Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
[SIZE=+2]Tabia za Watanga[/SIZE]
Leo nachukua Tanga, kama fumbo jamiini,
Kuwaeleza Watanga, TABIA zao nchinini,
Tanga watu wa kuringa, hasa kwa kujua dini,
Ukitaka uishi nao, jifunye wewe mjinga.
Tanga bwana kwa mamwinyi, karahaatake nani,
Tanga si kwa bwana Mwinyi, kwangu mwana wa HASANI,
Tanga utaminywa minyi, kwa fani ya ugangani,
Ukitaka ishinao, jifanyewewe mjinga.
Watanga kwa majivuni, hakuna tena nchini,
Hjawachelewi kulani, wakipewa mtihani,
Tanga watu wa kulani, harakati ziko chini,
Ukitaka ishinao, jifanye wewe mjinga.
Tanga kuzuli lakini! Kunapendeza machoni,
Hasa kwetu milimani,kule Lushoto nyumbani,
Tanga mjini jamani, KISIMA cha Qur-ani,
Ukitaka ishi Tanga, jifanye wewe mjinga.
Tanga jama amekeni, wa Tanga badilikeni,
Ngangari wote kueni, ndivyo apenda manani,
Watanga moto washeni, umwinyisasa acheni,
Ukitaka ishi Tanga,jifanye wewe mjinga.
Sita beti nimwishoni, Tanga kwenu ni fumboni,
Ngangari wapojueni, KILIMILE muoneni,
Wakali wa kila fani, Tanga hawakosekani,
Ukitaka ishi Tanga, jiganye wewe mjinga.
Almasi H. Shemdoe,
Tunda la Matumaini,
Dar es Saaam.
Leo nachukua Tanga, kama fumbo jamiini,
Kuwaeleza Watanga, TABIA zao nchinini,
Tanga watu wa kuringa, hasa kwa kujua dini,
Ukitaka uishi nao, jifunye wewe mjinga.
Tanga bwana kwa mamwinyi, karahaatake nani,
Tanga si kwa bwana Mwinyi, kwangu mwana wa HASANI,
Tanga utaminywa minyi, kwa fani ya ugangani,
Ukitaka ishinao, jifanyewewe mjinga.
Watanga kwa majivuni, hakuna tena nchini,
Hjawachelewi kulani, wakipewa mtihani,
Tanga watu wa kulani, harakati ziko chini,
Ukitaka ishinao, jifanye wewe mjinga.
Tanga kuzuli lakini! Kunapendeza machoni,
Hasa kwetu milimani,kule Lushoto nyumbani,
Tanga mjini jamani, KISIMA cha Qur-ani,
Ukitaka ishi Tanga, jifanye wewe mjinga.
Tanga jama amekeni, wa Tanga badilikeni,
Ngangari wote kueni, ndivyo apenda manani,
Watanga moto washeni, umwinyisasa acheni,
Ukitaka ishi Tanga,jifanye wewe mjinga.
Sita beti nimwishoni, Tanga kwenu ni fumboni,
Ngangari wapojueni, KILIMILE muoneni,
Wakali wa kila fani, Tanga hawakosekani,
Ukitaka ishi Tanga, jiganye wewe mjinga.
Almasi H. Shemdoe,
Tunda la Matumaini,
Dar es Saaam.