abutwalib
Senior Member
- Feb 9, 2016
- 163
- 83
Habar wana jamvi...
Nina jambo naomba kujuzwa kuhusiana na TAESA, TAESA wana kazi ya kutafutia watu ajira ila kuna ishu nimesikia kuwa nayo wanafanya ya kuwatafutia watu intership je hili swala lina ukweli ndani yake?
Na kama lina ukweli je hizo internship zinadumu kwa muda gani?
Tafadhali naomba kujuzwa kwa anaejua hili kwa mapana.
ASANTEN
Nina jambo naomba kujuzwa kuhusiana na TAESA, TAESA wana kazi ya kutafutia watu ajira ila kuna ishu nimesikia kuwa nayo wanafanya ya kuwatafutia watu intership je hili swala lina ukweli ndani yake?
Na kama lina ukweli je hizo internship zinadumu kwa muda gani?
Tafadhali naomba kujuzwa kwa anaejua hili kwa mapana.
ASANTEN