TAFADHALI NAOMBA USHAURI WAKO NAUMIA

TAFADHALI NAOMBA USHAURI WAKO NAUMIA

Salaam....
Kwa muda wa takribani miaka minne nimekua ktk mahusiano na mrembo mmoja ambae kwa sasa anasoma chuo kimoja dodoma na mimi nikiwa kanda ya ziwa
Tulikutana masomoni tukafahamiana nikampenda tukaanza mahusiano ambayo mwanzoni yalikua mazuri sana yenye ukaribu kwa hisia japokua ilifika muda tukawa tunaishi mbalimbali japokua ilikua tunakutana kwa mimi kusafiri kumfuata
Mwaka mmoja tu baada ya mahusiano kuanza alibadilika akawa anasema tuachane,anachukia wanaume,na mambo mengi ambayo badae akikaa anaomba msamaha unamsamehe anaendelea....alikuja kufanya jambo kubwa na la aibu ambalo alinificha lakini badae nilikuja kujua nikawa msaada wake mkubwa sana na akaahidi kunipenda kwa sababu kupitia tukio lile alisema aligundua kwamba nnampenda sana ukapita muda mambo yakawa hayaeleweki;ikawa inatokea unampigia sim hapokei text hajibu then ikitokea kapokea anajibu hovyo na anakua mpole na romantic akipata shida tu
To be honest nimemsaidia sana kwa mahaba yangu binafsi na si kitu kingine na nimemgharamia sana binti yule
Na kwa muda huu nimesafiri kuja kumuona lakini anatoa excuse nyingiii mno na mpaka muda huu nimemuona mara moja tu tena kwa dk zisizozidi tano na kwenye alikua anakuja kuchukua vitu nilivyomletea
Mbaya zaidi amekua akichat na watu wengi na tofauti sana akichat nao kwa mahaba sana hadi kufikia kupanga mahala pa kuonana na ukiona ukamuuliza ana kasirika anadai hao ni watu wake nisimuingilie kwa sababu yeye haingilii wangu na mpaka sasa nikawa nimeamuamuru achague watu wake au mimi amekaa kimya hataki kusema

Najua anafanya hivi yote haya kwa sababu anajua anapendwa sana na moyo wangu nevertheless isingekua kwa kiburi hicho
Naombeni ushauri nifanyeje kwa sababu nnampenda sana kutoka moyoni na nikitazama kumuacha nahisi kama kuna kitu kinapungua hivi
Naombeni ushauri View attachment 1163979

Mtangulize haraka Kuzimu.
 
Siku zote naamini uwezi kupenda sehemu ambayo wewe upendwi nawala muhusika aoneshi juhudi zozote zakukupenda. Naamini mkuu hapo upendi ila2 kuna hali fulani yawewe mwenyewe kujiendekeza. Au unampenda kwakipi kizuriii alichokufanyia? Hela uumpe nabado uteseke kula kona mkuu fungu lako lipo nawala utotumia nguvu nyingi
 
Mkuu usiwe mjinga kiasi cha kushindwa kujua future yako utaumia Sana

Mwanamke ni kiumbe wa ajabu Sana akipoteza hisia kwako kwa kiasi icho maana ake ni kwamba huwez kuwa nae tena kwenye maisha yako ndio maana hana hata hisia na wewe hivyo kwa msaada Zaid let her go then utapata mwingine ambaye ni chaguo lako na lake


Otherwise jiandae kuumia Sana tena sanaaaa
 
Emb tusikitike kwanza chichichichi Mludie muumba wako atakuonyesha Wa thaman zaid
 
Binadamu kupenda Uhuru wa Manyani.
Salaam....
Kwa muda wa takribani miaka minne nimekua ktk mahusiano na mrembo mmoja ambae kwa sasa anasoma chuo kimoja dodoma na mimi nikiwa kanda ya ziwa
Tulikutana masomoni tukafahamiana nikampenda tukaanza mahusiano ambayo mwanzoni yalikua mazuri sana yenye ukaribu kwa hisia japokua ilifika muda tukawa tunaishi mbalimbali japokua ilikua tunakutana kwa mimi kusafiri kumfuata
Mwaka mmoja tu baada ya mahusiano kuanza alibadilika akawa anasema tuachane,anachukia wanaume,na mambo mengi ambayo badae akikaa anaomba msamaha unamsamehe anaendelea....alikuja kufanya jambo kubwa na la aibu ambalo alinificha lakini badae nilikuja kujua nikawa msaada wake mkubwa sana na akaahidi kunipenda kwa sababu kupitia tukio lile alisema aligundua kwamba nnampenda sana ukapita muda mambo yakawa hayaeleweki;ikawa inatokea unampigia sim hapokei text hajibu then ikitokea kapokea anajibu hovyo na anakua mpole na romantic akipata shida tu
To be honest nimemsaidia sana kwa mahaba yangu binafsi na si kitu kingine na nimemgharamia sana binti yule
Na kwa muda huu nimesafiri kuja kumuona lakini anatoa excuse nyingiii mno na mpaka muda huu nimemuona mara moja tu tena kwa dk zisizozidi tano na kwenye alikua anakuja kuchukua vitu nilivyomletea
Mbaya zaidi amekua akichat na watu wengi na tofauti sana akichat nao kwa mahaba sana hadi kufikia kupanga mahala pa kuonana na ukiona ukamuuliza ana kasirika anadai hao ni watu wake nisimuingilie kwa sababu yeye haingilii wangu na mpaka sasa nikawa nimeamuamuru achague watu wake au mimi amekaa kimya hataki kusema

Najua anafanya hivi yote haya kwa sababu anajua anapendwa sana na moyo wangu nevertheless isingekua kwa kiburi hicho
Naombeni ushauri nifanyeje kwa sababu nnampenda sana kutoka moyoni na nikitazama kumuacha nahisi kama kuna kitu kinapungua hivi
Naombeni ushauri View attachment 1163979
 
Hv mpaka hapo hujui tu kama hupendwi na kuna mjanja mwenzako kapendwa mkuu? Haya endelea kuhudumia wakati wanakula wengine
 
Hv mpaka hapo hujui tu kama hupendwi na kuna mjanja mwenzako kapendwa mkuu? Haya endelea kuhudumia wakati wanakula wengine
 
Ipo siku wewe itakutokea utaomba ushauri wa jambo la ajabu
Tambua hizi ni hisia na hisia hazizuiliki ni sawa na kuipenda timu fulani hata ikifungwa unaumia

Jitafakari
Acha mambo ya ajabu wewe. hayo ni maisha usifanye mzaha utajutaa. Kweli kabisa wewe mwenyewe mtu angekuja kukuonba ushauri katika jambo kama hili ungemshauri nini?
 
Unachokitafuta utakipata..jifanye tu sikio la kufa
 
Salaam....
Kwa muda wa takribani miaka minne nimekua ktk mahusiano na mrembo mmoja ambae kwa sasa anasoma chuo kimoja dodoma na mimi nikiwa kanda ya ziwa
Tulikutana masomoni tukafahamiana nikampenda tukaanza mahusiano ambayo mwanzoni yalikua mazuri sana yenye ukaribu kwa hisia japokua ilifika muda tukawa tunaishi mbalimbali japokua ilikua tunakutana kwa mimi kusafiri kumfuata
Mwaka mmoja tu baada ya mahusiano kuanza alibadilika akawa anasema tuachane,anachukia wanaume,na mambo mengi ambayo badae akikaa anaomba msamaha unamsamehe anaendelea....alikuja kufanya jambo kubwa na la aibu ambalo alinificha lakini badae nilikuja kujua nikawa msaada wake mkubwa sana na akaahidi kunipenda kwa sababu kupitia tukio lile alisema aligundua kwamba nnampenda sana ukapita muda mambo yakawa hayaeleweki;ikawa inatokea unampigia sim hapokei text hajibu then ikitokea kapokea anajibu hovyo na anakua mpole na romantic akipata shida tu
To be honest nimemsaidia sana kwa mahaba yangu binafsi na si kitu kingine na nimemgharamia sana binti yule
Na kwa muda huu nimesafiri kuja kumuona lakini anatoa excuse nyingiii mno na mpaka muda huu nimemuona mara moja tu tena kwa dk zisizozidi tano na kwenye alikua anakuja kuchukua vitu nilivyomletea
Mbaya zaidi amekua akichat na watu wengi na tofauti sana akichat nao kwa mahaba sana hadi kufikia kupanga mahala pa kuonana na ukiona ukamuuliza ana kasirika anadai hao ni watu wake nisimuingilie kwa sababu yeye haingilii wangu na mpaka sasa nikawa nimeamuamuru achague watu wake au mimi amekaa kimya hataki kusema

Najua anafanya hivi yote haya kwa sababu anajua anapendwa sana na moyo wangu nevertheless isingekua kwa kiburi hicho
Naombeni ushauri nifanyeje kwa sababu nnampenda sana kutoka moyoni na nikitazama kumuacha nahisi kama kuna kitu kinapungua hivi
Naombeni ushauri View attachment 1163979
Wewe kweli ni mwanaume? Yaani unataka ulazimishe mapenzi kwa mtu ambaye hakutaki au hakupendi!
 
Back
Top Bottom