Tabia za wazungu

Half London

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2014
Posts
261
Reaction score
115
Nimeishi na hawa watu kwa muda mrefu sehemu tofauti tofauti hapa Tanzania.

1. Huwa hawachambi kwa maji wala kutumia lesso katika kufuta makamasi.

2. Asilimia kubwa huwa wanapenda wanaume marasta na wasiokuwa na na future na maisha ya mbele.

3. Wanapenda kuingia msalani peku kwenye hotel/hostel hata kama ni vya kushare.

3. Wengi wao huwa hawatumii tooth pick baada ya kula.

4. Wengi wao hawana dini,hasahasa vijana wa kisasa.

5. Wakiwa nchini huwa wanapenda kuvaa ovyo,na wanaweza kuvaa nguo za ndani bila kufua kwa muda mrefu tofauti na wakiwa nchi zao.

6. Asilimia kubwa wamechora tatoo,wanawake tatoo zao ni za vipepeo.

7 Hawawezi kucheza mziki zaidi ya kurusha rusha mikono na kutokwa na jasho.

Harufu za ngozi zao huwa zina harufu mbaya na ni moja kama ilivyo kwa wamasai. Na ni warahisi kuwachukua kimapenzi wakiwa wameshakunywa,hasa hasa wale mavolunteer na wanafunzi.

Na mnaweza mkaendelea na nyingine...
 
Nimeishi na hawa watu kwa muda mrefu sehemu tofauti tofauti hapa Tanzania. 1. Huwa hawachambi kwa maji wala kutumia lesso katika kufuta makamasi. 2. Asilimia kubwa huwa wanapenda wanaume marasta na wasiokuwa na na future na maisha ya mbele. 3. Wanapenda kuingia msalani peku kwenye hotel/hostel hata kama ni vya kushare. 3. Wengi wao huwa hawatumii tooth pick baada ya kula. 4. Wengi wao hawana dini,hasahasa vijana wa kisasa. 5. Wakiwa nchini huwa wanapenda kuvaa ovyo,na wanaweza kuvaa nguo za ndani bila kufua kwa muda mrefu tofauti na wakiwa nchi zao. 6. Asilimia kubwa wamechora tatoo,wanawake tatoo zao ni za vipepeo. 7 Hawawezi kucheza mziki zaidi ya kurusha rusha mikono na kutokwa na jasho. Harufu za ngozi zao huwa zina harufu mbaya na ni moja kama ilivyo kwa wamasai. Na ni warahisi kuwachukua kimapenzi wakiwa wameshakunywa,hasa hasa wale mavolunteer na wanafunzi. Na mnaweza mkaendelea na nyingine......
 
Mbona hizo tabia hata baadhi ya waswahili wanazo!
 
hizo ni tabia za wazungu wakiwa ulaya au wakiwa bongo ??
 
1>boys wana wadharirisha Dada zetu kimapenzi kwa Kuwala....
2>wanapenda kunyenyekewa alaf wanakudharau
4
 

Wazungu wengi wana harufu fulani hivi, siipendi. Sijui ni mafuta!
 
walio wengi hasa kwao hawajui kusema uwongo. na akisema uwongo aukimkazia machao anasema I am sorry.

wengi wao wakiwa kwao akichepuka huja nyumbani na kuwambia mwenzi wake kuwa kahcepuka na ilikuwa just sex, sio kuoenda.
je si akina maganga tuanyawza hayo.
 
Hawa jamaa kwao hawaingii chooni na viatu popote pale kwakua wamezoea kwao choo ni kitu kikubwa sana kwenye nyumba akitaka kukodi au hoteli anaingia chooni kwanza na jikoni pa kulala yeye ni popote poa tu.

Wanatabia ya kuamini sana hata kama umemdanganya yeye anajua ni ukweli mfano unamiaka 35 ukimwambia una 22 anaamini kwakua kwao hawana utamaduni wa kusema uwongo.

Wanatabia ya uchoyo au wivu hasa wakiwa kwao lakini hapa wanaona kawaida.

Hawajui kusaidiana hata kama ni mtu na girlfriend wake wakinunua soda moja kila mmoja anachangia sh.350.

Ni watu wa ahadi sana niliwahi kufanya kazi hoteli wakikwambia chakula wanakula sa1 usiku hata kama wako 20 tena wamenda safari tofauti lakini ikifika sa1 kasoro unawakuta wapo juu ya meza wameshakaa wanakusubiri wewe, hapo kama ni waafrika mpaka wapigiane simu au wengine wanaweza wakawambia tupunguzieni pembeni.

Hawa jamaa huwa wananiacha hoi sana unapowatajia jina lako mara moja tu hawakuulizi tena unaitwa nani tena hata kama amekaa siku 2 tu pamoja na anaweza akasafiri akarudi baada ya miezi 6 atakwita jina lako wala hakosei

Lakini waafrika wanaweza kukuuliza jina tu kwa siku anashau mara 20.

Na kama unafanya kazi hotel bora kuwahudumia wazungu 100 kuliko Waafrika 5 ni kero sana kwa Muafrika hasa akipata vipesa vya kulipiwa kwa semina

Kwa kweli wana mengi ya kujifunza na mengine ya kuwaachia wenyewe sisi yale ya ushoga
 
Masikini Kaka yangu Maganga, ndiyo wa kutolewa mfano?

Niseme tu kuwa Wazungu ni Binadamu wa kawaida kabisa. Labda tu mazingira wanayoishi(baridi) na historia ya maisha yao imewafanya wawe na tabia hizo walizonazo. Nywele zao kwa kweli huwa ni kasheshe na inabidi wazioshe kila siku, vinginevyo matatizo yanaanza. Hivyo hiyo harufu inategemea na uchafu wa nywele zao ambazo wanazo nyingi tu mwilini.

Hebu mwangalie huyu Mbaba: https://www.youtube.com/watch?v=lKPN5kbJBOU

Mlinganishe na Mjaluo wa USA: https://www.youtube.com/watch?v=x1-JZ4NgyIM (sijui ndiyo Udhungu wake?)

Huyu Timbaland ndiyo maajabu kabisa: https://www.youtube.com/watch?v=47Rz6_pG33U
 
Na wamasai pia umeishi nao??
Wapi??
Hao wazungu I hope si wote ni hao wachache, wengine ni wazuri, wasafi na wanajali tena wananukia maana wanatumia vitu healthy havina effects nyingi kama za kichina bongo.
Ukristo umeanzia kwao kwahiyo pia wameshika dini ila wana kitu cha kupenda kufanya kitu moyo wake unapenda.
 
Wazungu wengi wana harufu fulani hivi, siipendi. Sijui ni mafuta!

Wengi wao wana harufu ile huwa ni ya dawa ya mbu ya kupaka na mara nyingi ile hupaka wale wazungu wa kipato cha chini sana, wakiwa kwao huwezi kuwasikia ile harufu
 
Ukristo haukuanza kwa wazungu nao waliletewa kama wengine tena wao ndio wanaongoza kwa upagani.
 
hiyo umethimuliwa tu wala siyo kweli mbona mm
nilioishi nao hawana sifa hizo ...
 
Aisee wanapoigiza movie lazima waseme "what the hell or f*ck" mimi nimeona kwenye movie tu sijaishi nao
 
Utakuwa umekaa sana West Europe.

Njoo siku moja Poland, utabadilisha usemi wako kuhusu uchoyo.

Kila mtu kula vyake, nakubaliana sana na hilo. Ila kama huna, atakusaidia sana. Kuna dada hapa huwa akienda club, anabeba weusi kibao na wakianza kununua, hununua watakacho na yeye mwishoni hutoa kadi yake na kulipa. Sema uzuri ni kuwa na wao huwa wanamfanyia manunuzi mara moja moja na hivyo kundi zima wanapendana sana.

Nimejifunza kitu kimoja kuwa, masikini wengi wana roho mbaya na hasa kama wametajirikia ukubwani. Wengi waliozaliwa kwenye familia tajiri na kukulia kwenye utajiri, hawajali sana fedha kama ameshakupenda (love or like).

Pia vijana wengi, hata kama wazazi ni matajiri, hataki fedha yao. Atachakalika hadi awe na ya kwake. Unaweza kushangaa kijana anapanda mabasi/metro ya mjini wakati kwao wana duka kubwa sana la kuuza magari. Watoto wanafundwa kujitegemea haraka sana. Ila pamoja na kugoma misaada ya wazazi, huwa wanapewa vizawadi mara wakimaliza shule, wakianza kazi au wakiowa na hata mara nyingine wakipata driving licence. Zawadi hizo huwa mara nyingi magari na nyumba za kwenye magorofa. Ila bado hela ya mafuta hatachukua kwa baba.
 
Basi kila mtu atajifanya anawajua wazungu

Hahahhaha!!

Ila mnajua wazungu wengi wanaokuja huku kama ma voulunteer ni wa hali duni sana huko kwao! Yani kama ni mazingira ya dar ni wale ambao hawajui cha mlimani city, shoperz plaza, samak samak, wala maisha.

Mtu kuishi na hawa watu hapa bongo na kugeneralise kuwa wazungu ni hivi vile na vile ni sawa na mzungu huyo kuja hapa bongo kwenda kule vijiji vya ifwedete na kuondoka kusema watanzania wako hivi hivi na hivi.

Mimi kuna wazungu nilikutana nao huku kwenye ka project halafu nikaenda sydney kwa kama mwaka.

Yani ilikua siwezi toka nao sababu club za maana hawawezi kuingia kwaio ikabidi wao ku chill nao weekend moja moja, sijui kwenda camping, vuta ganja na mambo mengine mengine.

Kwaio hawa watu wametofautiana sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…