Half London
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 261
- 115
Nimeishi na hawa watu kwa muda mrefu sehemu tofauti tofauti hapa Tanzania.
1. Huwa hawachambi kwa maji wala kutumia lesso katika kufuta makamasi.
2. Asilimia kubwa huwa wanapenda wanaume marasta na wasiokuwa na na future na maisha ya mbele.
3. Wanapenda kuingia msalani peku kwenye hotel/hostel hata kama ni vya kushare.
3. Wengi wao huwa hawatumii tooth pick baada ya kula.
4. Wengi wao hawana dini,hasahasa vijana wa kisasa.
5. Wakiwa nchini huwa wanapenda kuvaa ovyo,na wanaweza kuvaa nguo za ndani bila kufua kwa muda mrefu tofauti na wakiwa nchi zao.
6. Asilimia kubwa wamechora tatoo,wanawake tatoo zao ni za vipepeo.
7 Hawawezi kucheza mziki zaidi ya kurusha rusha mikono na kutokwa na jasho.
Harufu za ngozi zao huwa zina harufu mbaya na ni moja kama ilivyo kwa wamasai. Na ni warahisi kuwachukua kimapenzi wakiwa wameshakunywa,hasa hasa wale mavolunteer na wanafunzi.
Na mnaweza mkaendelea na nyingine...
1. Huwa hawachambi kwa maji wala kutumia lesso katika kufuta makamasi.
2. Asilimia kubwa huwa wanapenda wanaume marasta na wasiokuwa na na future na maisha ya mbele.
3. Wanapenda kuingia msalani peku kwenye hotel/hostel hata kama ni vya kushare.
3. Wengi wao huwa hawatumii tooth pick baada ya kula.
4. Wengi wao hawana dini,hasahasa vijana wa kisasa.
5. Wakiwa nchini huwa wanapenda kuvaa ovyo,na wanaweza kuvaa nguo za ndani bila kufua kwa muda mrefu tofauti na wakiwa nchi zao.
6. Asilimia kubwa wamechora tatoo,wanawake tatoo zao ni za vipepeo.
7 Hawawezi kucheza mziki zaidi ya kurusha rusha mikono na kutokwa na jasho.
Harufu za ngozi zao huwa zina harufu mbaya na ni moja kama ilivyo kwa wamasai. Na ni warahisi kuwachukua kimapenzi wakiwa wameshakunywa,hasa hasa wale mavolunteer na wanafunzi.
Na mnaweza mkaendelea na nyingine...