GE2025 TABOA wakanusha taarifa ya kusitishwa kwa uhuduma ya usafiri wa mabasi Oktoba 29,2025

GE2025 TABOA wakanusha taarifa ya kusitishwa kwa uhuduma ya usafiri wa mabasi Oktoba 29,2025

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Naibu Katibu wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi (TABOA) Issa Nkya, amewatoa hofu wananchi na abiria kuwa hakijatoa tamko la usitishaji huduma za usafiri wa mabasi ya mikoani na nchi jirani hapo kesho, hivyo huduma zipo kama kawaida kwa saa 24, hivyo wananchi wametakiwa kupuuza taarifa za mtandao kuwa huduma za usafiri wa mabasi hazitakuwepo kupisha zoezi la upigaji kura.

Pia Soma:
Baadhi ya vyombo vya usafiri wa umma kusitisha safari zake kwa tarehe 29/10. Je, ni maagizo ama hofu?
 
Naibu Katibu wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi (TABOA) Issa Nkya, amewatoa hofu wananchi na abiria kuwa hakijatoa tamko la usitishaji huduma za usafiri wa mabasi ya mikoani na nchi jirani hapo kesho, hivyo huduma zipo kama kawaida kwa saa 24, hivyo wananchi wametakiwa kupuuza taarifa za mtandao kuwa huduma za usafiri wa mabasi hazitakuwepo kupisha zoezi la upigaji kura.
Tamko la mwanzo lilitolewa na mamlaka zipi?
 
Naibu Katibu wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi (TABOA) Issa Nkya, amewatoa hofu wananchi na abiria kuwa hakijatoa tamko la usitishaji huduma za usafiri wa mabasi ya mikoani na nchi jirani hapo kesho, hivyo huduma zipo kama kawaida kwa saa 24, hivyo wananchi wametakiwa kupuuza taarifa za mtandao kuwa huduma za usafiri wa mabasi hazitakuwepo kupisha zoezi la upigaji kura.
Sawa
 
Back
Top Bottom