Tafadhali ndugu zetu mkija kututembelea majumbani mwetu msiondoke na chakula( Kula uondoke)

Abby Uladu

JF-Expert Member
Dec 16, 2022
2,031
4,236
Merry Christmas

Hivi karibuni nilitembelewa na ndugu yangu majira ya saa tano asubuhi tena bila taarifa.

Kwakuwa alikuja time naenda job nikamuachia maelekezo yote ya msosi ukizingatia huwa nanunua mazagazaga yote ya mwezi mzima naweka ndani.

Niliporudi job saa 10 jioni sijamkuta nyumbani, nampigia simu ananiambia alipika chakula akaweka kwenye hotpot akaondoka nacho( yaani ameondoka na hotpot langu).

Hivi ni sahihi kuondoka na chakula?

Kwanini usile ukaondoka mpaka ubebe chakula uondoke nacho kweli ?

Nipo nafight arudishe hotpot langu mpuuzi huyu

Ndugu wengine ni mzigo Sana.




Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Merry Christmas

Hivi karibuni nilitembelewa na ndugu yangu majira ya saa tano asubuhi tena bila taarifa.

Kwakuwa alikuja time naenda job nikamuachia maelekezo yote ya msosi ukizingatia huwa nanunua mazagazaga yote ya mwezi mzima naweka ndani.

Niliporudi job saa 10 jioni sijamkuta nyumbani,nampigia simu ananiambia alipika chakula akaweka kwenye hotpot akaondoka nacho( yaani ameondoka na hotpot langu).

Hivi ni sahihi kuondoka na chakula?

Kwanini usile ukaondoka mpaka ubebe chakula uondoke nacho kweli ?

Nipo nafight arudishe hotpot langu mpuuzi huyu

Ndugu wengine ni mzigo Sana.




Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Unajua unatakawa ujilaumu ilaumu wewe?


Unampaje mtu access ya jiko lako eti kisa ni ndugu? Akikuwekea sumu je?
 
Unajua unatakawa ujilaumu ilaumu wewe?


Unampaje mtu access ya jiko lako eti kisa ni ndugu? Akikuwekea sumu je?
Daah alikuja gafla nikaona nimkarimu ajihisi vyema,ila alichofanya hakuniaga alipoondoka na kapika chakula kabeba kwenye hotpot

Tukiwafanyia roho mbaya wanatutangazia ubaya

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Merry Christmas

Hivi karibuni nilitembelewa na ndugu yangu majira ya saa tano asubuhi tena bila taarifa.

Kwakuwa alikuja time naenda job nikamuachia maelekezo yote ya msosi ukizingatia huwa nanunua mazagazaga yote ya mwezi mzima naweka ndani.

Niliporudi job saa 10 jioni sijamkuta nyumbani,nampigia simu ananiambia alipika chakula akaweka kwenye hotpot akaondoka nacho( yaani ameondoka na hotpot langu).

Hivi ni sahihi kuondoka na chakula?

Kwanini usile ukaondoka mpaka ubebe chakula uondoke nacho kweli ?

Nipo nafight arudishe hotpot langu mpuuzi huyu

Ndugu wengine ni mzigo Sana.




Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Abby Uladu ni juzi ulinikaribisha nije unanitisha sasa kama nitakula tonge kubwa si utanifungulia uzi?😂😂😂😂
 
Merry Christmas

Hivi karibuni nilitembelewa na ndugu yangu majira ya saa tano asubuhi tena bila taarifa.

Kwakuwa alikuja time naenda job nikamuachia maelekezo yote ya msosi ukizingatia huwa nanunua mazagazaga yote ya mwezi mzima naweka ndani.

Niliporudi job saa 10 jioni sijamkuta nyumbani,nampigia simu ananiambia alipika chakula akaweka kwenye hotpot akaondoka nacho( yaani ameondoka na hotpot langu).

Hivi ni sahihi kuondoka na chakula?

Kwanini usile ukaondoka mpaka ubebe chakula uondoke nacho kweli ?

Nipo nafight arudishe hotpot langu mpuuzi huyu

Ndugu wengine ni mzigo Sana.




Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
kwaiyo Mada apa ni hotpot na huo ugali aliobeba...Maisha ni magumu sana asee esp Mjini.
 
Duh hotpot povu kubwa namna hi..tukio la kuondoka na chakula si labda kwa mwaka anaweza kulifanya mara tano tu au hata iwe mara kumi si ni ishu ya kupotezea tu haiitaji kuanzishiwa thread huku jamiiforum.com
Huu ni utovu wa nidhamu,unachukuaje kitu ambacho ujapewa? Tena katika nyumba ya mtu? Mbaya zaidi kaondoka hata ajaniaga.

Nimelileta hapa najua kuna watu wenye tabia kama hizi waache mara moja kwani wanajiondolea sifa za utu wema.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom