Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 16,298
- 22,949
Kwenu waheshomiwa
Naona mikwara ya viroja inaendelea juu ya wale wanaomboleza visivyo wapendeza wenye mamlaka bandia.
Wengine wanatoka maandiko, wengine wanatishia kufungia mitandao na ujinga mwingi.
Huku ni kuingilia uhuru wa watu Tena bila sababu za msinhi! Unawezaje kumpangia mtu namna ya kuomboleza
Itakumbukwa pia kwamba Kila jamii Ina namna yake ya kuomboleza.
Ni juzi tu hapa tuliwapoteza ndugu, jamaa na marafiki zetu baada ya uchaguzi hatukuwasikia hata mkitoa pole, badala yake mlipongezana.
Mmeshindwa kutwambia hata walikufa wangapi na mliwazika wapi?
Tuliwaomba hata mtupe miili tukaizike kwa staha za Mila na desturi zetu mkakataa
Mzee kibao alinyakuliwa kwenye basi mchana kweupe na waliomnyakuwa wanajulikana . Japo machawa waliibuka na kusema ati Mnyika anahusika ?
Wengine waliishia kusema (kifo ni kifo tu) bila kuchukua hatua zozote
Leo kimewakumba nn Hadi mwataka tuomnoleze pamoja?
Sie tulipoomboleza mauji ya kinyama mliyowafanyia ndugu. Jamaa na majirani zetu mlikuwa mnakunywa MVINYO kwenye bar za Ngerengere mlifikir hayawahisu.
Tunasema tusipangiane namna ya kuomboleza na Waombolezaji siyo Wajinga
Mkome
Naona mikwara ya viroja inaendelea juu ya wale wanaomboleza visivyo wapendeza wenye mamlaka bandia.
Wengine wanatoka maandiko, wengine wanatishia kufungia mitandao na ujinga mwingi.
Huku ni kuingilia uhuru wa watu Tena bila sababu za msinhi! Unawezaje kumpangia mtu namna ya kuomboleza
Itakumbukwa pia kwamba Kila jamii Ina namna yake ya kuomboleza.
Ni juzi tu hapa tuliwapoteza ndugu, jamaa na marafiki zetu baada ya uchaguzi hatukuwasikia hata mkitoa pole, badala yake mlipongezana.
Mmeshindwa kutwambia hata walikufa wangapi na mliwazika wapi?
Tuliwaomba hata mtupe miili tukaizike kwa staha za Mila na desturi zetu mkakataa
Mzee kibao alinyakuliwa kwenye basi mchana kweupe na waliomnyakuwa wanajulikana . Japo machawa waliibuka na kusema ati Mnyika anahusika ?
Wengine waliishia kusema (kifo ni kifo tu) bila kuchukua hatua zozote
Leo kimewakumba nn Hadi mwataka tuomnoleze pamoja?
Sie tulipoomboleza mauji ya kinyama mliyowafanyia ndugu. Jamaa na majirani zetu mlikuwa mnakunywa MVINYO kwenye bar za Ngerengere mlifikir hayawahisu.
Tunasema tusipangiane namna ya kuomboleza na Waombolezaji siyo Wajinga
Mkome
