Tafadhali ndugu zetu mkija kututembelea majumbani mwetu msiondoke na chakula( Kula uondoke)

Unawaza Vitu vidogo vidogo mno! Nunua Hotpot nyingi za kutosha!
Stretch your mind na pia acha uchoyo!
Kinachokusumbua wala si huyo nduguyo aliyeondoka na Hotpot, kinachokusumbua ni umaskini! Pambana na hilo!
Nina hotpot sita hapa Kwangu ...sina umaskini huo. Ila sipendi watu wasiyokuwa na nidhamu

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom