busara hiyo hiyo ingetumika kuwakumbusha kutenda haki.
Baba au Mama hawashambuliani sebuleni
Ndo udicteta huo wanao tuhumiwa nao, kwamba marufuku kukosolewa hadharani??.......kitu kidogo kimekuwa mis-handled namna hii, kwa makubwa itakuwaje?
 
Magidi alikuwa wa zamani enzi za Rai kabla ya kuuzwa.
 
Ndo udicteta huo wanao tuhumiwa nao, kwamba marufuku kukosolewa hadharani??.......kitu kidogo kimekuwa mis-handled namna hii, kwa makubwa itakuwaje?
Umemkaribisha wa nini kusema neno kanisani? Umempa heshima wewe mwenyewe. Iweje umseme hadharani? Je ile heshima uliyompa mara ya kwanza umeifuta?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…