Tabia za members wa JF

me cpendezwi na hyo avatar yako!
haijabeba uafrika kabisa nadani yake.
wani afrika kuna mabaya tu??
 
Genekai kaelezea vizuri sana.....!!
 
me cpendezwi na hyo avatar yako!
haijabeba uafrika kabisa nadani yake.
wani afrika kuna mabaya tu??
Mkuu unataka niweke avatar ya watu wanakunywa bia na mbuzi? kwani hayo mambo waafrika wamesingiziwa? ndio zao la viongozi wetu wa africa
 
Wapi wewe!umechemka,utamjuaje mtu kwa hoja za humu jf?
Mkuu, nadhani wewe bado mgeni humu jamvini, ukikaa miezi miwili utaanza kuzijua tabia za members humu JF!
Au nakushauri uanze kwenda jukwaa la siasa ukapandike hoja zako utajua members wana tabia gani
 
Wapi wewe!umechemka,utamjuaje mtu kwa hoja za humu jf?


mkuu kuna uwezekano mkubwa sana wa kujua tabia ya mtu via anachoandika hapa
rosemarie anaonekana kama mwanamke mwenye misimamo na ni ngumu kupata bwana
 
Wanani vutia wadada / wanawake
Wote....

Genekai asante..
Katavi sante kwa kuwakaribisha
Wageni..... Nakuheshimu sana kwa hilo..
 
Wanani vutia wadada / wanawake
Wote....

Genekai asante..
Katavi sante kwa kuwakaribisha
Wageni..... Nakuheshimu sana kwa hilo..
Afrodenzi, ebu ni-PM members wawili ambao upendi tabia zao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…