Holoholo-Baba Kijacho
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 6,729
- 13,760
Pasipo kupepesa na kumumunya maneno top four yangu ni
1. Chelsea
2. Liverpool
3. Arsenal
4. Manchester City
hii ndiyo top four yangu lakini huenda kukawa na mabadiliko ndani ya top four hii kuna timu zitashuka,kupanda ila licha la kupanda na kushuka top four zitabaki hizohizo 4
weka top four yako.
1. Chelsea
2. Liverpool
3. Arsenal
4. Manchester City
hii ndiyo top four yangu lakini huenda kukawa na mabadiliko ndani ya top four hii kuna timu zitashuka,kupanda ila licha la kupanda na kushuka top four zitabaki hizohizo 4
weka top four yako.