saddyy
Member
- Dec 28, 2014
- 58
- 54
WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI
1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na sending items hufutwa kila wakati.
3.Ukimuomba simu yake ghafla lazima akwambie hebu kwanza.
4. Kamwe haiiti always vaibration.
5. Namba nyingi ha save.
6. Kuna simu hapokei hata iweje anapenda sms zaidi.
7.Majina mengi kwenye simu yameseviwa kwa majina ya kufikirika.
8.Muda mwingi ni mtu wakujihami.
9. Anapenda password na anabadili mara kwa mara.
10. Akiazima simu yako, akitumia tu anafuta deal no haraka.
11. Always yuko na simu hadi bafuni ikibidi.
12. Anajazba ukimuuliza chochote kuhusu simu anajishtukia.
13. Akiwa anachati anakuangalia mara kwa mara kiwiziwizi.
14. Hana jeuri ya kukuweka profile picture na akikuweka humalizi masaa anakudampu huko.
������
1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na sending items hufutwa kila wakati.
3.Ukimuomba simu yake ghafla lazima akwambie hebu kwanza.
4. Kamwe haiiti always vaibration.
5. Namba nyingi ha save.
6. Kuna simu hapokei hata iweje anapenda sms zaidi.
7.Majina mengi kwenye simu yameseviwa kwa majina ya kufikirika.
8.Muda mwingi ni mtu wakujihami.
9. Anapenda password na anabadili mara kwa mara.
10. Akiazima simu yako, akitumia tu anafuta deal no haraka.
11. Always yuko na simu hadi bafuni ikibidi.
12. Anajazba ukimuuliza chochote kuhusu simu anajishtukia.
13. Akiwa anachati anakuangalia mara kwa mara kiwiziwizi.
14. Hana jeuri ya kukuweka profile picture na akikuweka humalizi masaa anakudampu huko.
������


