Desire mobutu seseseko
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 1,000
- 1,466
HABARI wakuu.
Leo nakuja tena kwenu wana jamii najua siwezi kosa ushauri, maoni ya namna yeyote nayoweza maliza hili tatizo langu linalonisumbua kwa sasa. Iko hivi nina mpenzi wangu niliedumu nae kwa takribani miaka 5 inaenda sasa, binti kwao wapo watatu wakike wote yaani yeye ni wa kwanza age 26+ ana elimu ya diploma.
Turudi nyuma kidogo mnamo mwaka 2016 alipata ujauzito nikiwa chuo Mkoa mwingine yeye yupo Mkoa wa kijani. Ilikua shida sana kusolve hili jambo kutokana na ukali wa mama yake. Walinitafuta kupitia dada yake mtoto wa mamkubwa wake kuwa tunasolve vipi tatizo? Mimi nilikua tayari kuwasililiza, walinipa option ya kutoa sababu haikuwa kubwa, niliwatumia kiasi fulan wamalize mchakato. Baadae mawasiliano yakawa hafifu kati ya mimi na binti. Nikablockiwa kila sehemu siweza kumpata tena. Nilijaribu kuwasiliana na dadake sasa yule, akanambia binti alikataa kutoa tena baadae na hawana mawasiliano tena.
Nilijaribu kumtafuta sanaa kujua nini kinaendelea bila mafanikio, hatimae siku zikasogea, miezi kadhaa nikamcheki messenger nikapata mawasiliano naye japo kwa shida sana akaelewa na kupanga kuonana nikirudi mkoa. Na alidai mimba hakuna. Baada ya kufika Mbeya tulionana na hakua na Mimba alikubaliana kuwa pamoja na mimi kuwa bado ananipenda pamoja na mambo magumu alopitia kipindi yuko na Mimba home kwao Mama yake ni mkali sana.
Baada ya hapo nilitaka kujua nini kiliendelea kipindi kile cha ujauzito alinielezea kuwa Alitolewa mimba ikiwa kubwa kabisa na Mama mzazi kabisa alimchukua na kwenda kumtoa bila kuuliza ni ya nani wala maswali mengine kama mzazi baada ya kupona kuwa sawa ndio akaulizwa kuwa ni ya nani ilikua. Binti akamjibu baada ya hapo maisha yakaendelea. Mama hakua na neno tena, zaidi ya kumchukua na kumuweka Vijiti kama njia ya uzazi wa mpango. Ina maana wakati tunarudiana na binti alikua tayari ana hivo vijiti ndani ya mwili wake. Tueliendelea kuwa pamoja, kuhusu relation yangu ndugu jamaa na marafiki hasa upande wangu wanamjua sana! kutokana na side effects za njia hiyo ya mpango alizopitia mwaka huu tulikubaliana tutoe vijiti.
Kwa lengo la kuwa fiti, tulifanikiwa hilo miezi kadhaa nyuma. Sasa ni mjamzito na mama yake tupo mkoa nyanda za kati kikazi anaishi huko. Binti ameenda huko akiwa na mimba kabisa tukiwa tunajua hilo baada ya kukubaliana mimi na yeye kuhusu namna ya kuanza maisha!! akiwa huko mama yake kajua. Binti anapitia changamoto, kusimangwa kuwa amesaliti familia anajali kuhusu yeye tu na maneno makali mno anapewa binti muda huu anakosa raha kabisa na inaonekana mzazi wakw hajakubaliana kabsa na hili jambo sababu amezungumza mengi na kukumbushia ya nyuma na matusi juu. Sijajua yawezekana Mama ana matarajio makubwa sana kwa binti yake..
Hadi sasa sijatoa taarifa yeyote kwa upande wa familia yangu kuwa binti ana ujauzito. NAOMBENI mawazo Mimi ni jobless ila ninaweka sawa mambo shughuli shughuli zangu ndogo ndogo za maisha yaweze kwenda!!
Nakaribisha ushauri na mawazo wakuu!! Ni muhimu sana. Ahsanteni!
Leo nakuja tena kwenu wana jamii najua siwezi kosa ushauri, maoni ya namna yeyote nayoweza maliza hili tatizo langu linalonisumbua kwa sasa. Iko hivi nina mpenzi wangu niliedumu nae kwa takribani miaka 5 inaenda sasa, binti kwao wapo watatu wakike wote yaani yeye ni wa kwanza age 26+ ana elimu ya diploma.
Turudi nyuma kidogo mnamo mwaka 2016 alipata ujauzito nikiwa chuo Mkoa mwingine yeye yupo Mkoa wa kijani. Ilikua shida sana kusolve hili jambo kutokana na ukali wa mama yake. Walinitafuta kupitia dada yake mtoto wa mamkubwa wake kuwa tunasolve vipi tatizo? Mimi nilikua tayari kuwasililiza, walinipa option ya kutoa sababu haikuwa kubwa, niliwatumia kiasi fulan wamalize mchakato. Baadae mawasiliano yakawa hafifu kati ya mimi na binti. Nikablockiwa kila sehemu siweza kumpata tena. Nilijaribu kuwasiliana na dadake sasa yule, akanambia binti alikataa kutoa tena baadae na hawana mawasiliano tena.
Nilijaribu kumtafuta sanaa kujua nini kinaendelea bila mafanikio, hatimae siku zikasogea, miezi kadhaa nikamcheki messenger nikapata mawasiliano naye japo kwa shida sana akaelewa na kupanga kuonana nikirudi mkoa. Na alidai mimba hakuna. Baada ya kufika Mbeya tulionana na hakua na Mimba alikubaliana kuwa pamoja na mimi kuwa bado ananipenda pamoja na mambo magumu alopitia kipindi yuko na Mimba home kwao Mama yake ni mkali sana.
Baada ya hapo nilitaka kujua nini kiliendelea kipindi kile cha ujauzito alinielezea kuwa Alitolewa mimba ikiwa kubwa kabisa na Mama mzazi kabisa alimchukua na kwenda kumtoa bila kuuliza ni ya nani wala maswali mengine kama mzazi baada ya kupona kuwa sawa ndio akaulizwa kuwa ni ya nani ilikua. Binti akamjibu baada ya hapo maisha yakaendelea. Mama hakua na neno tena, zaidi ya kumchukua na kumuweka Vijiti kama njia ya uzazi wa mpango. Ina maana wakati tunarudiana na binti alikua tayari ana hivo vijiti ndani ya mwili wake. Tueliendelea kuwa pamoja, kuhusu relation yangu ndugu jamaa na marafiki hasa upande wangu wanamjua sana! kutokana na side effects za njia hiyo ya mpango alizopitia mwaka huu tulikubaliana tutoe vijiti.
Kwa lengo la kuwa fiti, tulifanikiwa hilo miezi kadhaa nyuma. Sasa ni mjamzito na mama yake tupo mkoa nyanda za kati kikazi anaishi huko. Binti ameenda huko akiwa na mimba kabisa tukiwa tunajua hilo baada ya kukubaliana mimi na yeye kuhusu namna ya kuanza maisha!! akiwa huko mama yake kajua. Binti anapitia changamoto, kusimangwa kuwa amesaliti familia anajali kuhusu yeye tu na maneno makali mno anapewa binti muda huu anakosa raha kabisa na inaonekana mzazi wakw hajakubaliana kabsa na hili jambo sababu amezungumza mengi na kukumbushia ya nyuma na matusi juu. Sijajua yawezekana Mama ana matarajio makubwa sana kwa binti yake..
Hadi sasa sijatoa taarifa yeyote kwa upande wa familia yangu kuwa binti ana ujauzito. NAOMBENI mawazo Mimi ni jobless ila ninaweka sawa mambo shughuli shughuli zangu ndogo ndogo za maisha yaweze kwenda!!
Nakaribisha ushauri na mawazo wakuu!! Ni muhimu sana. Ahsanteni!