Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,492
Kuna mdau aliwahi kuandika tablet ya google ya bei rahisi google nexus 7 sio vibaya tuka update zaidi kwa kuongezea tablet 2 nzuri zaidi kwa urahisi kuliko google nexus.
amazon kindle fire
Bei yake sasa imeshuka ni dola 159 aproximately hela za tanzania sh 240,000
humu kuna 8gb storage, mult touch (2 finger) processor 1.0 ghz dual core ram ni 512mb na inatumia android 2.3 gingerbread
Ni nzuri kwa matumizi ya kawaida kama kusoma vitabu na kuangalizia movie za safari. Kama una pc nzuri na kila kitu unafanya kwenye pc hii ni tablet yako.
amazon kindle fire hd
Hii bei yake ni dola 199 aproximately shilingi laki 3 za kibongo
Hii imeongezeka memory ni 16gb na unaweza touch na vidole 10 pia processor ni dual core katika clock speed ya 1.2 na ina ram 1gb. Os ni android 4 ice cream hii inakidhi mahitaji yote muhimu
blackberry playbook
Tablet ya ukweli kwa laki 2 na nusu tu.
Hii tablet weakness yake inatumia os yao ya bb lakini myself nshaitumia ipo vizuri sana na nlikua suprised na urahisi wake maana bb wao wanauza ghali sana vitu vyao
Ina 5mp camera na kile cha video call ni 3mp ina hd na 16gb storage ina 1gb ram dual core 1ghz processor
Hizo tablet 3 ukijumlisha na ile nexus 7 unapata tablet rahisi duniani ambazo zinatoka makampuni yasiyo ya kulipua kama bidhaa za china
amazon kindle fire
Bei yake sasa imeshuka ni dola 159 aproximately hela za tanzania sh 240,000
humu kuna 8gb storage, mult touch (2 finger) processor 1.0 ghz dual core ram ni 512mb na inatumia android 2.3 gingerbread
Ni nzuri kwa matumizi ya kawaida kama kusoma vitabu na kuangalizia movie za safari. Kama una pc nzuri na kila kitu unafanya kwenye pc hii ni tablet yako.
amazon kindle fire hd
Hii bei yake ni dola 199 aproximately shilingi laki 3 za kibongo
Hii imeongezeka memory ni 16gb na unaweza touch na vidole 10 pia processor ni dual core katika clock speed ya 1.2 na ina ram 1gb. Os ni android 4 ice cream hii inakidhi mahitaji yote muhimu
blackberry playbook
Tablet ya ukweli kwa laki 2 na nusu tu.
Hii tablet weakness yake inatumia os yao ya bb lakini myself nshaitumia ipo vizuri sana na nlikua suprised na urahisi wake maana bb wao wanauza ghali sana vitu vyao
Ina 5mp camera na kile cha video call ni 3mp ina hd na 16gb storage ina 1gb ram dual core 1ghz processor
Hizo tablet 3 ukijumlisha na ile nexus 7 unapata tablet rahisi duniani ambazo zinatoka makampuni yasiyo ya kulipua kama bidhaa za china