Tafadhali kuwa na huruma

Tumejijengea hiyo hulka hasa sisi wanaume kuanzisha mahusiano ya kujifanyisha kwamba kweli unampenda kumbe unafanya hivyo kutimiza azma yako dirty mind.
Mwenzio anaamini hivyo kwa kupima urefu wa maji na miguu yote na mwili wote anazama anakufa huku ukimuangalia na kuchekelea!c umeshapata ulichotaka!!
Kweli kweli kabisa wanaume kupenda mwanamke huwa % chache sana ila tamaa %kubwa tamaa kubwa mfano wa bahari na kupenda ni mfano tu wa boti.
Wanawake wana mioyo sana jinsi tunavyowafanyia ingekuwa sisi tunatendwa hivyo dunia isingekuwa mahali salama WW3!
Umaweza kuwa na pesa ukamtaka mwanamke akakubali kwa kukupenda kwa dhati bila pesa zako ila sababu ulishakuwa na wale wanapkupendea pesa basi utamtreat huyu hivyohivyo bila kujali hisia zake za kweli kwako!
Amini usiamini ni wanaume wachache sana wanapenda wapendwe na mwanamke ila wengi hupenda akishamega apite hivi ndivyo ilivyo
 
 
Kwani siku hizi kuna mapenzi ya kweli jamani au imebaki mazoea tu....??
Wengi wanasaga meno au walisha kufa wadudu
 
Difinition ya Love ni kuwa Unaempenda kwa dhati na moyo wako wote yeye hakupendi,ila Yule usiempenda kwa dhati yeye hajiwezi Kwako! Hivyo chaguo ni moja tu either umpende asie kupenda ila ukubali kuvumilia au umpende anaekupenda uishi raha mustarehe
 
samahani ndugu mtoa mada!! hapo umeongelea/umemsemea/umemtetea mwanamke ambaye ameolewa au anaishi na mume wake!! swali ni je? kwa wenzetu mnaooa hata wanawake wanne inakiwaje? hawa wanawake huwa hawafeel depressed kuona mwenzake anaongezeka?mean huu upendo na ma care yote mnayagawa vp? provided kwamba love haigawanyiki,na je unadhani hawaumii kweli na kuvunjika moyo pale unapoongeza mwingine?...nadhani umenielewa kidogo,nijibu kwa hekima na sio kwa mihemko
Prince Naahjum @Alsina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…